127:1 Lk 12:19-20; Yak 4:13; Mt 6:34; 1Fal 20:11Usijisifu kwa ajili ya kesho,
kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.
227:2 Mit 25:27Mwache mwingine akusifu,
wala si kinywa chako mwenyewe;
mtu mwingine afanye hivyo
na si midomo yako mwenyewe.
327:3 Ay 6:3; Es 1:12Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,
lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.
427:4 1Yn 3:12Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,
lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?
527:5 Gal 2:14Afadhali karipio la wazi
kuliko upendo uliofichika.
627:6 Za 141:5; Mit 28:23Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,
bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.
727:7 Ay 6:7Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,
bali kwa mwenye njaa
hata kile kilicho kichungu
kwake ni kitamu.
827:8 Isa 16:2; Ay 39:14Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,
ndivyo alivyo mtu atangatangaye
mbali na nyumbani mwake.
927:9 Es 2:12; Za 45:8Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,
nao uzuri wa rafiki huchipuka
kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.
1027:10 Mit 17:17Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,
tena usiende nyumbani mwa ndugu yako
wakati umepatwa na maafa.
Bora jirani wa karibu
kuliko ndugu aliye mbali.
1127:11 Mit 10:1; 23:15-16; Mwa 24:60Mwanangu, uwe na hekima,
nawe ulete furaha moyoni mwangu,
ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote
anitendaye kwa dharau.
1227:12 Mit 22:3Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.
1327:13 Mit 20:16Chukua vazi la yule awekaye dhamana
kwa ajili ya mgeni;
lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo
kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
1427:14 Za 12:2Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
asubuhi na mapema,
itahesabiwa kama ni laana.
1527:15 Es 1:18; Mit 19:13Mke mgomvi ni kama
matone yasiyokoma ya siku ya mvua.
16Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo
au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.
17Kama vile chuma kinoavyo chuma,
ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
1827:18 1Kor 9:7; Lk 19:12-27; Kum 20:6Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,
naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.
19Kama uso uonekanavyo kwenye maji,
ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.
2027:20 Mit 30:15-16; Hab 2:5; Mhu 6:7Kuzimu na Uharibifu havishibi
kadhalika macho ya mwanadamu.
2127:21 Mit 17:3Kalibu ni kwa ajili ya fedha
na tanuru kwa ajili ya dhahabu,
bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.
2227:22 Isa 1:5; Yer 5:3; Mit 23:35Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,
ukimtwanga kama nafaka kwa mchi,
hutauondoa upumbavu wake.
2327:23 Mit 12:10; Yer 5:3Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako
ya kondoo na mbuzi,
angalia kwa bidii ngʼombe zako.
2427:24 Mit 23:5Kwa kuwa utajiri haudumu milele,
nayo taji haidumu vizazi vyote.
2527:25 Za 104:14Wakati majani makavu yameondolewa
na mapya yamechipua,
nayo majani toka milimani yamekusanywa,
26wana-kondoo watakupatia mavazi
na mbuzi thamani ya shamba.
27Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi
kukulisha wewe na jamaa yako,
na kuwalisha watumishi wako wa kike.
1Do not boast about tomorrow,
for you do not know what a day may bring.
2Let someone else praise you, and not your own mouth;
an outsider, and not your own lips.
3Stone is heavy and sand a burden,
but a fool’s provocation is heavier than both.
4Anger is cruel and fury overwhelming,
but who can stand before jealousy?
5Better is open rebuke
than hidden love.
6Wounds from a friend can be trusted,
but an enemy multiplies kisses.
7One who is full loathes honey from the comb,
but to the hungry even what is bitter tastes sweet.
8Like a bird that flees its nest
is anyone who flees from home.
9Perfume and incense bring joy to the heart,
and the pleasantness of a friend
springs from their heartfelt advice.
10Do not forsake your friend or a friend of your family,
and do not go to your relative’s house when disaster strikes you—
better a neighbor nearby than a relative far away.
11Be wise, my son, and bring joy to my heart;
then I can answer anyone who treats me with contempt.
12The prudent see danger and take refuge,
but the simple keep going and pay the penalty.
13Take the garment of one who puts up security for a stranger;
hold it in pledge if it is done for an outsider.
14If anyone loudly blesses their neighbor early in the morning,
it will be taken as a curse.
15A quarrelsome wife is like the dripping
of a leaky roof in a rainstorm;
16restraining her is like restraining the wind
or grasping oil with the hand.
17As iron sharpens iron,
so one person sharpens another.
18The one who guards a fig tree will eat its fruit,
and whoever protects their master will be honored.
19As water reflects the face,
so one’s life reflects the heart.27:19 Or so others reflect your heart back to you
20Death and Destruction27:20 Hebrew Abaddon are never satisfied,
and neither are human eyes.
21The crucible for silver and the furnace for gold,
but people are tested by their praise.
22Though you grind a fool in a mortar,
grinding them like grain with a pestle,
you will not remove their folly from them.
23Be sure you know the condition of your flocks,
give careful attention to your herds;
24for riches do not endure forever,
and a crown is not secure for all generations.
25When the hay is removed and new growth appears
and the grass from the hills is gathered in,
26the lambs will provide you with clothing,
and the goats with the price of a field.
27You will have plenty of goats’ milk to feed your family
and to nourish your female servants.