Mwanzo 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 2:1-25

12:1 Kum 4:19; 17:3; 2Fal 17:16; 21:3; Za 104:2; Isa 44:24; 45:12; 48:13; 51:13Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

22:2 Kum 5:14; Ebr 4:4; Kut 20:11; 31:17; 34:21; Yn 5:17Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote. 32:3 Kut 16:23; 20:10; 23:12; 31:15; 35:2; Law 23:3; Ebr 4:11; Neh 9:14; Mwa 1:1; Za 95:11; Isa 58:13; Yer 17:22Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.

Adamu Na Eva

42:4 Mwa 5:1; 6:9; 1:1; 10:1; 11:10; 27:25; Ay 38:8-11Haya ndiyo maelezo ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa.

Bwana Mungu alipoziumba mbingu na dunia, 52:5 Mwa 1:11; Ay 38:28; Za 65:9-10; Yer 10:13hapakuwepo na mche wa shambani uliokuwa umejitokeza ardhini, wala hapakuwepo na mmea wa shamba uliokuwa umeota, kwa kuwa Bwana Mungu alikuwa hajanyeshea mvua juu ya nchi, na hapakuwepo mtu wa kuilima ardhi, 6lakini umande ulitokeza kutoka ardhini na kunyesha uso wote wa nchi: 72:7 Isa 29:16; 43:1, 21; 44:2; Mwa 1:27; 3:19; 18:27; 5:23; 4:2; Ay 4:19; 10:9; 17:16; 34:15; Za 103:14; 90:3; Mhu 3:20; 12:7Bwana Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi2:7 Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu. ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.

82:8 Mwa 3:23-24; 4:16; 13:10; Isa 51:3; Eze 28:13; 36:35; 31:9, 16; Yoe 2:3Basi Bwana Mungu alikuwa ameotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, huko akamweka huyo mtu aliyemuumba. 92:9 Eze 31:8; 47:12; Mit 3:18; 11:30; Ufu 2:7; Mwa 3:22, 24Bwana Mungu akafanya aina zote za miti ziote kutoka ardhini, miti yenye kupendeza macho na mizuri kwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mti wa uzima na mti wa kujua mema na mabaya.

102:10 Hes 24:6; Eze 47:5; Za 46:4Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne. 112:11 Mwa 10:7; 25:18Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu. 122:12 Hes 11:7(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.) 13Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi. 142:14 Mwa 15:18; 41:1; 31:21; Dan 10:4; Kut 23:31; Hes 22:5; Ufu 9:14; 1Fal 4:21; 2Sam 8:3; Kum 11:24; 2Fal 23:29; 24:7; 1Nya 5:9; 18:3; 2Nya 35:20; Yer 13:4; 42:6; 51:63Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni Frati.

15Bwana Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza. 162:16 Mwa 3:1-2Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, “Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani, 172:17 Mwa 3:11, 17; 9:29; Yer 42:16; Kum 30:15, 19; Eze 3:18; Rum 5:13; 6:23lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”

182:18 Mit 11:31; 1Kor 11:9; 1Tim 2:13Bwana Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

192:19 Za 8:7; Mwa 1:5, 20, 24Basi Bwana Mungu alikuwa amefanyiza kutoka ardhi wanyama wote wa porini na ndege wote wa angani. Akawaleta kwa huyu mtu aone atawaitaje, nalo jina lolote alilokiita kila kiumbe hai, likawa ndilo jina lake. 202:20 Mwa 3:20; 4:1Hivyo Adamu akawapa majina wanyama wote wa kufugwa, ndege wa angani, na wanyama wote wa porini.

Lakini kwa Adamu hakupatikana msaidizi wa kumfaa. 212:21 Mwa 15:12; 1Sam 26:12; Ay 33:15Hivyo Bwana Mungu akamfanya Adamu kulala usingizi mzito, naye alipokuwa amelala akachukua moja ya mbavu zake, akapafunika mahali pale kwa nyama. 222:22 1Kor 11:8-9, 12; 1Tim 2:12Kisha Bwana Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyo mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa huyo mwanaume.

232:23 Mwa 29:14; Efe 5:28-30; 1Kor 11:8Huyo mwanaume akasema,

“Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu

na nyama ya nyama yangu,

ataitwa ‘mwanamke,’2:23 Jina la Kiebrania la mwanamke linafanana na lile la mwanaume.

kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”

242:24 Mal 2:15; Mt 19:5; Mk 10:7-8; Efe 5:31; 1Kor 6:16Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

252:25 Mwa 3:7, 10-11; Isa 47:3; Mao 1:8Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

創世記 2:1-25

1天地萬物都造好了。 2第七天,上帝完成了祂的創造之工,就在第七天歇了一切的工。 3上帝賜福給第七天,將其定為聖日,因為祂在這一天歇了祂一切的創造之工。 4這是有關創造天地的記載。

上帝造亞當和夏娃

耶和華上帝創造天地的時候, 5地上還沒有草木菜蔬,因為耶和華上帝還沒有降雨在地上,土地也沒有人耕作, 6但有水從地裡湧出,澆灌大地。 7耶和華上帝用地上的塵土造了人,把生命的氣息吹進他的鼻孔裡,他就成了有生命的人。 8耶和華上帝在東方的伊甸開闢了一個園子,把祂所造的人安置在裡面。 9耶和華上帝使地面長出各種樹木,它們既好看又能結出可吃的果子。在園子的中間有生命樹和分別善惡的樹。

10有一條河從伊甸流出來灌溉那園子,又從那裡分出四條支流。 11第一條支流叫比遜河,它環繞著哈腓拉全境。那裡有金子, 12且是上好的金子,還有珍珠和紅瑪瑙。 13第二條支流是基訓河,它環繞著古實全境。 14第三條支流名叫底格里斯河,它流經亞述的東邊。第四條支流是幼發拉底河。

15耶和華上帝把那人安置在伊甸的園子裡,讓他在那裡耕種、看管園子。 16耶和華上帝吩咐那人說:「你可以隨意吃園中所有樹上的果子, 17只是不可吃那棵分別善惡樹的果子,因為你若吃了,當天必死。」

18耶和華上帝說:「那人獨自一人不好,我要為他造一個相配的幫手。」 19耶和華上帝用塵土造了各種田野的走獸和空中的飛鳥,把牠們帶到那人跟前,看他怎麼稱呼這些動物。他叫這些動物什麼,牠們的名字就是什麼。 20那人給所有的牲畜及田野的走獸和空中的飛鳥都起了名字。可是他找不到一個跟自己相配的幫手。 21耶和華上帝使那人沉睡,然後從他身上取出一根肋骨,再把肉合起來。 22耶和華上帝用那根肋骨造成一個女人,帶到那人跟前。 23那人說:

「這才是我的同類,

我骨中的骨,肉中的肉,

要稱她為女人,

因為她是從男人身上取出來的。」

24因此,人要離開父母,與妻子結合,二人成為一體。 25當時,他們夫婦二人都赤身露體,並不覺得羞恥。