Kutoka 15 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Kutoka 15:1-27

Wimbo Wa Mose Na Miriamu

115:1 Hes 21:17; Amu 5:3; 2Sam 22:1; 1Nya 16:9; Ay 36:24; Za 59:16; 105:2; Ufu 15:3; Za 13:6; 21:13; 27:6; 61:8; 104:33; 106:12; Isa 12:5-6; 42:10; 44:23; Kum 11:4; Za 76:6; Yer 51:21; Kut 14:27; Yn 2:11Ndipo Mose na Waisraeli wakamwimbia Bwana wimbo huu:

“Nitamwimbia Bwana,

kwa kuwa ametukuzwa sana.

Farasi na mpanda farasi

amewatosa baharini.

215:2 Za 18:1; 59:17; Mwa 45:7; Kut 14:13; Za 18:2, 46; 25:5; 62:2; 118:14; Isa 12:2; 33:2; Yn 2:9; Hab 3:18; Mwa 28:21; Kum 10:21; 2Sam 22:47; Za 22:3; 34:3; 35:27; 99:5; 103:19; 107:32; 108:5; 118:28; 145:11; 148:14; Isa 24:15; Yer 17:14; Dan 4:37Bwana ni nguvu zangu na wimbo wangu;

amekuwa wokovu wangu.

Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu,

Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.

315:3 Kut 14:14; 3:15; Ufu 19:11Bwana ni shujaa wa vita;

Bwana ndilo jina lake.

415:4 Kut 14:6-7; Yer 51:21Magari ya vita ya Farao na jeshi lake

amewatosa baharini.

Maafisa wa Farao walio bora sana

wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.

515:5 Kut 14:28; Neh 9:11Maji yenye kina yamewafunika,

wamezama mpaka vilindini kama jiwe.

615:6 Za 16:11; 17:7; 21:8; 63:8; 74:11; 77:10; 89:13; 118:15; 138:7; Kut 3:20; Ay 40:14; Hes 24:8; 1Sam 2:10; Za 2:9“Mkono wako wa kuume, Ee Bwana

ulitukuka kwa uweza.

Mkono wako wa kuume, Ee Bwana,

ukamponda adui.

715:7 Kum 33:26; Za 150:2; 2:5; 78:49-50; Yer 12:13; 25:38; Kut 24:17; Kum 4:24; 9:3; Za 18:8; 59:13; Ebr 12:29Katika ukuu wa utukufu wako,

ukawaangusha chini wale waliokupinga.

Uliachia hasira yako kali,

ikawateketeza kama kapi.

815:8 Kut 14:21; Za 18:15; Yos 3:13; Za 78:13; Isa 43:16; Kut 14:22; Za 46:2Kwa pumzi ya pua zako

maji yalijilundika.

Mawimbi ya maji yakasimama imara kama ukuta,

vilindi vikagandamana ndani ya moyo wa bahari.

915:9 Kut 14:5-9; Kum 28:45; Za 7:5; Mao 1:3; Amu 5:30; Isa 9:3; 53:12; Lk 11:22“Adui alijivuna,

‘Nitawafuatia, nitawapata.

Nitagawanya nyara;

nitajishibisha kwa wao.

Nitafuta upanga wangu

na mkono wangu utawaangamiza.’

1015:10 Neh 9:11; Za 32:6; Ay 4:9; 15:30; Isa 11:4; 30:33; 40:7; Za 29:3Lakini ulipuliza kwa pumzi yako,

bahari ikawafunika.

Wakazama kama risasi

kwenye maji makuu.

1115:11 Kut 8:10; Za 77:13; 99:3; 110:3; 4:2; 26:8; Isa 46:5; 35:2; 40:5; Law 19:2; 1Sam 2:2; 1Nya 16:29; Isa 6:3; Ufu 4:8; Kut 3:20“Ni nani miongoni mwa miungu aliye kama wewe, Ee Bwana?

Ni nani kama Wewe:

uliyetukuka katika utakatifu,

utishaye katika utukufu,

ukitenda maajabu?

1215:12 Kut 7:5; Hes 16:32; 26:10; Kum 11:6; Za 106:17Uliunyoosha mkono wako wa kuume

na nchi ikawameza.

1315:13 Neh 9:12; Za 77:20; Kut 6:6; Ay 33:28; Za 71:23; 106:10; Isa 1:27; 41:14; 43:14; 44:22-24; 51:10; 63:9; Tit 2:14; Za 68:16; 76:2; 78:54“Katika upendo wako usiokoma utawaongoza

watu uliowakomboa.

Katika nguvu zako utawaongoza

mpaka makao yako matakatifu.

1415:14 Kut 23:27; Kum 2:25; Yos 2:9; 9:24; 1Sam 4:7; Es 8:17; Za 48:6; 96:9; 99:1; 114:7; Eze 38:20; Isa 13:8; Za 83:7Mataifa watasikia na kutetemeka,

uchungu utawakamata watu wa Ufilisti.

1515:15 Mwa 36:15; Kum 2:4; Hes 22:3; Za 114:7; Yos 2:9, 24Wakuu wa Edomu wataogopa,

viongozi wa Moabu watatetemeka kwa hofu,

watu wa Kanaani watayeyuka,

1615:16 Mwa 35:5; 1Sam 25:37; Za 74:2; 2Pet 2:1-2; Kum 2:4; Yos 2:9vitisho na hofu vitawaangukia.

Kwa nguvu ya mkono wako

watatulia kama jiwe,

mpaka watu wako waishe kupita, Ee Bwana,

mpaka watu uliowanunua wapite.

1715:17 Kut 23:20; 32:34; 33:12; 2Sam 7:10; Za 44:2; 80:8; Isa 5:2; 60:21; Yer 2:21; 11:17; 24:6; Amo 9:15; Kum 33:19; Za 2:6; 3:4; 78:54-68; 133:3; Dan 9:16; Yoe 2:1; Oba 1:16; Sef 3:11; Za 132:13-14; 78:69; 114:2Utawaingiza na kuwapandikiza

juu ya mlima wa urithi wako:

hapo mahali, Ee Bwana, ulipopafanya kuwa makao yako,

mahali patakatifu, Ee Bwana, ulipopajenga kwa mikono yako.

1815:18 Mwa 21:33; Za 9:7; 29:10; 55:19; 66:7; 80:1; 102:12; 145:13; Mao 5:19Bwana atatawala

milele na milele.”

1915:19 Kut 14:28; 14:22Farasi wa Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake walipoingia baharini, Bwana aliyarudisha maji ya bahari yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita baharini mahali pakavu. 2015:20 Kut 2:4; Hes 12:1; 20:1; 26:59; 1Nya 4:17; 6:3; Amu 4:4; 2Fal 22:14; 2Nya 34:22; Neh 6:14; Isa 8:3; Eze 13:17; Mwa 31:27; 1Sam 18:6; Za 81:2; Isa 30:32; Mwa 4:21; Amu 11:34; 21:21; 2Sam 6:8-16; Za 30:11; 149:3; Wim 6:13; Yer 31:4, 13Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza. 2115:21 1Sam 18:17; Amo 2:15; Hag 2:22; Kut 14:27; 15:1Miriamu akawaimbia:

“Mwimbieni Bwana,

kwa maana ametukuka sana.

Farasi na mpanda farasi

amewatosa baharini.”

Maji Ya Mara Na Elimu

2215:22 Za 78:52; Mwa 16:7; Kut 17:1-3; Hes 20:2-5; 33:14; Za 107:5Kisha Mose akawaongoza Israeli kutoka Bahari ya Shamu na kuingia katika Jangwa la Shuri. Kwa siku tatu walisafiri jangwani bila kupata maji. 2315:23 Hes 33:8; Rut 1:20Walipofika Mara, hawakuweza kunywa maji yake kwa sababu yalikuwa machungu. (Ndiyo sababu mahali hapo panaitwa Mara15:23 Mara maana yake ni Chungu.) 2415:24 Kut 14:12; 16:2; Hes 14:2; Yos 9:18; Za 78:18, 42; 106:13, 25; Eze 16:43; Mt 6:31Kwa hiyo watu wakamnungʼunikia Mose, wakisema, “Tunywe nini?”

2515:25 Kut 14:10; 2Fal 2:21; 4:41; Amu 3:4; Ay 23:10; Za 81:7; Isa 48:10Ndipo Mose akamlilia Bwana, naye Bwana akamwonyesha kipande cha mti. Akakitupa ndani ya maji, nayo maji yakawa matamu.

Huko Bwana akawapa amri na sheria na huko akawajaribu. 2615:26 Kut 32:22; Kum 11:13; 15:5; Yer 11:6; Kut 19:5-6; 20:2-7; Kum 7:12, 15; 28:27, 58; 32:39; 1Sam 5:6; Za 30:2; 41:3-4; 103:3; Kut 23:25-26; 2Fal 20:5; Za 25:11; 107:20; Yer 30:17; Hos 11:3Mungu akasema, “Kama mkisikiliza kwa bidii sauti ya Bwana Mungu wenu na kuyafanya yaliyo sawa machoni pake, kama mkiyatii maagizo yake na kuzishika amri zake zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wowote niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi Bwana, niwaponyaye.”

2715:27 Hes 33:9Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na chemchemi kumi na mbili, na miti sabini ya mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji.

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

出埃及记 15:1-27

摩西颂赞耶和华

1那时,摩西以色列人便歌颂耶和华,说:

“我要歌颂耶和华,

因祂大获全胜,

祂把战马和骑兵都抛进海中。

2耶和华是我的力量,我的诗歌,

也成了我的拯救;

祂是我的上帝,我要赞美祂;

祂是我父亲的上帝,我要尊崇祂。

3耶和华是战士,

祂名叫耶和华。

4祂把法老的战车军兵都抛进海中,

法老的强将都葬身于红海,

5大水淹没他们,

他们如同石块沉入深海。

6耶和华啊,你的右手用大能彰显威荣;

耶和华啊,你的右手击碎仇敌。

7你大显威严,击倒那些起来对抗你的人;

你大发雷霆,他们便像枯草遇火,

一烧而尽。

8你的鼻孔一呼气,海水便堆聚起来,

洪涛便堆起水墙,海底深处也都凝固。

9敌人说,‘追啊,追上他们,

瓜分他们的财物,尽情掳掠他们,

拔出刀来把他们斩尽杀绝。’

10你叫风一吹,海水就淹没他们,

他们好像铅块一样沉没在怒海中。

11耶和华啊,万神之中,谁能像你?

谁能像你——威严神圣,

可颂可畏,广行神迹?

12你伸出右手,大地便吞灭他们。

13你以不变的爱引领你所救赎的子民,

以大能带他们进入你的圣所。

14各邦听见这些事就发抖,

非利士人痛苦不堪,

15以东的族长惶恐不安,

摩押的英雄瑟瑟发抖,

迦南的居民胆战心惊。

16惊骇恐惧笼罩着他们。

耶和华啊,

你臂膀的大能吓得他们僵立如石,

直到你的子民都安然走过,

直到你买赎的子民都安然走过。

17耶和华啊,

你要带领他们到你产业的山上安居,

到你为自己所造的住处,

主啊,到你亲手建的圣所。

18“耶和华必做王,直到永永远远。”

19法老的军兵车马追到海中,耶和华使海水回流淹没他们,以色列人却踏着干地走在海中。 20亚伦的姐姐米利暗先知手拿小鼓,带领众妇女击鼓跳舞, 21唱和道:“要歌颂耶和华,因祂大获全胜,祂把战马和骑兵都抛进海中。”

苦水

22摩西带领以色列人离开红海,来到书珥旷野,走了三天仍然找不到水喝。 23到了玛拉,那里的水却是苦的,不能喝。因此那地方叫玛拉15:23 “玛拉”意思是“苦”。24百姓就埋怨摩西说:“我们喝什么呢?” 25摩西向耶和华呼求,耶和华就指示他一棵树,他把树扔在水中,水就变甘甜了。耶和华又在玛拉给百姓定下律例和法令,并在那里试验他们, 26说:“你们若留心听你们上帝耶和华的话,做我视为正的事,听从我的命令,遵守我的一切律例,我就不把降在埃及的疾病加在你们身上,因为我是医治你们的耶和华。”

27到了以琳,那里有十二股水泉和七十棵棕树,他们就在水边安营。