2 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 12:1 Mao 3:44; Za 132:7; 1Nya 28:2; Yer 12:7; Za 99:5; Mt 11:23; 2Sam 1:19Tazama jinsi Bwana alivyomfunika Binti Sayuni
kwa wingu la hasira yake!
Ameitupa chini fahari ya Israeli
kutoka mbinguni mpaka duniani,
hakukumbuka kiti chake cha kuwekea miguu
katika siku ya hasira yake.
22:2 Mao 3:43; Mik 5:11; Isa 25:12; Za 89:39-40; 21:9Bila huruma Bwana ameyameza
makao yote ya Yakobo;
katika ghadhabu yake amebomoa
ngome za Binti Yuda.
Ameuangusha ufalme wake na wakuu wake
chini kwa aibu.
32:3 Za 75:5; 74:11; Isa 42:25; Ay 16:15; Yer 21:4-5Katika hasira kali amevunja
kila pembe2:3 Pembe inawakilisha nguvu; pia 2:17. ya Israeli.
Ameuondoa mkono wake wa kuume
alipokaribia adui.
Amemteketeza Yakobo kama moto uwakao
ule uteketezao kila kitu kinachouzunguka.
42:4 Isa 63:10; Ay 3:23; Mao 3:12-13; Yer 7:20; Eze 24:16; 2Nya 34:21; Eze 20:34Ameupinda upinde wake kama adui,
mkono wake wa kuume uko tayari.
Kama vile adui amewachinja
wote waliokuwa wanapendeza jicho,
amemwaga ghadhabu yake kama moto
juu ya hema la Binti Sayuni.
52:5 Yer 30:14; Ay 13:24; Yer 9:17-20; Isa 29:2; Yer 7:20Bwana ni kama adui;
amemmeza Israeli.
Amemeza majumba yake yote ya kifalme
na kuangamiza ngome zake.
Ameongeza huzuni na maombolezo
kwa ajili ya Binti Yuda.
62:6 Yer 52:13; Sef 3:18; Yer 7:14; Isa 43:28; Mao 4:16; 5:12; Za 80:12; Isa 5:5; 1:8Ameharibu maskani yake kama bustani,
ameharibu mahali pake pa mkutano.
Bwana amemfanya Sayuni kusahau
sikukuu zake zilizoamriwa na Sabato zake;
katika hasira yake kali amewadharau
mfalme na kuhani.
72:7 Eze 7:1-2; Isa 64:10-11; Yer 7:12-14; Law 26:31; Yer 33:4-5; 52:13; Za 78:59-61; Mik 3:12; Yer 7:12-14; Mt 24:2Bwana amekataa madhabahu yake
na kuacha mahali patakatifu pake.
Amemkabidhi adui kuta
za majumba yake ya kifalme;
wamepiga kelele katika nyumba ya Bwana
kama katika siku ya sikukuu iliyoamriwa.
82:8 2Fal 21:13; Isa 34:11; 3:26; Yer 39:8; Za 48:13; Amu 7:7Bwana alikusudia kuangusha
ukuta uliomzunguka Binti Sayuni.
Ameinyoosha kamba ya kupimia
na hakuuzuia mkono wake usiangamize.
Alifanya maboma na kuta ziomboleze,
vyote vikaharibika pamoja.
92:9 Yer 16:13; Amo 8:11-12; Hos 3:4; 2Nya 15:3; Yer 14:14; Isa 45:2; 2Fal 24:15; Kum 28:36; 2Fal 25:7; Za 74:9; Mik 3:6, 7Malango yake yamezama ardhini,
makomeo yake ameyavunja na kuyaharibu.
Mfalme wake na wakuu wake wamepelekwa uhamishoni
miongoni mwa mataifa,
sheria haipo tena,
na manabii wake hawapati tena
maono kutoka kwa Bwana.
102:10 Ay 2:12-13; Isa 3:24, 26; Eze 27:30-31; Isa 15:3; Mao 3:28; 4:5; Isa 47:1-5Wazee wa Binti Sayuni
wanaketi chini kimya,
wamenyunyiza mavumbi kwenye vichwa vyao
na kuvaa nguo za gunia.
Wanawali wa Yerusalemu
wamesujudu hadi ardhini.
112:11 Isa 15:3; Ay 30:27; Za 22:14; Ay 16:13; Mao 3:48-51; Za 119:82; 6:7Macho yangu yamedhoofika kwa kulia,
nina maumivu makali ndani,
moyo wangu umemiminwa ardhini
kwa sababu watu wangu wameangamizwa,
kwa sababu watoto na wanyonyao wanazimia
kwenye barabara za mji.
12Wanawaambia mama zao,
“Wapi mkate na divai?”
wazimiapo kama watu waliojeruhiwa
katika barabara za mji,
maisha yao yadhoofikavyo
mikononi mwa mama zao.
132:13 Isa 37:22; Yer 14:17; 30:12-15; Dan 9:12; 2Fal 19:2; Ay 5:1Ninaweza kusema nini kwa ajili yako?
Nikulinganishe na nini,
ee Binti Yerusalemu?
Nitakufananisha na nini,
ili nipate kukufariji,
ee Bikira Binti Sayuni?
Jeraha lako lina kina kama bahari.
Ni nani awezaye kukuponya?
142:14 Isa 58:1; Yer 8:11; 20:6; Eze 13:3; Yer 28:3; 28:15; Eze 22:28Maono ya manabii wako
yalikuwa ya uongo na yasiyofaa kitu,
hawakuifunua dhambi yako
ili kukuzuilia kwenda utumwani.
Maneno waliyokupa
yalikuwa ya uongo na ya kupotosha.
152:15 Hes 24:20; Eze 25:6; Nah 3:19; Za 45:11; Eze 16:14; Za 48:2; Yer 19:8; 1Fal 9:8Wote wapitiao njia yako
wanakupigia makofi,
wanakudhihaki na kutikisa vichwa vyao
kwa Binti Yerusalemu:
“Huu ndio ule mji ulioitwa
mkamilifu wa uzuri,
furaha ya dunia yote?”
162:16 Za 22:13; 56:2; Ay 16:19; Za 35:25; Eze 36:3; Mao 3:46Adui zako wote wanapanua
vinywa vyao dhidi yako,
wanadhihaki na kusaga meno yao
na kusema, “Tumemmeza.
Hii ndiyo siku tuliyoingojea,
tumeishi na kuiona.”
172:17 Kum 28:15-45; Eze 8:18; Isa 44:26; Mao 1:5; Law 26:16; Za 38:16Bwana amefanya lile alilolipanga;
ametimiza neno lake
aliloliamuru siku za kale.
Amekuangusha bila huruma,
amewaacha adui wakusimange,
ametukuza pembe ya adui yako.
182:18 Za 119:145; Mao 1:16; 3:19; Yer 9:1; 14:7Mioyo ya watu
inamlilia Bwana.
Ee ukuta wa Binti Sayuni,
machozi yako na yatiririke kama mto
usiku na mchana;
usijipe nafuu,
macho yako yasipumzike.
192:19 Mk 13:35; 1Sam 1:15; Za 62:8; Isa 51:20; Neh 3:10; Isa 26:9; Mao 4:1Inuka, lia usiku,
zamu za usiku zianzapo;
mimina moyo wako kama maji
mbele za Bwana.
Mwinulie yeye mikono yako
kwa ajili ya maisha ya watoto wako,
ambao wanazimia kwa njaa
kwenye kila mwanzo wa barabara.
202:20 Kum 28:53; Eze 5:10; Mao 4:10; Yer 23:11-12; 19:9; Za 78:64; Yer 14:15; Kut 32:11; Law 26:29“Tazama, Ee Bwana, ufikirie:
Ni nani ambaye umepata
kumtendea namna hii?
Je, wanawake wakule wazao wao,
watoto waliowalea?
Je, kuhani na nabii auawe
mahali patakatifu pa Bwana?
212:21 Kum 32:25; 2Nya 36:17; Yer 13:14; Zek 11:6“Vijana na wazee hujilaza pamoja
katika mavumbi ya barabarani,
wavulana wangu na wasichana
wameanguka kwa upanga.
Umewaua katika siku ya hasira yako,
umewachinja bila huruma.
222:22 Za 31:13; Yer 6:25; Ay 27:14; Hes 9:13; Yer 20:10“Kama ulivyoita siku ya karamu,
ndivyo ulivyoagiza hofu kuu
dhidi yangu kila upande.
Katika siku ya hasira ya Bwana
hakuna yeyote aliyekwepa au kupona;
wale niliowatunza na kuwalea,
adui yangu amewaangamiza.”
1Sɛnea Awurade de nʼabufuwhyew mununkum
akata Ɔbabea Sion so ni?
Watow Israel anuonyam
afi ɔsoro abɛhwe fam;
wankae ne nan ntiaso
wɔ nʼabufuw da no.
2Awurade annya ahummɔbɔ
na wamene Yakob atenae nyinaa;
nʼabufuwhyew mu, wadwiriw
Yuda Babea abandennen no agu fam.
Wagu nʼahenni ne ne mmapɔmma
ho fi.
3Ɔde abufuwhyew atwitwa
Israel mmɛn nyinaa.
Wayi ne bammɔ
wɔ bere a atamfo no reba.
Wasɔ wɔ Yakob mu sɛ ogyatannaa
a ɛhyew biribiara a atwa ho ahyia.
4Wapema ne bɛmma sɛ ɔtamfo;
ne nsa nifa ayɛ krado.
Te sɛ ɔtamfo no, wakunkum
wɔn a wɔyɛ fɛ wɔ ani so nyinaa;
wahwie nʼabufuwhyew sɛ ogya
agu Ɔbabea Sion ntamadan so.
5Awurade ayɛ sɛ ɔtamfo;
wamene Israel.
Wamene nʼahemfi nyinaa
asɛe nʼabandennen.
Wama awerɛhowdi ne agyaadwotwa adɔɔso
ama Yuda Babea.
6Wama nʼatenae ada mpan sɛ turo;
wasɛe nʼaguabɔbea.
Awurade ama Sion werɛ afi
nʼafahyɛ ne homenna;
nʼabufuwhyew mu no
wabu ɔhene ne ɔsɔfo animtiaa.
7Awurade apo nʼafɔremuka
na wagyaa ne kronkronbea mu.
Ɔde nʼahemfi afasu
ahyɛ nʼatamfo nsa.
Wɔteɛ mu wɔ Awurade fi
te sɛ afahyɛ da.
8Awurade sii nʼadwene pi sɛ ɔbɛsɛe
Ɔbabea Sion fasu a atwa ne ho ahyia no.
Ɔde susuhama too ho
na wannyae ɔsɛe no.
Ɔmaa pie ne afasu dii abooboo;
wɔn nyinaa sɛee.
9Nʼapon amem fam;
wɔn adaban nso, wabubu mu asɛe no.
Ne hene ne ne mmapɔmma, watwa wɔn asu kɔ amanaman no mu,
mmara nni hɔ bio,
na nʼadiyifo nnya anisoadehu a
efi Awurade hɔ bio.
10Ɔbabea Sion mpanyimfo
tete fam ayɛ komm;
wɔde mfutuma agu wɔn tirim
afurafura atweaatam.
Yerusalem mmabaa
asisi wɔn ti ase.
11Mʼani rentumi nnyae nisutew,
me yafunu mu retwa me,
me koma retew atɔ fam,
efisɛ wɔasɛe me nkurɔfo,
efisɛ mmofra ne mmotafowa totɔ piti
wɔ kuropɔn no mmɔnten so.
12Wobisa wɔn nanom se,
“Ɛhe na brodo ne nsa wɔ?”
Bere a wɔtotɔ beraw sɛ apirafo
wɔ kuropɔn no mmɔnten so,
bere a wɔn nkwa resa
wɔ wɔn nanom abasa so.
13Asɛm bɛn na metumi aka ama wo?
Dɛn ho na metumi de wo atoto,
Ɔbabea Yerusalem?
Dɛn na metumi de asusuw wo,
de akyekye wo werɛ,
Sion Babea Ɔbabun?
Wʼapirakuru so sɛ po.
Hena na obetumi asa wo yare?
14Wʼadiyifo anisoadehu
yɛ atoro a so nni mfaso;
wɔanna mo amumɔyɛ adi
ansiw mo nnommumfa ano.
Nkɔmhyɛ a wɔde maa mo no
yɛ atoro ne nnaadaa.
15Wɔn a wotwa mu wo kwan so nyinaa
bobɔ wɔn nsam gu wo so;
wodi wo ho fɛw na wɔwosow wɔn ti
gu Yerusalem Babea so ka se,
“Eyi ne kuropɔn a na wɔfrɛ no
ahoɔfɛ a edi mu no?
Asase nyinaa anigyede no ni?”
16Wʼatamfo nyinaa baa wɔn anom
tɛtrɛɛ tia wo;
wɔserew na wɔtwɛre wɔn se
na wɔka se, “Yɛamene no.
Da a na yɛretwɛn no ni;
Yɛatena ase ahu.”
17Awurade ayɛ nea ɔhyehyɛe;
wama nʼasɛm a
ɔhyɛɛ dedaada no aba mu.
Watu wo agu a wanhu wo mmɔbɔ,
wama ɔtamfo no ani agye
wama wʼatamfo no mmɛn so.
18Nnipa no koma
su frɛ Awurade.
Ɔbabea Sion afasu,
momma mo nusu nsen sɛ asubɔnten
awia ne anadwo;
munnye mo ahome
momma mo ani nso nnya ɔhome.
19Sɔre, su dennen anadwo,
ɔdasu mu mfiase;
hwie wo koma mu nsɛm sɛ nsu
gu Awurade anim.
Ma wo nsa so kyerɛ no
wo mma nkwa nti,
wɔn a ɔkɔm ama wɔatotɔ beraw
wɔ mmɔnten so.
20“Hwɛ na dwene ho, Awurade:
Hena na wode no afa saa ɔkwan yi so pɛn?
Ɛsɛ sɛ mmea we wɔn yafunumma nam ana,
mma a wɔahwɛ wɔn?
Ɛsɛ sɛ wokunkum ɔsɔfo ne odiyifo
wɔ Awurade kronkronbea ana?
21“Mmofra ne mpanyin da adabum
wɔ mmɔnten so mfutuma mu so,
me mmerante ne mmabaa
atotɔ wɔ afoa ano.
Woakum wɔn wɔ wʼabufuwda;
woayam wɔn na woannya ahummɔbɔ.
22“Sɛnea wotoo wo nsa frɛ wɔ aponto da no,
saa ara na wofrɛfrɛɛ
amanehunu fii afanan nyinaa tiaa me.
Awurade abufuw da no,
obiara anguan na anka obiara:
wɔn a mehwɛɛ wɔn na metetew wɔn no,
me tamfo adwerɛw wɔn.”