Mithali Zaidi Za Solomoni
125:1 1Fal 4:32Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:
225:2 Kum 29:29; Rum 11:33; Mit 10:10-15Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,
bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.
3Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,
ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.
425:4 2Tim 2:21Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,
nako ndani yake kutatokea chombo
cha mfua fedha.
525:5 2Sam 7:13; Mit 20:8; 29:14Ondoa waovu mbele ya mfalme,
nacho kiti chake cha enzi
kitaimarishwa kwa njia ya haki.
6Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,
wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;
725:7 Lk 14:7-10ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”
kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu.
Kile ulichokiona kwa macho yako
825:8 Mit 17:14; Mt 5:25-26usiharakishe kukipeleka mahakamani,
maana utafanya nini mwishoni
kama jirani yako atakuaibisha?
925:9 Mt 5:25; 18:15Kama ukifanya shauri na jirani yako,
usisaliti siri ya mtu mwingine,
10ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha
na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.
1125:11 Mit 15:23; Isa 50:4Neno lisemwalo kwa wakati ufaao
ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu
yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
1225:12 Za 141:5; Mit 15:31Kama vile kipuli cha dhahabu
au pambo la dhahabu safi,
ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima
kwa sikio lisikilizalo.
1325:13 Mit 13:17; 10:26Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno
ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao,
huburudisha roho za bwana zake.
1425:14 Mit 20:6; Yud 12Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua
ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.
1525:15 Mhu 10:4; Mit 15:1; Mwa 32:4; 1Sam 25:24Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,
nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.
1625:16 Mit 25:27Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,
ukila zaidi, utatapika.
17Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,
ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.
1825:18 Za 57:4; Mit 12:18Kama vile rungu au upanga au mshale mkali
ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.
1925:19 Ay 6:14-20; 2Tim 4:16Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,
ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.
2025:20 Dan 6:18; Rum 12:15Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,
au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi,
ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.
2125:21 Kut 23:4; Mt 5:44; Rum 12:20Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;
kama ana kiu, mpe maji anywe.
2225:22 2Sam 16:22; Mt 5:44; Za 18:8Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,
naye Bwana atakupa thawabu.
2325:23 Ay 37:22; Za 105:5Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,
ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.
2425:24 Mit 19:13; 21:9, 19Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,
kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka
ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
2625:26 Mik 7:8Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au
kisima kilichotiwa taka
ndivyo alivyo mtu mwenye haki
akishiriki na waovu.
2725:27 Mit 27:2; Mt 23:12; Lk 14:11Si vyema kula asali nyingi sana,
wala si heshima
kujitafutia heshima yako mwenyewe.
2825:28 Mit 16:32Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka
ndivyo alivyo mtu
ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.
Más proverbios de Salomón
1También estos son otros proverbios de Salomón, copiados por los escribas de Ezequías, rey de Judá.
2La gloria de Dios es ocultar un asunto
y la gloria de los reyes es investigarlo.
3Tan impenetrable es el corazón de los reyes
como alto es el cielo y profunda la tierra.
4Quita la escoria de la plata
y de allí saldrá material para25:4 saldrá material para. Alt. sacará una copa para. el orfebre;
5quita de la presencia del rey a oficiales malvados
y el rey afirmará su trono en la justicia.
6No te des importancia en presencia del rey
ni reclames un lugar entre la gente importante;
7vale más que el rey te diga: «Sube acá»
y no que te humille ante gente importante.
Lo que has visto con tus ojos
8no lo lleves25:7-8 gente importante. Lo que … no lo lleves. Alt. gente importante / sobre la que hayas posado tus ojos. 8 No vayas. de inmediato al tribunal,
pues ¿qué harás si a fin de cuentas
tu prójimo te pone en vergüenza?
9Defiende tu causa contra tu prójimo,
pero no traiciones la confianza de nadie,
10no sea que te avergüence el que te oiga
y ya no puedas quitarte la infamia.
11Como manzanas de oro con incrustaciones de plata
son las palabras dichas a tiempo.
12Como anillo o collar de oro fino
son los regaños del sabio en oídos atentos.
13Como frescura de nieve en día de la cosecha
es el enviado confiable para quien lo envía,
pues infunde nuevo ánimo en sus amos.
14Nubes y viento, y nada de lluvia,
es quien presume de dar y nunca da nada.
15Con paciencia se convence al gobernante.
¡La lengua amable quebranta hasta los huesos!
16Si encuentras miel, no te empalagues;
la mucha miel provoca náuseas.
17No frecuentes la casa de tu amigo;
no sea que lo fastidies y llegue a aborrecerte.
18Un mazo, una espada, una aguda saeta,
eso es el testigo falso que declara contra su amigo.
19Confiar en gente desleal en momentos de angustia
es como tener un diente roto o una pierna vacilante.
20Dedicarle canciones al corazón afligido
es como echarle vinagre a una herida
o como andar desabrigado en un día de frío.
21Si tu enemigo tiene hambre, dale de comer;
si tiene sed, dale de beber.
22Actuando así, harás que se avergüence de su conducta,25:22 harás … conducta. Lit. ascuas amontonarás sobre su cabeza.
y el Señor te lo recompensará.
23Con el viento del norte vienen las lluvias;
con la lengua viperina, las malas caras.
24Más vale habitar en un rincón de la azotea
que compartir el techo con mujer pendenciera.
25Como el agua fresca a la garganta reseca
son las buenas noticias desde lejanas tierras.
26Manantial turbio, contaminado pozo,
es el justo que flaquea ante el impío.
27No hace bien comer mucha miel
ni es honroso buscar la propia gloria.
28Como ciudad sin defensa y sin murallas
es quien no sabe dominarse.