Mwanzo 17 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Mwanzo 17:1-27

Agano La Tohara

117:1 Mwa 5:22; 12:4-7; 20:5; 28:3; 35:11; 43:14; 48:3; 49:25; Kut 6:3; 18:13; Rut 1:20; Ay 5:17; 6:4, 14; 22:21; 33:19; 36:16; Isa 13:6; Yoe 1:15; Mik 6:9; 1Fal 3:6; 9:4; Za 15:2; 18:23; 78:72; 101:2Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi;17:1 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu. 217:2 Mwa 12:2; 15:18; 22:16-18Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

317:3 Mwa 18:2; 19:1; 33:3; Kut 18:7; Hes 14:5; Yos 5:14; 7:6; Amu 13:20; Eze 1:28; 3:23Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia, 417:4 Mwa 15:18; 12:2; 25:23“Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi. 517:5 Mwa 32:28; 35:10; 37:3, 13; 43:6; 46:2; 1Fal 18:31; 2Fal 17:34; 1Nya 1:34; Neh 9:7; Isa 48:1; Yn 1:42; Rum 4:17Jina lako hutaitwa tena Abramu, bali jina lako litakuwa Abrahamu,17:5 Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi. kwa maana nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi. 617:6 Mwa 1:28; 18:10; 21:1; 22:17; 26:22; 28:3; 35:11; 36:31; 41:52; 47:27; 48:4; 49:22; Law 26:9; Mt 1:6; Kum 7:13; Isa 51:2Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako. 717:7 Mwa 6:18; 9:16; 18:15; Kut 6:7; 20:2; 29:45-46; Law 11:44-45; 18:2; 22:33; 25:38; 26:9, 12, 15; Hes 15:41; Kum 4:20; 7:6, 21; 29:13; 2Sam 7:24; Ebr 13:20; Yer 14:9; Ufu 21:7; Rum 9:8; Gal 3:16Nitalithibitisha Agano langu kama Agano la milele kati yangu na wewe na wazao wako baada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wako na Mungu wa wazao wako. 817:8 Mwa 10:19; 12:7; 15:7; 23:4; 28:4; 35:27; 37:1; Kut 6:4; Yer 31:1; 1Nya 29:15Nchi yote ya Kanaani, unakoishi sasa kama mgeni, nitakupa kuwa milki yako milele, na uzao wako, nami nitakuwa Mungu wao.”

917:9 Mwa 18:19; 22:18; Kut 19:5; Kum 5:2Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wako, lazima ushike Agano langu, wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo. 1017:10 Mwa 21:4; Law 12:3; Yos 5:2-7; Rum 4:11; Yn 7:22; Mdo 7:8Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa. 1117:11 Kut 12:48; Kum 10:16; Mwa 9:12; Rum 4:11Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi. 1217:12 Mwa 9:12; 21:4; Law 12:3; Yos 5:2; Lk 1:59; 2:21Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako. 1317:13 Kut 12:44-48; Mwa 9:16Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni Agano la milele. 1417:14 Kut 4:24-26; 12:15, 19; 30:33; Eze 44:7; Yos 5:2-8; Law 7:20, 25; 17:4; 18:29; 19:8; 20:17; Hes 9:13; 15:30; 19:13; Kum 17:12; Ay 38:15; Za 37:28Kila mwanaume asiyetahiriwa, ambaye hajapata tohara ya mwilini, atatengwa na watu wake, amelivunja Agano langu.”

1517:15 Mwa 11:29Pia Bwana akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wa Sarai mkeo, hutamwita tena Sarai bali jina lake litakuwa Sara. 1617:16 Mwa 18:10; 24:60; Isa 29:22; Gal 4:31Nitambariki na hakika nitakupatia mwana kwake. Nitambariki na kwamba atakuwa mama wa mataifa, wafalme wa mataifa watatoka kwake.”

1717:17 Mwa 12:4; 18:11-13; 21:6, 7; 24:1, 36; Yer 20:15; Lk 1:18; Rum 4:19; Gal 4:23; Ebr 11:11Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka na kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa mtoto katika umri wa miaka tisini?” 1817:18 Mwa 16:15; 21:11Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

1917:19 Mwa 9:16; 16:11; 18:14; 21:2; 26:3; 50:24; Kut 13:11; Kum 1:8; Gal 3:16; 1Sam 1:20; Mt 1:21; Lk 1:13, 31Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaki.17:19 Isaki maana yake Kucheka. Nitalithibitisha Agano langu naye kama Agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake. 2017:20 Mwa 13:16; 16:10; 25:12-18; 48:19Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. 2117:21 Kut 34:10; Mwa 18:10-14; 21:2Lakini Agano langu nitalithibitisha kwa Isaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujao majira kama haya.” 2217:22 Mwa 18:33; 35:13; Hes 12:9Wakati alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda juu akaondoka kwa Abrahamu.

2317:23 Mwa 12:5Siku ile ile, Abrahamu akamchukua Ishmaeli mwanawe na wote waliozaliwa nyumbani mwake pamoja na walionunuliwa kwa fedha zake, kila mwanaume wa nyumbani mwake, akawatahiri, kama Mungu alivyomwagiza. 2417:24 Mwa 12:4; Rum 4:11Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa, 2517:25 Mwa 16:16naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu. 26Abrahamu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku ile ile, 2717:27 Mwa 14:14Kila mwanaume nyumbani mwa Abrahamu, pamoja na wote waliozaliwa nyumbani mwake au aliyenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, alitahiriwa pamoja naye.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

创世记 17:1-27

上帝再次与亚伯兰立约

1亚伯兰九十九岁那年,耶和华向他显现说:“我是全能的上帝。你要遵行我的旨意,做纯全无过的人。 2我要与你立约,我要使你子孙极其繁盛。” 3亚伯兰就俯伏在地,上帝又对他说: 4“我要与你立约,你必成为万族之父。 5以后你的名字不再叫亚伯兰,要改为亚伯拉罕17:5 “亚伯拉罕”意思是“万族之父”。,因为我已立你为万族之父。 6我要使你生养众多,民族必由你而生,君王必从你而出。 7我要和你并你的子子孙孙立永远的约,我要做你和你子孙的上帝。 8我要把你现在寄居的整个迦南赐给你和你的子孙永远作产业,我也必做他们的上帝。”

9上帝又对亚伯拉罕说:“你和你的子孙世世代代都要遵守我的约。 10你们所有的男子都要受割礼,这是我与你和你的子孙所立的约,你们要遵守。 11你们都要割包皮,作为我与你们立约的记号。 12你们世世代代的男子在出生后的第八日都要接受割礼,包括在你家里出生的和用钱从外族人那里买来的奴仆。 13不论是在你家里生的,还是你用钱买来的男子,都要接受割礼,这样我的约就在你们的肉体上成为永远的约。 14任何没有接受割礼的男子,要将他从民中铲除,因为他违背了我的约。”

15上帝对亚伯拉罕说:“你的妻子撒莱以后不要叫撒莱,她的名字要叫撒拉16我必赐福给她,让她为你生一个儿子。我必赐福给她,让她成为列国之母,列邦的君王必从她而出。” 17亚伯拉罕就俯伏在地,笑了起来,心想:“一百岁的人还能有孩子吗?撒拉已经九十岁了,还能生育吗?” 18亚伯拉罕对上帝说:“愿以实玛利蒙你赐福。” 19上帝说:“不,你妻子撒拉必为你生一个儿子,你要给他取名叫以撒,我必与他坚立我的约,作为他后代永远的约。 20至于以实玛利,我已听见你的祈求,我必赐福给他,使他生养众多、子孙极其繁盛。他必做十二个族长的父亲,我必使他成为大国。 21撒拉必在明年这时候给你生以撒,我必向他坚守我的约。” 22上帝说完以后,便离开亚伯拉罕上升而去。

23亚伯拉罕就在那天照着上帝的吩咐,为儿子以实玛利和家中所有的男子,不论是在家中出生的,还是买回来的,都行了割礼。 24亚伯拉罕接受割礼的时候九十九岁。 25他的儿子以实玛利接受割礼的时候十三岁。 26他们父子二人就在那天接受了割礼。 27亚伯拉罕家里所有的男子,包括家中出生的和买回来的,都一起接受了割礼。