Maombolezo 5 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version

Maombolezo 5:1-22

15:1 Za 44:13-16; 89:50Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata,

tazama, nawe uione aibu yetu.

25:2 Za 79:1; Sef 1:13; Yer 17:4Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni,

na nyumba zetu kwa wageni.

35:3 Kut 22:24; Yer 15:8; 18:21Tumekuwa yatima wasio na baba,

mama zetu wamekuwa kama wajane.

45:4 Isa 55:1; Eze 4:16-17; Isa 3:1Ni lazima tununue maji tunayokunywa,

kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.

55:5 Isa 47:6; Neh 9:37; Yos 1:13Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu,

tumechoka na hakuna pumziko.

65:6 Yer 2:36; Mwa 24:2; Hos 5:13; 7:11; Yer 50:15; Hos 12:1Tumejitolea kwa Misri na Ashuru

tupate chakula cha kutosha.

75:7 Yer 14:20; 16:12; Eze 8:2; Yer 31:29; Eze 18:2; Mt 23:32Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena,

na sisi tunachukua adhabu yao.

85:8 Neh 5:15; Zek 11:6Watumwa wanatutawala

na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.

9Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu

kwa sababu ya upanga jangwani.

105:10 Ay 30:30; Mao 4:8-9Ngozi yetu ina joto kama tanuru,

kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.

115:11 Mwa 34:29; Zek 14:2; Isa 13:16Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni,

na mabikira katika miji ya Yuda.

12Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao,

wazee hawapewi heshima.

135:13 Amu 13:16; 16:21Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia,

wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

145:14 Isa 24:8; Yer 7:34; 2Fal 25:18Wazee wameondoka langoni la mji,

vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

155:15 Amu 8:10; Yer 25:10Furaha imeondoka mioyoni mwetu,

kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.

165:16 Yer 13:18; 14:20; Za 89:39; Ay 19:9; Isa 3:11Taji imeanguka kutoka kichwani petu.

Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!

175:17 Ay 17:7; Za 6:7; 16:8; Yer 8:18Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia,

kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,

185:18 Isa 27:10; Mik 3:12; Za 74:2-4kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa,

nao mbweha wanatembea juu yake.

195:19 1Nya 16:31; Za 45:6; 102:22-27Wewe, Ee Bwana unatawala milele,

kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.

205:20 Za 13:1; 44:24; 71:11Kwa nini watusahau siku zote?

Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

215:21 Isa 60:20-22; Za 80:3Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana,

ili tupate kurudi.

Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,

225:22 Isa 64:9; Yer 6:30; Za 53:5; 60:12isipokuwa uwe umetukataa kabisa

na umetukasirikia pasipo kipimo.

New Arabic Version

مراثي إرميا 5:1-22

1اذْكُرْ يَا رَبُّ مَا أَصَابَنَا. انْظُرْ وَعَايِنْ عَارَنَا. 2قَدْ تَحَوَّلَ مِيرَاثُنَا إِلَى الْغُرَبَاءِ وَبُيُوتُنَا إِلَى الأَجَانِبِ. 3أَصْبَحْنَا أَيْتَاماً لَا أَبَ لَنَا، وَأُمَّهَاتُنَا كَالأَرَامِلِ. 4بِالْفِضَّةِ شَرِبْنَا مَاءَنَا. وَبِثَمَنٍ ابْتَعْنَا حَطَبَنَا. 5دَاسَ مُضْطَهِدُونَا أَعْنَاقَنَا، أَعْيَيْنَا وَلَمْ نَجِدْ رَاحَةً. 6خَضَعْنَا بَاسِطِينَ أَيْدِينَا إِلَى أَشُّورَ وَمِصْرَ لِنَشْبَعَ خُبْزاً. 7قَدْ أَخْطَأَ آبَاؤُنَا، وَتَوَارَوْا عَنِ الْوُجُودِ، وَنَحْنُ نَتَحَمَّلُ عِقَابَ آثَامِهِمْ. 8تَسَلَّطَ عَلَيْنَا عَبِيدٌ، وَلَيْسَ مَنْ يُنْقِذُنَا مِنْ أَيْدِيهِمْ. 9بِأَنْفُسِنَا نَأْتِي بِخُبْزِنَا مُجَازِفِينَ بِحَيَاتِنَا مِنْ جَرَّاءِ السَّيْفِ الْكَامِنِ لَنَا فِي الصَّحْرَاءِ. 10جِلْدُنَا مُلْتَهِبٌ كَتَنُّورٍ مِنْ نِيرَانِ الْجُوعِ الْمُحْرِقَةِ. 11اغْتَصَبُوا النِّسَاءَ فِي صِهْيَوْنَ وَالْعَذَارَى فِي مُدُنِ يَهُوذَا. 12عُلِّقَ النُّبَلاءُ بِأَيْدِيهِمْ وَلَمْ يُوَقِّرُوا الشُّيُوخَ. 13سَخَّرُوا الشُّبَّانَ لِلطَّحْنِ، وَهَوَى الصِّبْيَانُ تَحْتَ الْحَطَبِ. 14هَجَرَ الشُّيُوخُ بَوَّابَةَ الْمَدِينَةِ، وَكَفَّ الشُّبَّانُ عَنْ غِنَائِهِمْ. 15انْقَطَعَ فَرَحُ قَلْبِنَا وَتَحَوَّلَ رَقْصُنَا إِلَى نَوْحٍ. 16تَهَاوَى إِكْلِيلُ رَأْسِنَا، فَوَيْلٌ لَنَا لأَنَّنَا قَدْ أَخْطَأْنَا. 17لِهَذَا غُشِيَ عَلَى قُلُوبِنَا، وَأَظْلَمَتْ عُيُونُنَا. 18لأَنَّ جَبَلَ صِهْيَوْنَ أَضْحَى أَطْلالاً تَرْتَعُ فِيهِ الثَّعَالِبُ.

19أَمَّا أَنْتَ يَا رَبُّ، فَتَمْلِكُ إِلَى الأَبَدِ، وَعَرْشُكَ ثَابِتٌ مِنْ جِيلٍ إِلَى جِيلٍ. 20لِمَاذَا تَنْسَانَا إِلَى الأَبَدِ وَتَتْرُكُنَا طُولَ الأَيَّامِ؟ 21رُدَّنَا يَا رَبُّ إِلَيْكَ فَنَرْجِعَ. جِدِّدْ أَيَّامَنَا كَمَا فِي الْعُهُودِ السَّالِفَةِ. 22إِلا إِنْ كُنْتَ قَدْ رَفَضْتَنَا كُلَّ الرَّفْضِ وَغَضِبْتَ عَلَيْنَا أَشَدَّ الْغَضَبِ.