Marko 8 – NEN & HHH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Marko 8:1-38

Yesu Alisha Wanaume 4,000

(Mathayo 15:32-39)

18:1 Mt 15:32Katika siku hizo, umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa hawana chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia, 28:2 Mt 9:36“Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula. 3Nikiwaaga waende nyumbani bila kula, watazimia njiani kwa sababu baadhi yao wametoka mbali.”

4Wanafunzi wake wakamjibu, “Lakini hapa nyikani tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha?”

58:5 Mt 15:34; Mk 6:38Yesu akawauliza, “Mna mikate mingapi?”

Wakajibu, “Tuna mikate saba.”

6Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo. 78:7 Mt 14:19Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu. 88:8 Mk 8:20Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba. 9Watu waliokula walikuwa wapata 4,000. Akiisha kuwaaga, 108:10 Mt 15:39aliingia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda sehemu za Dalmanutha.

Mafarisayo Waomba Ishara

(Mathayo 12:38-42; 16:1-4)

118:11 Mt 12:38Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni. 128:12 Mk 7:34Akahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Amin nawaambieni, hakitapewa ishara yoyote.” 13Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ngʼambo.

Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode

(Mathayo 16:5-12)

148:14 Mt 16:5Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu kwenye mashua. 158:15 1Kor 5:6-8; Lk 12:1; Mt 14:1; Mk 12:13Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”

168:16 Mt 16:7Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”

178:17 Isa 6:9-10; Mk 6:52Yesu, akifahamu majadiliano yao, akawauliza: “Mbona mnajadiliana kuhusu kutokuwa na mikate? Je, bado hamtambui wala hamwelewi? Je, mbona mioyo yenu ni migumu kiasi hicho? 188:18 Yer 5:21; Eze 12:2Je, mna macho lakini mnashindwa kuona, na mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, hamkumbuki? 198:19 Lk 9:17; Yn 6:13Nilipoimega ile mikate mitano kuwalisha watu 5,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?”

Wakamjibu, “Kumi na viwili.”

208:20 Mk 8:6-9; Mt 15:37“Je, nilipoimega ile mikate saba kuwalisha watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?”

Wakamjibu, “Saba.”

218:21 Mk 6:52Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Yesu Amponya Kipofu Huko Bethsaida

228:22 Mt 11:21; Mk 10:46; Yn 9:1Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta mtu mmoja kipofu wakamsihi Yesu amguse. 238:23 Mk 7:33; 5:23Yesu akamshika mkono huyo kipofu akampeleka nje ya kijiji. Baada ya kuyatemea mate macho ya yule kipofu na kumwekea mikono, Yesu akamuuliza, “Unaona chochote?”

24Yule kipofu akaangalia, akasema, “Ninaona watu, wanaonekana kama miti inayotembea.”

25Yesu akamwekea tena mikono machoni. Kisha macho yake yakafunguka, kuona kwake kukarejea naye akaona kila kitu dhahiri. 268:26 Mt 8:14; Mk 5:43Yesu akamuaga aende nyumbani kwake, akimwambia, “Hata kijijini usiingie.”

Petro Amkiri Yesu Kuwa Ndiye Kristo

(Mathayo 16:13-20; Luka 9:18-21)

278:27 Mt 16:13; Lk 9:18Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria-Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”

288:28 Mt 3:1; Mal 4:5Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema wewe ni mmojawapo wa manabii.”

298:29 Yn 6:69; 11:27Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?”

Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo.”8:29 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.

308:30 Mt 17:9; Lk 9:21Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.

Yesu Atabiri Kifo Chake

(Mathayo 16:21-28; Luka 9:22-27)

318:31 Mt 8:20; 16:21; 27:1-2; Mdo 2:23Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa Mwana wa Adamu lazima atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini baada ya siku tatu afufuke. 328:32 Yn 18:20Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.

338:33 Mt 4:10Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia wanafunzi wake, akamkemea Petro. Akasema, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”

348:34 Mt 10:38; Lk 14:27Ndipo akauita ule umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akasema, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate. 358:35 Yn 12:25Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili atayaokoa. 36Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake? 37Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? 388:38 Mt 8:20; 10:33; Lk 12:9; 1The 2:19Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מרקוס 8:1-38

1יום אחד כשהתאסף קהל גדול סביב ישוע, שוב לא היה להם מה לאכול. ישוע כינס את תלמידיו כדי לדון במצב.

2”אני מרחם על האנשים האלה“, אמר. ”הם נמצאים כאן כבר שלושה ימים, ונגמר להם האוכל. 3אם אשלח אותם הביתה רעבים, הם יתעלפו בדרך, מפני שחלקם באו ממקומות רחוקים.“

4”מאין נמצא להם אוכל במקום השומם הזה?“ שאלו התלמידים בפליאה.

5”כמה ככרות לחם יש לכם?“ שאל אותם ישוע. ”שבע“, השיבו. 6ישוע ביקש מהקהל לשבת על הארץ. הוא לקח את שבע ככרות הלחם, הודה לאלוהים עליהן, פרס את הלחם לפרוסות ונתן לתלמידיו כדי שיגישו לקהל. 7הם מצאו גם כמה דגים קטנים. ישוע ברך עליהם וביקש מתלמידיו להגישם לקהל. 8‏-9למרבה הפלא אכלו כולם עד ששבעו, ולאחר מכן שלח אותם ישוע הביתה. כארבעת־אלפים איש השתתפו בארוחה באותו יום, וכשאספו את השאריות והפירורים הם מילאו שבעה סלים גדולים!

10מיד לאחר מכן עלו ישוע ותלמידיו לסירה ושטו לאזור דלמנותא. 11הפרושים בדלמנותא שמעו על בואו, ובאו להתווכח איתו ולנסותו. הם אמרו לישוע: ”הראה לנו אות מהשמים, ואז נאמין בך.“

12ישוע נאנח אנחה עמוקה והשיב: ”לא אחולל למענכם כל פלא ולא אראה לכם כל אות מהשמים. כמה הוכחות דרושות לכם כדי שתאמינו?“

13ישוע עזב אותם, חזר לסירה ושט לגדה השנייה של הכינרת. 14התלמידים שכחו לקחת איתם מספיק אוכל, ונותרה להם בסירה רק כיכר לחם אחת.

15בהיותם בסירה הזהיר ישוע את תלמידיו בתקיפות: ”היזהרו מהשאור של המלך הורדוס ושל הפרושים!“

16”למה הוא מתכוון?“ שאלו התלמידים זה את זה. לבסוף הגיעו למסקנה שהוא ודאי מדבר על כך ששכחו לקחת איתם מספיק לחם.

17ישוע הקשיב לשיחתם והגיב: ”אתם טועים לגמרי. איני מדבר כלל על הלחם שבסירה. האם קשה לכם כל־כך להבין זאת? 18למה אתם לא רואים, למה אתם לא שומעים? למה אתם לא קולטים דבר?

19”האם שכחתם את חמשת־אלפים האנשים שהאכלתי בחמש כיכרות לחם? אמרו לי, כמה לחם נותר לאחר הארוחה?“

”שנים־עשר סלים מלאים“, ענו התלמידים.

20”וכאשר האכלתי את ארבעת־אלפים האנשים בשבע ככרות לחם, כמה נותר בסוף?“

”שבעה סלים מלאים“, השיבו התלמידים.

21”ואתם עוד מעזים לחשוב שאני דואג משום שיש לנו רק כיכר לחם אחת?“

22בהגיעם לבית־צידה הביאו אליו מספר אנשים אדם עיוור, והתחננו לפניו שיגע בו וישיב לו את ראייתו. 23ישוע אחז ביד העיוור והוציאו אל מחוץ לכפר, שם ירק בעיניו והניח עליהן את ידיו.

”האם אתה רואה עכשיו?“ שאל ישוע.

24האיש הביט סביבו והשיב: ”כן! אני רואה אנשים; אבל הם נראים מטושטשים – כמו עצים מהלכים!“

25ישוע הניח שוב את ידיו על עיני האיש, והן נרפאו כליל. עתה יכול היה האיש לראות למרחוק בבירור.

26ישוע שלח אותו הביתה אל משפחתו ואמר: ”אל תלך לספר את הדבר לאנשי הכפר; לך ישר הביתה.“

27ישוע ותלמידיו עזבו את הגליל והלכו לכפרי קיסריה של פיליפוס. בדרך שאל ישוע את תלמידיו: ”מה אומרים עלי אנשים? למי הם חושבים אותי?“

28”יש אנשים שחושבים שאתה יוחנן המטביל,“ ענו התלמידים, ”ואחרים חושבים שאתה אליהו הנביא או נביא אחר.“

29”ומי אתם חושבים שאני?“ המשיך ישוע לשאול.

”אתה המשיח!“ קרא פטרוס. 30אולם ישוע הזהיר אותם שלא יגלו זאת לאיש.

31רק מאז החל ישוע לספר להם על הייסורים המצפים לו, והוא עוד סיפר שראשי הכוהנים, הסופרים והזקנים יגרמו למותו, אך יקום לתחייה לאחר שלושה ימים. 32ישוע דיבר אתם בגלוי לב, אולם פטרוס לקח אותו הצידה והוכיח אותו: ”אל תדבר כך!“

33ישוע הביט בפטרוס ואמר לו בחומרה: ”סור ממני, שטן שכמוך! אתה מסתכל על הדברים מנקודת ראות אנושית, ולא מנקודת ראותו של אלוהים.“

34ישוע ביקש מתלמידיו להתקרב אליו ולהקשיב. ”מי שרוצה ללכת בעקבותיי עליו להתכחש לעצמו, לשאת את צלבו וללכת אחרי. 35מי שחפץ להציל את חייו – יאבד אותם, ואילו מי שיוותר על חייו למעני ולמען הבשורה – יציל אותם.

36”איזה רווח יש לאדם שיכול להשיג את כל העולם אבל מפסיד חיי־נצח? 37מה כבר יכול בן־אדם לתת בתמורה לחייו? 38דעו לכם, שכל מי שמתבייש בי ובדברי בדור החוטא וחסר האמונה הזה, הוא יהיה לבושה לבן־האדם כאשר יבוא בכבודו עם המלאכים הקדושים.“