Maombolezo 4 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Maombolezo 4:1-22

4 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 14:1 Eze 7:19Jinsi dhahabu ilivyopoteza mngʼao wake,

dhahabu iliyo safi haingʼai!

Vito vya thamani vimetawanywa

kwenye mwanzo wa kila barabara.

24:2 Isa 51:18; 2Kor 4:7Wana wa Sayuni wenye thamani,

ambao mwanzo uzito wa thamani yao

ulikuwa wa dhahabu,

sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo,

kazi ya mikono ya mfinyanzi!

34:3 Ay 39:14-16Hata mbweha hutoa matiti yao

kunyonyesha watoto wao,

lakini watu wangu wamekuwa wasio na huruma

kama mbuni jangwani.

44:4 Mao 2:11-12; Za 22:15; 2Fal 18:31; Kum 28:48Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga

umegandamana na kaakaa la kinywa chake,

watoto huomba mkate,

lakini hakuna yeyote awapaye.

54:5 Yer 6:2; Isa 3:26; Amo 6:3-7; Ay 24:8; Lk 15:16Wale waliokula vyakula vya kifahari

ni maskini barabarani.

Wale waliokuzwa wakivaa nguo za zambarau

sasa wanalalia majivu.

64:6 Mwa 19:25Adhabu ya watu wangu

ni kubwa kuliko ile ya Sodoma,

ambayo ilipinduliwa ghafula

bila kuwepo mkono wa msaada.

7Wakuu wao walikuwa wamengʼaa kuliko theluji

na weupe kuliko maziwa,

miili yao ilikuwa myekundu kuliko marijani,

kuonekana kwao kama yakuti samawi.

84:8 Ay 30:28; Za 102:3-5; Mao 3:4Lakini sasa ni weusi kuliko masizi;

hawatambulikani barabarani.

Ngozi yao imeshikamana juu ya mifupa yao,

imekuwa mikavu kama fimbo.

94:9 Yer 15:2; 16:4; 2Fal 25:3; Mao 5:10Wale waliouawa kwa upanga ni bora

kuliko wale wanaokufa njaa;

wanateseka kwa njaa, wanatokomea

kwa kukosa chakula kutoka shambani.

104:10 Mao 2:20; Law 26:29; Kum 28:53-57; Eze 5:10; Yer 19:9Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma

wanapika watoto wao wenyewe,

waliokuwa chakula chao

watu wangu walipoangamizwa.

114:11 Yer 17:27; Kum 32:22; Yer 7:20; Ay 20:23; 2Nya 34:21; Eze 22:31Bwana ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake;

ameimwaga hasira yake kali.

Amewasha moto katika Sayuni

ambao umeteketeza misingi yake.

124:12 1Fal 9:9; Yer 21:13; Kum 29:24Wafalme wa dunia hawakuamini,

wala mtu yeyote wa duniani,

kwamba adui na watesi wangeweza kuingia

kwenye malango ya Yerusalemu.

134:13 Yer 5:31; Eze 22:28; Mik 3:11; 2Fal 21:16; Mt 23:31Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake,

na maovu ya makuhani wake,

waliomwaga ndani yake

damu ya wenye haki.

144:14 Isa 59:10; Yer 2:34; 19:4Sasa wanapapasa papasa barabarani

kama watu ambao ni vipofu.

Wamenajisiwa kabisa kwa damu,

hata hakuna anayethubutu kugusa mavazi yao.

154:15 Yer 44:14; Law 13:46; Mik 2:10Watu wanawapigia kelele, “Ondokeni! Ninyi ni najisi!

Ondokeni! Ondokeni! Msituguse!”

Wanapokimbia na kutangatanga huku na huko,

watu miongoni mwa mataifa wanasema,

“Hawawezi kukaa hapa zaidi.”

164:16 Isa 9:14-16; Mao 5:12Bwana mwenyewe amewatawanya;

hawaangalii tena.

Makuhani hawaonyeshwi heshima,

wazee hawakubaliki.

174:17 Mwa 15:18; Eze 29:16; Yer 37:7; Isa 20:5-6; 2Fal 24:7Zaidi ya hayo, macho yetu yalichoka,

kwa kutazamia bure msaada;

tuliangalia kutoka minara yetu

kwa taifa lisiloweza kutuokoa.

184:18 Eze 7:2-12; Amo 8:2; Yer 51:33; 2Fal 25:4; Yer 51:33Watu walituvizia katika kila hatua

hata hatukuweza kutembea katika barabara zetu.

Mwisho wetu ulikuwa karibu, siku zetu zilikuwa zimetimia,

kwa maana mwisho wetu ulikuwa umefika.

194:19 Kum 28:49; Law 26:36; Isa 5:26-28; Yer 52:7Waliotufuatia walikuwa wepesi

kuliko tai angani;

walitusaka juu milimani

na kutuvizia jangwani.

204:20 1Sam 26:9; 2Sam 19:21; Yer 39:5; Eze 19:4-8; 12:12-13; Mwa 2:7; Yer 52:9Mpakwa mafuta wa Bwana, pumzi ya uhai wetu hasa,

alinaswa katika mitego yao.

Tulifikiri kwamba chini ya kivuli chake

tungeliweza kuishi miongoni mwa mataifa.

214:21 Za 16:5; Yer 25:15; Eze 35:15; Hab 2:16; Mwa 10:23; Isa 34:6-10; Amu 1:11Shangilia na ufurahi, ee Binti Edomu,

wewe unayeishi nchi ya Usi.

Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa,

Utalewa na kuvuliwa nguo ubaki uchi.

224:22 Isa 40:2; Yer 33:8; Eze 25:12-14; Mal 1:4; Za 137:7Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha,

hatarefusha muda wako wa kukaa uhamishoni.

Lakini, ee Binti Edomu, ataadhibu dhambi yako,

na atafunua uovu wako.

Bibelen på hverdagsdansk

Klagesangene 4:1-22

Hungersnødens gru

1Ak, Jerusalems guldklumper har mistet deres herlighed.

Hendes hellige øjestene ligger og vansmægter på hvert gadehjørne.

2Byens befolkning var deres vægt værd i guld,

men nu ligger de som værdiløse lerkar, en pottemagers værk.

3De vilde sjakaler giver deres unger die,

men mit folks mødre er følelseskolde som ørkenens strudse.

4Ethvert spædbarn skriger af tørst med tungen klæbende til ganen.

Småbørn tigger om mad, men ingen har noget at give.

5Folk, som var vant til festmiddage, er nu ved at forgå af sult.

De, som levede i luksus, roder nu efter føde i rendestenen.

6Går det ikke mit folk værre end Sodomas indbyggere?

De døde dog på et øjeblik ved Herrens direkte indgreb.

7Hendes fyrster havde hud som silke og struttede af sundhed,

deres ansigter var rødmossede og håret skinnede så smukt.

8Ingen ville kunne genkende dem nu, hvis de mødte dem på gaden,

for de er det rene skind og ben med ansigter sorte som sod.

9Ja, hellere dræbes af sværdet, end at dø langsomt af sult,

fordi madforsyninger ikke kan komme ind i byen.

10Kan man forestille sig, hvad der sker med en kærlig mor,

som tvinges til at koge og spise sine børn for at overleve?

11Landet er lamslået over Herrens forfærdelige vrede.

Jerusalem er ødelagt og brændt ned til grunden.

12Man mente ikke, det kunne lade sig gøre at indtage Jerusalem.

Ingen af jordens konger troede, det var muligt.

13Nedsablingen skete, fordi profeter og præster havde syndet.

De havde myrdet uskyldige folk midt i Herrens hellige by.

14Overalt i byen raver folk rundt i blinde.

De kan ikke undgå at røre ved blod, og derfor er de urene.

15„Pas på!” advarer folk hinanden, „der kommer en uren!”

Flygter de, siger de fremmede folkeslag: „Her kan I ikke bo!”

16Respekt for præsterne og landets ledere hører fortiden til,

for Herren har slået hånden af dem og spredt dem for alle vinde.

17Skildvagterne stod og spejdede efter hjælp, men forgæves.

Ingen af vores allierede havde magt til at redde os.

18Tidspunktet nærmede sig, hvor alt var forbi.

Vi kunne ikke gå ud på gaden af frygt for at blive dræbt.

19Uden at vise nåde kastede fjenderne sig over os som gribbe.

De forfulgte os i bjergene og lå på lur efter os i ørkenen.

20Vores egen konge, Herrens udvalgte, gik lige i deres fælde,

han, som vi troede kunne beskytte os fra enhver fjende.

21Østpå glæder I jer, Edoms folk, for denne gang var det ikke jer, der blev ramt.

Men en dag skal også I drikke Herrens vredes vin, så I mister besindelsen.

22Åh, Jerusalem, din straf var hård, men en dag bliver du genoprettet.

Edoms folk, derimod, vil blive straffet, fordi de svigtede os.