Mwanzo 12 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 12:1-20

Wito Wa Abramu

1Bwana akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.

212:2 Mwa 13:16; 15:5; 17:2-4; 18:18; 22:17; 24:1, 35; 25:11; 26:3, 4; 28:3, 4, 14; 24:1, 35; 25:11; 32:12; 35:11; 41:49; 47:27; 48:16-19; 22:18; Kut 1:7; 5:5; 32:13; 20:24; Kum 1:10; 10:22; 13:17; 26:5; Yos 11:4; 24:3; 2Sam 17:11; 1Fal 3:8; 4:20; 1Nya 27:23; 2Nya 1:9; Neh 9:23; Za 107:38; 67:6; 115:12; Isa 6:13; 10:22; 48:19; 51:2; 54:3; 60:22; 19:24; Yer 4:2; 33:22; Mik 4:7; Hes 22:12; 23:8, 20; 24:9; Isa 44:3; 61:9; 65:23; Mal 3:12; Hag 2:19; Zek 8:13“Mimi nitakufanya taifa kubwa

na nitakubariki,

Nitalikuza jina lako,

nawe utakuwa baraka.

312:3 Mwa 27:29; 15:5; 18:18; 22:18; 26:4; 28:4, 14; Kut 23:22; Hes 24:9; Kum 30:7; 9:5; Za 72:17; Isa 19:25; Mdo 3:25; Gal 3:8Nitawabariki wale wanaokubariki,

na yeyote akulaaniye nitamlaani;

na kupitia kwako mataifa yote duniani

yatabarikiwa.”

412:4 Mwa 11:27, 31; 16:3, 16; 17:17-24; 21:5Hivyo Abramu akaondoka kama Bwana alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano. 512:5 Mwa 11:29, 31; 13:2-6; 31:18; 46:6; 14:14; 15:3; 17:23; 16:3; Mhu 2:7; Ebr 11:8Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.

612:6 Ebr 11:9; 1Fal 12:1; Mwa 10:18; 33:18; 17:12; 35:4; Yos 17:7; 20:7; 24:26; Amu 7:1; 9:6; 8:31; 21:19; Za 60:6; 108:7Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo. 712:7 Mwa 8:20; 17:1, 8; 18:1; 26:2; 35:1; 13:4, 15-17; 15:18; 23:18; 24:7; 26:3-4; 28:13; 35:12; 48:4; 50:24; Kut 6:4-8; 6:3; 13:5, 11; 32:13; 33:1; Mdo 7:2, 5; Hes 10:29; 11:12; Kum 1:8; 2:31; 9:5; 11:9; 34:4; 30:5; Ebr 11:8; Rum 4:13; 2Fal 25:21; 1Nya 16:16; 2Nya 20:7; Za 109:9-11; Yer 25:5; Eze 47:14; Gal 3:16Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu Bwana aliyekuwa amemtokea.

812:8 Mwa 4:26; 8:20; 13:3; 28:11, 19; 26:25; 33:19; 35:1, 8, 15; Yos 7:2; 8:9; 12:9; Yer 49:3; 1Sam 7:16; 1Fal 12:29; Hos 12:4; Amo 3:14; 4:4; Ebr 11:9; Ezr 2:28; Neh 7:32Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea Bwana madhabahu na akaliitia jina la Bwana. 912:9 Mwa 13:1-3; 20:1; 24:62; Hes 13:17; 33:40; Kum 34:3; Yos 10:40Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

Abramu Katika Nchi Ya Misri

1012:10 Mwa 41:27; 42:5; 43:1; 47:4, 13; 41:30, 54-56; 47:20; Rut 1:1; 1Sam 21:1; 2Fal 8:1; Za 105:16Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali. 1112:11 Mwa 11:29; 24:16; 26:7; 29:17; 39:6Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura. 12Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai. 1312:13 Mwa 20:2; 26:7Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”

14Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura. 15Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme. 1612:16 Mwa 24:35; 26:14; 30:43; 32:5; 34:23; 47:17; Ay 1:3; 31:25Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.

1712:17 2Fal 15:5; Isa 53:4; Ay 30:11; 1Nya 16:21; Za 105:14Lakini Bwana akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu. 1812:18 Mwa 20:9; 26:10; 29:25; 31:26; 44:15; Isa 43:27; 51:2; Eze 16:3Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako? 1912:19 Mwa 20:5; 26:9Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!” 20Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

Swedish Contemporary Bible

1 Moseboken 12:1-20

Abram

(12:1—22:19)

Gud kallar Abram

1Herren sa till Abram: ”Lämna ditt land, dina släktingar och din faders hus och gå till det land som jag ska visa dig!

2Jag ska göra dig till ett stort folk.

Jag ska välsigna dig och göra ditt namn stort,

så att du blir till välsignelse.

3Jag ska välsigna dem som välsignar dig

och förbanna dem som hädar dig.

Genom dig ska alla jordens släkter bli välsignade.”

4Då bröt Abram upp, som Herren hade sagt till honom, och Lot följde också med. Abram var 75 år gammal när han lämnade Harran. 5Han tog med sig sin hustru Saraj, sin brorson Lot och allt han ägde, boskapen och slavarna han hade fått i Harran, och kom slutligen till Kanaan. 6När de reste genom Kanaan, kom de till en plats nära Shekem och slog läger bredvid Mores ek12:6 En berömd helig plats låg i Shekem mitt i Kanaan. Ett stort träd var ofta utmärkande för dessa heliga platser. Abram tillbad dock Gud, inte någon avgud.. Landet beboddes vid den tiden av kanaanéer.

7Här uppenbarade sig Herren för Abram och sa: ”Jag ska ge detta land till dina ättlingar12:7 Bokstavligen till din säd, alltså avkomma. Detta gäller på samtliga ställen i Bibeln med detta uttryck. Se vidare not till Gal 3:16..” Abram byggde ett altare där åt Herren som hade uppenbarat sig för honom. 8Efteråt lämnade Abram platsen och reste till det bergiga landskapet mellan Betel i väst och Aj i öst. Där slog han läger och byggde ett altare åt Herren och åkallade Herren. 9Sedan flyttade han undan för undan längre söderut till Negev.

10Det blev hungersnöd i landet. Abram reste då ner till Egypten för att bo där, eftersom hungersnöden var så svår. 11När han närmade sig Egypten, sa han till sin hustru Saraj: ”Jag vet ju att du är en mycket vacker kvinna. 12När egypterna ser dig kommer de att säga: ’Detta är hans hustru.’ Då dödar de mig och låter dig leva. 13Säg därför att du är min syster, och då kommer egypterna att behandla mig väl för din skull och skona mitt liv.” 14När de anlände till Egypten, såg egypterna Sarajs skönhet. 15Och när faraos hovmän lovordade henne för honom, lät han hämta henne till sitt palats. 16Farao behandlade Abram väl för hennes skull: han fick får, oxar, åsnor, slavar av båda könen och kameler.

17Men Herren sände fruktansvärda plågor över farao och hans hov på grund av Abrams hustru Saraj. 18Då kallade farao på Abram och anklagade honom: ”Vad är det du har gjort mot mig?” sa han. ”Varför talade du inte om för mig att hon är din hustru? 19Varför sa du att hon var din syster och gick med på att jag gifte mig med henne? Ta henne nu och ge dig iväg!” 20Sedan befallde Farao sina män att föra ut dem allesammans ur landet, Abram, hans hustru och allt vad han ägde.