Matendo 5 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 5:1-42

Anania Na Safira

1Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja. 25:2 Mdo 4:35-37Huku mkewe akijua kikamilifu, Anania alificha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka miguuni pa mitume.

35:3 Mt 4:10; Yn 13:2, 27Petro akamuuliza, “Anania, mbona Shetani ameujaza moyo wako ili kumwambia uongo Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata kutokana na kiwanja? 45:4 Kum 23:22; Law 6:2Je, kabla hujauza hicho kiwanja si kilikuwa mali yako? Hata baada ya kukiuza, fedha ulizopata si zilikuwa kwenye uwezo wako? Kwa nini basi umewaza hila hii moyoni mwako kufanya jambo kama hili? Wewe hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu.”

55:5 Za 5:6; Mdo 5:10Anania aliposikia maneno haya akaanguka chini na kufa. Hofu kuu ikawapata wote waliosikia jambo lililokuwa limetukia. 65:6 Yn 19:40Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakamchukua nje kumzika.

7Saa tatu baadaye mkewe Anania akaingia, naye hana habari ya mambo yaliyotukia. 85:8 Mdo 5:2Petro akamuuliza, “Niambie, je, mliuza kiwanja kwa thamani hii?” Akajibu, “Ndiyo, tuliuza kwa thamani hiyo.”

95:9 Mdo 5:3; Mt 4:7Ndipo Petro akamwambia, “Imekuwaje mkakubaliana kumjaribu Roho wa Bwana? Tazama! Nyayo za vijana waliomzika mumeo ziko mlangoni, wewe nawe watakuchukua nje.”

105:10 Mdo 5:5, 6Saa ile ile akaanguka chini miguuni mwake na kufa. Nao wale vijana wakaingia, wakamkuta amekufa, wakamchukua wakamzika kando ya mumewe. 115:11 Mdo 19:7Hofu kuu ikalipata kanisa lote pamoja na watu wote waliosikia juu ya matukio haya.

Mitume Waponya Wengi

125:12 Yn 4:48; Mdo 2:43; 4:32; Yn 10:23Mitume wakafanya ishara nyingi na miujiza miongoni mwa watu. Walioamini wote walikuwa wakikusanyika katika ukumbi wa Solomoni. 135:13 Mdo 2:47; 4:21; Yn 9:22; 12:42; 19; 18Hakuna mtu mwingine aliyethubutu kuambatana nao ijapokuwa waliheshimiwa sana na watu. 145:14 Mdo 2:41, 47; 6; 7; 21:20Hata hivyo, waliomwamini Bwana wakazidi kuongezeka, wanaume na wanawake. 155:15 Mdo 19; 12Hata wakawa wanawaleta wagonjwa na kuwalaza kwenye magodoro na kwenye vitanda barabarani ili yamkini Petro akipita kivuli chake kiwaguse baadhi yao. 165:16 Mt 8:16; Mk 16:17Pia watu wakakusanyika kutoka miji iliyokuwa karibu na Yerusalemu, wakileta wagonjwa na watu walioteswa na pepo wachafu. Hao wote wakaponywa.

Mitume Washtakiwa

175:17 Mdo 15:5; 4:1Kisha kuhani mkuu na wenzake wote waliokuwa pamoja naye, waliokuwa wa kundi la Masadukayo, wakajawa na wivu. 18Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani. 195:19 Kut 3:2; Mt 28:2; Mdo 16:26Lakini wakati wa usiku, malaika wa Bwana akaja, akafungua milango ya gereza na akawatoa nje. Akawaambia, 205:20 Yn 6:63-68; 17:3; 1Yn 5:11“Nendeni, mkasimame Hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uzima huu mpya.”

215:21 Mdo 4:5-6; Mt 5:22Waliposikia haya wakaenda Hekaluni alfajiri wakaendelea kufundisha watu.

Kuhani mkuu na wale waliokuwa pamoja nao walipowasili, alikusanya baraza na wazee wote wa Israeli wakatuma wale mitume waletwe kutoka gerezani. 225:22 Mdo 12:18, 19Lakini wale walinzi wa Hekalu walipokwenda gerezani hawakuwakuta mitume mle. Kwa hiyo wakarudi na kutoa habari. 23Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote ndani.” 245:24 Lk 22:4; Mdo 4:1Basi mkuu wa walinzi wa Hekalu na viongozi wa makuhani waliposikia haya, wakafadhaika na kushangaa sana kwa ajili yao kwamba jambo hili litakuwaje.

25Ndipo mtu mmoja akaja akawaambia, “Tazameni watu mliowatia gerezani wako Hekaluni wakiwafundisha watu.” 265:26 Mdo 4:21Ndipo yule mkuu wa walinzi wa Hekalu wakaenda pamoja na askari wakawaleta wale mitume, lakini bila ghasia kwa sababu waliogopa kupigwa mawe na watu.

275:27 Mt 5:22Wakiisha kuwaleta mitume wakawaamuru kusimama mbele ya baraza ili kuhani mkuu awahoji. 285:28 Mdo 4:18; Mt 23:35; 27:25“Tuliwaonya kwa nguvu msifundishe kwa jina hili, lakini ninyi mmeijaza Yerusalemu yote mafundisho yenu na tena mmekusudia kuleta damu ya mtu huyu juu yetu.”

295:29 Kut 1:17; Mdo 4:19Petro na wale mitume wengine wakajibu, “Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu. 305:30 Mdo 3:13; 2:24; Gal 3:13; 1Pet 2:24Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu, ambaye ninyi mlimuua kwa kumtundika kwenye msalaba. 315:31 Mk 16:19; Lk 2:11; Mdo 2:23Mungu alimtukuza, akamweka mkono wake wa kuume kuwa Kiongozi na Mwokozi ili awape Israeli toba na msamaha wa dhambi. 325:32 Lk 24:48; Yn 15:26Nasi tu mashahidi wa mambo haya, vivyo hivyo na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii.”

335:33 Mdo 2:37; 7:54Wale wajumbe wa baraza la wazee waliposikia haya, walijawa na ghadhabu, wakataka kuwaua mitume. 345:34 Mdo 22:3; Lk 2:46; 5:17Lakini Farisayo mmoja, jina lake Gamalieli, aliyekuwa mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote, akasimama mbele ya baraza akaamuru mitume watolewe nje kwa muda. 35Ndipo alipowaambia wajumbe wa baraza, “Enyi watu wa Israeli, fikirini kwa uangalifu mnayotaka kuwatendea watu hawa. 365:36 Mdo 21:38Kwa maana wakati uliopita, aliinuka mtu mmoja jina lake Theuda, alijidai kuwa yeye ni mtu maarufu, akapata wafuasi wapatao 400 walioambatana naye. Lakini aliuawa, na wafuasi wake wote wakatawanyika, wakawa si kitu. 375:37 Lk 2:2Baada yake, alitokea Yuda Mgalilaya wakati wa kuorodhesha watu, naye akaongoza kundi la watu kuasi. Yeye pia aliuawa, nao wafuasi wake wakatawanyika. 385:38 Lk 15:13Kwa hiyo, kwa habari ya jambo hili nawashauri, jiepusheni na watu hawa. Waacheni waende zao! Kwa maana kama kusudi lao na shughuli yao imetokana na mwanadamu, haitafanikiwa. 395:39 2Nya 13:12; Mdo 11:17Lakini ikiwa imetoka kwa Mungu, hamtaweza kuwazuia watu hawa. Badala yake mtajikuta mnapigana na Mungu.”

405:40 Mt 10:17Wakapokea ushauri wa Gamalieli. Wakawaita mitume ndani, wakaamuru wachapwe mijeledi, kisha wakawaagiza wasinene tena kwa jina la Yesu, wakawaachia waende zao.

415:41 Mt 5:12; Mk 15:21Nao mitume wakatoka nje ya baraza, wakiwa wamejaa furaha kwa sababu wamehesabiwa kustahili kupata aibu kwa ajili ya jina la Yesu. 425:42 Mdo 2:46; 4:20, 29; 9:22; 13:32Kila siku, Hekaluni na nyumba kwa nyumba, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema kwamba Yesu ndiye Kristo.5:42 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.

Knijga O Kristu

Djela Apostolska 5:1-42

Ananija i Safira

1Neki pak čovjek imenom Ananija proda skupa sa svojom ženom Safirom imanje. 2U dogovoru sa ženom odvoji dio novca i zadrži ga, a ostatak donese apostolima na raspolaganje.

3Petar mu reče: “Ananija! Zašto ti je Sotona ispunio srce? Lagao si Svetome Duhu i zadržao dio novca za sebe. 4Nisi morao prodati imanje i ostalo bi tvoje. A i kad si ga prodao, novac je bio tvoj. Mogao si odlučiti da ga dadeš ili da ga zadržiš. Zašto si takvo što učinio? Nisi slagao ljudima, nego Bogu!”

5Čim je Ananija to čuo, sruši se i izdahne. Silan strah spopadne sve koji su za to čuli. 6Priđu neki mladići, poviju ga u plahte te iznesu i pokopaju.

7Nakon otprilike tri sata dođe njegova žena ne znajući što se dogodilo. 8Petar ju upita: “Reci mi, jeste li za ovoliko novca prodali zemljište?”

“Jesmo”, odgovori žena. “Za toliko.”

9“Pa što vam je bilo da ste se tako urotili kušati Duha Gospodnjega? Ondje su na vratima mladići koji su ti pokopali muža. I tebe će iznijeti!” reče Petar.

10Ona se smjesta sruši na pod i umre. Mladići uđu i videći da je mrtva, iznesu ju i pokopaju pokraj muža. 11Cijelu Crkvu i sve koji su za to čuli spopadne silan strah.

Apostoli iscjeljuju mnoštvo

12Preko ruku apostola događala su se mnoga čudesa i znamenja među narodom. Svi su se vjernici jednodušno okupljali u Salomonovu trijemu. 13Nitko im se nije usuđivao pridružiti, ali narod ih je veličao. 14Sve je više i više muškaraca i žena vjerovalo u Gospodina. 15Ljudi su na ulice iznosili bolesnike na ležajevima i nosiljkama ne bi li na njih u prolazu pala barem Petrova sjena. 16Mnoštvo je nagrnulo iz sela oko Jeruzalema. Donosili su bolesnike i opsjednute nečistim duhovima. I svi su ozdravljali.

Apostole progone

17Veliki svećenik i njegovi pristaše iz saducejske sljedbe razjare se od zavisti. 18Uhite apostole i bace ih u javni zatvor. 19Ali kad je pala noć, dođe anđeo Gospodnji te otvori vrata zatvora i izvede ih. Reče im: 20“Idite samo i nastavite ljudima u Hramu govoriti sve o Životu!” 21Apostoli tako u svanuće uđu u Hram i odmah počnu poučavati.

U međuvremenu stignu veliki svećenik i njegove pristaše te sazovu Vijeće i izraelske starješine. Pošalju zatim u zatvor po apostole da ih izvedu pred sud. 22Ali kad stražari stignu onamo, ne nađu ih u tamnici. Vrate se i jave: 23“Zatvor je zaključan i stražari su pred vratima, ali kad smo ih otvorili i ušli, unutra nije bilo nikoga!”

24Kad su zapovjednik hramske straže i veliki svećenici to čuli, zbunjeno su se pitali što sve to znači. 25Uto im netko dođe javiti da su zatvorenici u Hramu te da ondje poučavaju narod.

26Zapovjednik ode sa stražarima i uhiti ih, ali ne na silu jer se bojao da ih narod ne kamenuje. 27Izvedu tako apostole pred Vijeće. 28“Nismo li vam strogo zabranili poučavati u ime toga čovjeka?” upita ih veliki svećenik. “A vi ste napunili Jeruzalem učenjem o Isusu i još nas optužujete za njegovu smrt!”

29Ali Petar i apostoli odgovore: “Valja nam se pokoravati Bogu, a ne ljudima. 30Bog naših predaka uskrisio je Isusa, kojega ste smaknuli pribivši ga na križ. 31Uzvisio ga je svojom desnicom da bude Vođa i Spasitelj, da izraelskomu narodu omogući da se obrati i da im oprosti grijehe. 32Svjedoci svega toga smo mi i Sveti Duh kojega je Bog dao onima što mu se pokoravaju.”

33Nato se vijećnici razgnjeve. Htjeli su ih smaknuti. 34Ali ustane neki farizej, član Vijeća, imenom Gamaliel. Bio je to zakonoznanac kojega je narod vrlo cijenio. Zapovjedi da apostole načas izvedu. 35Onda reče vijećnicima: “Izraelci, dobro razmislite što ćete učiniti s tim ljudima! 36Podigao se tako prije i neki Teuda tvrdeći da je netko velik. Stekao je oko četiri stotine pristaša, ali je ubijen i svi su se razbježali. 37Poslije se u vrijeme popisa stanovništva podigao Juda Galilejac i poveo narod za sobom. I on je ubijen i sljedbenici su mu se razbježali.

38Savjetujem zato: ne dirajte te ljude i pustite ih. Potječu li njihovo poučavanje i njihova djela od čovjeka, propast će. 39A ako su od Boga, nećete ih moći uništiti. Pazite da ne zaratite s Bogom.” Vijeće prihvati njegov savjet.

40Pozovu apostole, išibaju ih, zabrane im da govore u Isusovo ime te ih puste. 41Apostoli odu radosni iz Vijeća što ih je Bog smatrao dostojnima da trpe pogrdu zbog Isusova imena. 42I svaki dan su u Hramu i po kućama navješćivali da je Isus Mesija.