Mwanzo 34 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 34:1-31

Dina Na Washekemu

134:1 Mwa 30:21Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile. 234:2 Mwa 33:19Ikawa Shekemu mwana wa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lile alipomwona, akamchukua na kumnajisi. 3Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza. 434:4 Mwa 21:21Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

534:5 Mwa 34:2-3Yakobo aliposikia kwamba binti yake Dina amenajisiwa, wanawe walikuwa mashambani wakichunga mifugo yake, kwa hiyo akalinyamazia jambo hilo mpaka waliporudi nyumbani.

634:6 Amu 14:2-5Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo. 734:7 Kum 22:21; Amu 20:6Basi wana wa Yakobo walikuwa wamerudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotokea. Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa kufanyika.

834:8 Mwa 21:21Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake. 934:9 Kum 7:3Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu. 1034:10 Mwa 47:6, 27; 13:9Mwaweza kuishi katikati yetu, nchi ni wazi kwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humu na mjipatie mali.”

1134:11 Mwa 32:5Kisha Shekemu akamwambia baba yake Dina pamoja na ndugu zake, “Na nipate kibali machoni penu, nami nitawapa chochote mtakachosema. 1234:12 Kum 22:29; 1Sam 18:25Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”

1334:13 Mwa 27:36Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwa amenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwa udanganyifu walipozungumza na Shekemu pamoja na baba yake Hamori. 1434:14 Mwa 17:14; Isa 31:4Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu. 1534:15 1Sam 11:2; Kut 12:48Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwamba mtakuwa kama sisi kwa kuwatahiri wanaume wenu wote. 1634:16 Mwa 33:19Kisha tutawapa binti zetu na sisi tutawachukua binti zenu. Tutaishi kwenu na tutakuwa watu wamoja nanyi. 17Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu na kuondoka.”

18Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe. 19Kijana mdogo, ambaye alikuwa ameheshimiwa kati ya wote walioishi nyumbani mwa baba yake, hakupoteza muda kufanya waliyoyasema, kwa sababu alikuwa amependezwa sana na binti Yakobo. 2034:20 Mwa 18:1Kwa hiyo Hamori na Shekemu mwanawe walikwenda kwenye lango la mji kuzungumza na wenzao wa mjini. 2134:21 Mwa 33:19Wakasema, “Hawa watu ni marafiki kwetu, tuwaruhusu waishi katika nchi yetu na kufanya biashara ndani yake, nchi ina nafasi tele kwa ajili yao. Tunaweza kuoa binti zao. Nao wanaweza kuoa binti zetu. 2234:22 Mwa 34:15Lakini watu hao watakuwa tayari kukubali kuishi nasi kama watu wamoja nao kwa sharti kwamba wanaume wetu watahiriwe, kama wao. 2334:23 Mwa 34:28Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”

2434:24 Mwa 18:1Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.

2534:25 Mwa 49:5; 49:7Baada ya siku tatu, wakati wote wakiwa wangali katika maumivu, wana wawili wa Yakobo, yaani Simeoni na Lawi, ndugu zake Dina, wakachukua panga zao na kuvamia mji ambao haukutazamia vita, wakaua kila mwanaume. 26Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka. 27Wana wa Yakobo walipita juu ya maiti katika kuteka nyara mji ule ambamo dada yao alikuwa amenajisiwa. 28Wakachukua kondoo na mbuzi, ngʼombe, punda na kila kitu kilichokuwa chao ndani ya mji ule na mashambani. 29Walichukua utajiri wao wote pamoja na wanawake na watoto wao, wakachukua nyara kila kitu ndani ya nyumba zao.

30Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, “Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni wachache, kama wakiunganisha nguvu zao dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba yangu tutaangamizwa.”

31Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

Swedish Contemporary Bible

1 Moseboken 34:1-31

Jakobs söner hämnas

1En dag gick Dina, den dotter Lea fött åt Jakob, för att besöka flickorna i trakten. 2När hivén Shekem, fursten Hamors son, fick se henne, tog han henne med sig. Han låg med henne och kränkte henne. 3Han blev djupt förälskad i henne och försökte vinna hennes kärlek. 4Sedan talade han med sin far Hamor om detta. ”Se till att jag får gifta mig med den där flickan.”

5Jakob fick snart veta att hans dotter blivit vanärad, men eftersom hans söner var ute på fälten med boskapen, höll han tyst om saken tills de återvänt hem. 6Under tiden gick fursten Hamor, Shekems far, till Jakob för att tala om saken. 7När Jakobs söner kom tillbaka från fälten, fick de höra om det inträffade. De blev förtvivlade och greps av vrede eftersom det var en skamlig gärning Shekem hade begått i Israel när han låg med Jakobs dotter. Sådant får inte ske.

8Hamor sa till dem: ”Min son Shekem är verkligen kär i er syster. Låt honom få gifta sig med henne! 9Gift in er här med oss. Låt era döttrar gifta sig med våra söner, så ska vi ge våra döttrar som hustrur åt era unga män. 10Ni kan slå er ner var ni än vill bland oss och skaffa er ägodelar och ägna er åt affärer och bli rika.”

11Sedan talade Shekem till Dinas far och bröder: ”Visa mig välvilja och låt mig få henne till hustru. Jag ska ge er vad ni än vill ha. 12Det spelar ingen roll vilken hemgift eller gåva ni kräver, för jag ska betala den, bara ni ger mig flickan till hustru.”

13Eftersom Shekem hade behandlat deras syster så illa, lurade Jakobs söner Shekem och hans far Hamor. 14De sa nämligen: ”Vi kan inte ge vår syster till en man som inte är omskuren34:14 Se 1 Mos 17:9-14.. Det skulle vara en skam för oss. 15Vi kan bara ge vårt samtycke på ett villkor, och det är att alla era män låter omskära sig och blir som vi. 16Då kan vi gifta bort våra döttrar och bo här och förena oss med er, så att vi kan bli ett folk. 17Men om ni inte vill låta omskära er, tar vi flickan med oss och flyttar härifrån.”

18Hamor och Shekem gick med på förslaget. 19Den unge mannen skyndade sig iväg för att göra som de hade föreslagit, för han var mycket kär i Jakobs dotter. Han var den mest ansedde i hela sin fars släkt. 20Hamor och Shekem framträdde därför i stadsporten inför stadens män och talade till dem.

21”Dessa män är våra vänner”, sa de. ”Låt oss inbjuda dem att bo här i landet och röra sig fritt här. Landet är ju stort nog att rymma dem och vi kan gifta oss med deras döttrar och de med våra. 22Men de tänker bara stanna här och bli ett folk med oss på ett villkor, och det är att vi alla låter omskära oss på samma sätt som de. 23Om vi gör det kommer all deras boskap, allt de äger och alla deras djur att bli vårt. Låt oss göra som de vill, så att de bosätter sig här ibland oss.”

24Alla män i staden gick med på Hamors och hans son Shekems förslag. Alla lät omskära sig, samtliga män i hela staden.

25Men tre dagar senare, när såren var ömma, tog Jakobs två söner, Simon och Levi, Dinas bröder, sina svärd och gick in i staden och dödade utan motstånd varenda man där, 26även Hamor och hans son Shekem. De tog med sig Dina från Shekems hus och gick sedan därifrån.

27Sedan gick alla Jakobs söner över de slagna in till staden och plundrade den, eftersom deras syster hade vanhedrats där. 28De tog alla får, kor och åsnor, allt som de kunde lägga beslag på, både inne i staden och ute på fälten. 29De tog all egendom, alla kvinnor och barn och allt som fanns i husen.

30Då sa Jakob till Simon och Levi: ”Ni har dragit olycka över mig och gjort så att alla hatar mig i hela landet, både kanaanéerna och perisséerna. Vi är så få. Om de bestämmer sig för att anfalla oss, kommer de att döda både mig och min familj.”

31”Skulle de då få behandla vår syster som en prostituerad?” svarade de.