Maombolezo 1 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Maombolezo 1:1-22

1 Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22. 11:1 Isa 47:7-8; Ezr 4:20; Eze 5:5; Isa 3:26; Yer 42:2; Law 26:43; Mao 1:9Tazama jinsi mji ulivyoachwa ukiwa,

mji ambao zamani ulikuwa umejaa watu!

Jinsi ambavyo umekuwa kama mama mjane,

ambaye wakati fulani alikuwa maarufu miongoni mwa mataifa!

Yule ambaye alikuwa malkia miongoni mwa majimbo

sasa amekuwa mtumwa.

21:2 Za 6:6; Yer 4:30; Mik 7:5; Yer 30:14; 13:17; Mao 1:16; Ay 7:3Kwa uchungu, hulia sana usiku,

machozi yapo kwenye mashavu yake.

Miongoni mwa wapenzi wake wote

hakuna yeyote wa kumfariji.

Rafiki zake wote wamemsaliti,

wamekuwa adui zake.

31:3 Yer 13:19; Kum 28:64-65; Kut 15:9; Law 26:14, 32, 33Baada ya mateso na kufanyishwa kazi kikatili,

Yuda amekwenda uhamishoni.

Anakaa miongoni mwa mataifa,

hapati mahali pa kupumzika.

Wote ambao wanamsaka wamemkamata

katikati ya dhiki yake.

41:4 Isa 27:10; Yer 9:11; Yoe 1:8-13Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza,

kwa kuwa hakuna yeyote anayekuja

kwenye sikukuu zake zilizoamriwa.

Malango yake yote yamekuwa ukiwa,

makuhani wake wanalia kwa uchungu,

wanawali wake wanahuzunika,

naye yuko katika uchungu wa maumivu makuu.

51:5 Isa 22:5; Yer 10:20; 39:9; 30:14; Mao 3:39; Yer 30:15; 52:28-30; Za 5:10; Mao 2:17Adui zake wamekuwa mabwana zake,

watesi wake wana raha.

Bwana amemletea huzuni

kwa sababu ya dhambi zake nyingi.

Watoto wake wamekwenda uhamishoni,

mateka mbele ya adui.

61:6 Yer 13:18; Za 9:14; Law 26:36Fahari yote imeondoka

kutoka kwa Binti Sayuni.

Wakuu wake wako kama ayala

ambaye hapati malisho,

katika udhaifu wamekimbia

mbele ya anayewasaka.

71:7 2Fal 14:26; Yer 37:7; Mik 4:11; Mao 4:17; Yer 2:26Katika siku za mateso yake na kutangatanga,

Yerusalemu hukumbuka hazina zote

ambazo zilikuwa zake siku za kale.

Wakati watu wake walipoanguka katika mikono ya adui,

hapakuwepo na yeyote wa kumsaidia.

Watesi wake walimtazama

na kumcheka katika maangamizi yake.

81:8 Isa 59:2-13; Za 38:8; Yer 13:22-26; 2:22Yerusalemu ametenda dhambi sana

kwa hiyo amekuwa najisi.

Wote waliomheshimu wanamdharau,

kwa maana wameuona uchi wake.

Yeye mwenyewe anapiga kite

na kugeukia mbali.

91:9 Isa 47:7; Eze 24:13; Yer 13:18; Mhu 4:1; Yer 16:7; Za 25:18; Kum 32:29Uchafu wake umegandamana na nguo zake;

hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye.

Anguko lake lilikuwa la kushangaza,

hapakuwepo na yeyote wa kumfariji.

“Tazama, Ee Bwana, teso langu,

kwa maana adui ameshinda.”

101:10 Neh 13:1; Kum 23:3; Yer 51:51; Isa 64:11; Za 74:7-8Adui ametia mikono

juu ya hazina zake zote,

aliona mataifa ya kipagani

wakiingia mahali patakatifu pake,

wale uliowakataza kuingia

kwenye kusanyiko lako.

111:11 Za 38:8; Yer 38:9; 37:21; 52:6Watu wake wote wanalia kwa uchungu

watafutapo chakula;

wanabadilisha hazina zao kwa chakula

ili waweze kuendelea kuishi.

“Tazama, Ee Bwana, ufikiri,

kwa maana nimedharauliwa.”

121:12 Yer 18:16; Isa 10:4; Yer 30:24; Dan 9:12; Isa 13:13; Mit 24:21; Lk 21:22“Je, si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando?

Angalieni kote mwone.

Je, kuna maumivu kama maumivu yangu

yale yaliyotiwa juu yangu,

yale Bwana aliyoyaleta juu yangu

katika siku ya hasira yake kali?

131:13 Ay 30:30; Za 102:3; Hab 3:16; Yer 44:6; Eze 12:13; Ay 18:8; Za 66:11; Hos 7:12“Kutoka juu alipeleka moto,

akaushusha katika mifupa yangu.

Aliitandia wavu miguu yangu

na akanirudisha nyuma.

Akanifanya mkiwa,

na mdhaifu mchana kutwa.

141:14 Isa 47:6; Yer 15:12; 32:5“Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira,

kwa mikono yake zilifumwa pamoja.

Zimefika shingoni mwangu

na Bwana ameziondoa nguvu zangu.

Amenitia mikononi mwa wale

ambao siwezi kushindana nao.

151:15 Yer 37:10; Isa 41:2; 28:1; Yer 18:21; Ufu 14:19; Yer 14:17; Amu 6:11; Isa 63:3“Bwana amewakataa wapiganaji wa vita

wote walio kati yangu,

ameagiza jeshi dhidi yangu

kuwaponda vijana wangu wa kiume.

Katika shinikizo lake la divai Bwana amemkanyaga

Bikira Binti Yuda.

161:16 Za 119:136; Ay 7:3; Yer 16:7; 13:17; 14:17; Isa 22:4; Mao 3:48-49“Hii ndiyo sababu ninalia

na macho yangu yanafurika machozi.

Hakuna yeyote aliye karibu kunifariji,

hakuna yeyote wa kuhuisha roho yangu.

Watoto wangu ni wakiwa

kwa sababu adui ameshinda.”

171:17 Yer 4:31; Kut 23:21; Law 18:25-28Sayuni ananyoosha mikono yake,

lakini hakuna yeyote wa kumfariji.

Bwana ametoa amri kwa ajili ya Yakobo

kwamba majirani zake wawe adui zake;

Yerusalemu umekuwa

kitu najisi miongoni mwao.

181:18 1Sam 12:14; Kum 28:32; Neh 9:33; Ezr 9:15; Kut 9:27; Dan 9:7Bwana ni mwenye haki,

hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake.

Sikilizeni, enyi mataifa yote,

tazameni maumivu yangu.

Wavulana wangu na wasichana wangu

wamekwenda uhamishoni.

191:19 Mao 2:20; Yer 14:15; 22:20“Niliita washirika wangu

lakini walinisaliti.

Makuhani wangu na wazee wangu

waliangamia mjini

walipokuwa wakitafuta chakula

ili waweze kuishi.

201:20 Yer 4:19; Kum 32:25; Eze 7:15; Ay 20:2; Mao 2:11; Isa 16:11; Hos 11:8“Angalia, Ee Bwana, jinsi nilivyo katika dhiki!

Nina maumivu makali ndani yangu,

nami ninahangaika moyoni mwangu,

kwa kuwa nimekuwa mwasi sana.

Huko nje, upanga unaua watu,

ndani, kipo kifo tu.

211:21 Za 38:8; Mao 2:15; Yer 30:16; Isa 47:11; Za 6:6“Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu,

lakini hakuna yeyote wa kunifariji.

Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu,

wanafurahia lile ulilolitenda.

Naomba uilete siku uliyoitangaza

ili wawe kama mimi.

221:22 Neh 4:5; Za 6:6“Uovu wao wote na uje mbele zako;

uwashughulikie wao

kama vile ulivyonishughulikia mimi

kwa sababu ya dhambi zangu zote.

Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi

na moyo wangu umedhoofika.”

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Плач 1:1-22

Иерусалим – одинокая вдова

1Как одиноко стоит столица,

что некогда была многолюдной!

Она стала как вдова,

а была великой среди народов,

была царицей над областями,

но стала рабыней.

2Горько плачет она ночью,

и слёзы текут по её щекам.

Нет у неё утешителя

среди всех возлюбленных1:2 Возлюбленные – союзники Иудеи, которые предали её, и их боги. Также в ст. 19. её.

Все друзья изменили ей

и стали врагами.

3Иудея пошла в изгнание

после бед и тяжкого рабства.

Поселилась она среди других народов,

но не нашла покоя.

Все её преследователи настигли её

посреди бедствия.

4Дороги в Иерусалим1:4 Букв.: «Сион». плачут,

потому что никто не идёт на праздник.

Все ворота столицы опустели,

стонут священнослужители её,

девушки печальны,

горько и ей самой.

5Враги правят ею,

неприятели её благоденствуют.

Горе послал ей Вечный1:5 Вечный – на языке оригинала: «Яхве». Под этим именем Всевышний открылся Мусо и народу Исроила (см. Исх. 3:13-15). См. пояснительный словарь.

из-за множества её беззаконий.

Дети её пошли в плен,

враг гонит их перед собой.

6Всё великолепие покинуло дочь Сиона1:6 То есть Иерусалим..

Вожди её подобны оленям, не находящим пастбища;

обессиленные они бегут впереди погонщика.

7В дни своих бедствий и скитаний

вспомнила столица о всех драгоценностях,

которые были у неё в прежние дни.

Когда народ её попал в руки врага,

никто не помог ей;

враги смотрели на неё

и смеялись над её поражением.

8Ужасно согрешила столица,

поэтому она и стала нечистой.

Все, кто прославлял её, теперь презирают,

потому что увидели её наготу.

Да и сама она вздыхает и отворачивается;

9её нечистота замарала ей подол.

И так как она не задумывалась о будущем,

падение её было ошеломительным,

и не было у неё утешителя.

– О Вечный, взгляни на моё страдание,

ведь враг торжествует!

10Враг похитил у неё всё самое ценное;

она видит, как в её святилище входят язычники,

те, кому Ты запретил вступать в Твоё собрание.

11Весь народ её стонет в поисках хлеба,

отдаёт драгоценности свои за пищу,

лишь бы жизнь сохранить.

– О Вечный, обрати Твой взор

и посмотри, как я унижена!

Вопль Иерусалима

12– Неужели это не трогает вас, все проходящие мимо?

Взгляните и посмотрите,

есть ли страдание, подобное моему страданию,

которое постигло меня,

которое Вечный послал на меня

в день Своего пылающего гнева?

13Свыше Он послал огонь,

послал его в кости мои.

Он раскинул сеть для ног моих,

опрокинул меня.

Он опустошил меня

и наполнил дни мои болезнью.

14Беззакония мои Он взял

и, связав их, сделал из них ярмо.

Владыка возложил его на шею мою,

чем ослабил силы мои.

Он отдал меня в руки тех,

кому я не могу противостоять.

15Владыка низложил среди меня

всех сильных моих,

собрал против меня войска,

чтобы истребить моих юношей;

как в давильне, истоптал Владыка

девственную дочь Иуды1:15 То есть народ Иудеи..

16Вот почему я плачу

и из глаз моих потоками льются слёзы.

Рядом нет никого, кто бы утешил меня,

оживил бы душу мою.

Дети мои разорены,

потому что враг одолел их.

17Сион простирает руки свои,

но нет никого, кто бы утешил его.

Вечный повелел окружающим народам

враждовать с Исроилом1:17 Букв.: «с Якубом». Исроильтяне были потомками Якуба, которому Всевышний дал новое имя – Исроил (см. Нач. 32:27-28).;

Иерусалим стал

мерзостью среди них.

18– Праведен Вечный,

а я была непокорна слову Его.

Послушайте, все народы,

и взгляните на страдание моё.

Девушки и юноши мои

пошли в плен.

19Звала я возлюбленных моих,

но они меня предали.

Священнослужители и старцы мои

умирали в городе,

ища себе пищи,

чтобы сохранить себе жизнь.

20Взгляни, Вечный, как я страдаю:

душа моя мается

и сердце потеряло покой,

потому что я упорно противилась Тебе.

Снаружи меч лишил меня детей,

а внутри – поселилась смерть.

21Люди услышали стоны мои,

но никто меня не утешит.

Все враги мои услышали о бедствии моём

и были рады тому, что Ты сделал со мною.

Пусть же наступит день,

объявленный Тобой,

когда с ними случится то же,

что и со мной.

22Пусть все их злодеяния предстанут пред Тобой,

и поступи с ними так же,

как Ты поступил со мною

за все грехи мои,

потому что многочисленны стоны мои,

и изнемогает сердце моё.