Isaya 5 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 5:1-30

Wimbo Wa Shamba La Mizabibu

15:1 Za 80:8-9; Yn 15:1; Isa 27:2Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,

kuhusu shamba lake la mizabibu:

Mpendwa wangu alikuwa na shamba la mizabibu

kwenye kilima chenye rutuba.

25:2 Kum 32:6; Kut 15:17; Yer 2:21; Mt 21:19; Mk 11:13; Isa 16:8; 27:3; 1Sam 2:9; Ay 24:11; Mt 21:33; Lk 13:6Alililima na kuondoa mawe

na akaliotesha mizabibu bora sana.

Akajenga mnara wa ulinzi ndani yake,

na kutengeneza shinikizo la kukamulia divai pia.

Kisha akatazamia kupata mazao ya zabibu nzuri,

lakini lilizaa matunda mabaya tu.

35:3 Mt 21:40“Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.

45:4 2Nya 36:15; Mt 23:37; Yer 2:5-7; 2:21; Mk 6:3-4; Yer 24:2; 29:17Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu

kuliko yale niliyofanya?

Nilipotazamia kupata zabibu nzuri,

kwa nini lilizaa zabibu mbaya tu?

55:5 Za 80:12; Lk 21:24; Yer 12:10; Isa 6:12; 27:10; 22:5; 10:6; 2Nya 36:21Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea

shamba langu la mizabibu:

Nitaondoa uzio wake,

nalo litaharibiwa,

nitabomoa ukuta wake,

nalo litakanyagwa.

65:6 Hos 2:12; Ebr 6:8; Mwa 6:13; Isa 6:13; 49:17; 2Sam 23:6; Isa 7:23-24; Law 26:32; Eze 28:24; 2Sam 1:21; Amo 4:7Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,

halitakatiwa matawi wala kulimwa,

nayo michongoma na miiba itamea huko,

nitaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.”

75:7 Isa 37:30; Eze 9:9; 22:29; Za 80:8; Isa 17:10; 10:2; 29:21; 61:8; Za 12:5Shamba la mzabibu la Bwana Mwenye Nguvu Zote

ni nyumba ya Israeli,

na watu wa Yuda

ni bustani yake ya kumpendeza.

Alitazamia haki, lakini akaona umwagaji damu,

alitazamia uadilifu, lakini akasikia vilio vya taabu.

Ole Na Hukumu

85:8 Yer 22:13; Isa 24:16; 6:5; 10:1; Hab 2:9-12; Ay 20:19; Mik 2:2Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba

na kuunganisha mashamba baada ya mashamba

hadi hakuna nafasi iliyobaki,

nanyi mnaishi peke yenu katika nchi.

95:9 Isa 6:11-12; Mt 23:38; Yer 44:11; Isa 22:14; Mt 23:38Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:

“Hakika nyumba kubwa zitakuwa ukiwa,

nayo majumba ya fahari yatabaki bila kukaliwa.

105:10 Law 27:16; Kum 28:38; Zek 8:10; Law 26:26; 27:16Shamba la mizabibu la eka kumi

litatoa bathi5:10 Bathi moja ni sawa na lita 22. moja ya divai,

na homeri5:10 Homeri moja ni sawa na lita 220. ya mbegu zilizopandwa

itatoa efa5:10 Efa moja ni sawa na lita 22. moja tu ya nafaka.”

115:11 1Sam 25:36; Mit 23:29-30Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema

wakikimbilia kunywa vileo,

wale wakawiao sana mpaka usiku,

mpaka wamewaka kwa mvinyo.

125:12 1Sam 12:24; Ay 34:27; Eze 26:13; Amo 6:5-6; Isa 24:8; Ay 21:12; Za 28:5; 68:25Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,

matari, filimbi na mvinyo,

lakini hawayajali matendo ya Bwana,

wala hawana heshima kwa ajili ya kazi ya mikono yake.

135:13 Isa 49:21; 1:3; 3:3; Mit 10:21; Hos 4:6; Rum 1:28; Ay 22:8Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni

kwa sababu ya kukosa ufahamu,

watu wao wenye vyeo watakufa kwa njaa

na watu wao wengi watakauka kwa kiu.

145:14 Mit 30:16; Hes 16:30; Isa 22:13; 23:7; 24:8Kwa hiyo kaburi5:14 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. limeongeza hamu yake

na kupanua mdomo wake bila kikomo,

ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu,

pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote.

155:15 Isa 2:9-11; 10:33Hivyo mwanadamu atashushwa,

na binadamu kunyenyekezwa,

macho ya wenye majivuno yatanyenyekezwa.

165:16 Isa 61:8; Law 10:3; Eze 36:23; Za 97:6; Isa 33:10; 28:17; 30:18; 29:23Lakini Bwana Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa

kwa ajili ya haki yake,

naye Mungu Mtakatifu atajionyesha mwenyewe

kuwa mtakatifu kwa haki yake.

175:17 Sef 2:6, 14; Isa 32:14; 7:25; 17:2Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,

wana-kondoo watajilisha katika magofu ya matajiri.

185:18 Isa 59:4-8; 5:8; Amo 5:8; Yer 17:5; 23:14; Hos 11:4Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu

na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,

195:19 2Pet 3:3-4; Eze 12:22; Yer 17:15; Isa 30:11-12; 29:23; 1:4; 60:22kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,

aharakishe kazi yake ili tupate kuiona.

Huo mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na ukamilike,

tena udhihirike ili tupate kuujua.”

205:20 Ay 24:13; Amo 5:7; Mwa 18:25; 1Fal 22:8; Za 94:21; Isa 5:8; Mt 6:22-23; Lk 11:22, 34-35Ole wao wanaoita ubaya ni wema,

na wema ni ubaya,

wawekao giza badala ya nuru,

na nuru badala ya giza,

wawekao uchungu badala ya utamu,

na utamu badala ya uchungu.

215:21 Mit 3:7; Rum 12:16; Isa 47:10; 1Kor 3:18-20Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,

na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

225:22 1Sam 25:36; Mit 23:20; Isa 22:13; Mit 31:4; Yer 7:18Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,

nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

235:23 Kut 23:8; Amo 5:12; Yak 5:6; Eze 22:12; Isa 1:17; 29:21; 59:13-15; Za 94:21wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,

lakini huwanyima haki wasio na hatia.

245:24 2Fal 19:20; Za 107:11; Ay 18:16; Isa 47:14; Ay 24:24; 40:8; 6:10; Isa 1:31; Nah 1:10; 2Fal 19:30Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,

na kama vile majani makavu yazamavyo katika miali ya moto,

ndivyo mizizi yao itakavyooza

na maua yao yatakavyopeperushwa kama mavumbi;

kwa kuwa wameikataa sheria ya Bwana Mwenye Nguvu Zote

na kulisukumia mbali neno la Aliye Mtakatifu wa Israeli.

255:25 2Fal 22:13; Yer 6:12; 2Fal 9:37; Dan 9:16; Ay 40:11; Kut 19:18; Isa 26:11; 10:17; Ay 40:11; Yer 6:12Kwa hiyo hasira ya Bwana inawaka dhidi ya watu wake,

mkono wake umeinuliwa na anawapiga.

Milima inatetemeka,

maiti ni kama takataka kwenye barabara.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

265:26 Za 20:5; Isa 7:18; Zek 10:8; Kum 28:4-9; Isa 13:5; 18:2Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,

anapiga filimbi kwa ajili ya wale walio kwenye miisho ya dunia.

Tazama wamekuja,

kwa kasi na kwa haraka!

275:27 Yoe 2:7-8; Eze 23:15; Isa 22:21; 40:29-31; 14:31; Ay 12:18Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,

hakuna hata mmoja anayesinzia wala kulala,

hakuna mkanda uliolegezwa kiunoni,

hakuna gidamu ya kiatu iliyokatika.

285:28 Ay 39:23; Za 45:6; 7:12; Eze 26:11; Ay 1:19; Za 25:5; 2Fal 2:1Mishale yao ni mikali,

pinde zao zote zimevutwa,

kwato za farasi wao ziko kama jiwe la gumegume,

magurudumu ya magari yao ya vita ni kama upepo wa kisulisuli.

295:29 Isa 42:22; 49:24-25; 2Fal 17:25; Mik 5:8; Yer 51:38; Zek 11:3; Sef 3:3; Isa 10:6Ngurumo yao ni kama ile ya simba,

wananguruma kama wana simba,

wanakoroma wanapokamata mawindo yao,

na kuondoka nayo pasipo yeyote wa kuokoa.

305:30 Yer 4:23-28; Za 93:3; Yoe 2:10; Isa 2:1; 2:11; 50:3; Yer 50:42; Ay 21:30; Lk 21:25; 1Sam 2:9; Za 18:28Katika siku ile watanguruma juu yake

kama ngurumo za bahari.

Kama mtu akiitazama nchi,

ataona giza na dhiki;

hata nuru itatiwa giza kwa mawingu.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 5:1-30

5

ぶどう園の歌

1さあ、私の愛する方のために、

ぶどう園の歌を歌いましょう。

私の愛する方のぶどう園は、

よく肥えた丘の上にありました。

2その方は畑を十分に耕し、石ころを全部取り除き、

最上のぶどうの木を植えました。

見張り台を建て、岩を掘って酒ぶねを造り、

収穫期を楽しみに待ったのです。

ところが、実ったぶどうは野生ですっぱく、

全くの期待はずれでした。

3「エルサレムとユダ王国の者たちよ。

このような訴えがなされた。あなたが裁判官だ。

4わたしはこのうえ、いったい何ができよう。

ここまでしたのに、なぜわたしのぶどう園は

甘いぶどうではなく、野生のぶどうを実らせたのか。

5さくを壊し、ぶどう園を牧場にして、

家畜や羊の踏みにじるままにするほかない。

6枝を下ろしたり雑草を除いたりせず、

いばらのはびこるままにしておこう。

もう二度と雨を降らせないよう、雲に命じよう。」

7このぶどう園というのは神の民のことです。

イスラエルとユダは、神のお気に入りの土地でした。

神はそこが正義の国となるのを期待していたのに、

実際に目にしたのは流血でした。

正しいことが行われるようにと願っていたのに、

実際に耳にしたのは、

しいたげられた人たちの叫びでした。

8土地はどんどん買い占められ、

住む所さえない人が大ぜいいました。

それなのにあなたがたは、広々とした土地の真ん中に

大邸宅をかまえ、まるでこの地は全部

自分のものだと言わんばかりの顔をしています。

9しかし、それも今のうちです。

天の軍勢の主は、あなたがたが

きっと恐ろしい目に会うと予告しています。

「多くの美しい邸宅が荒れ果て、

そこに住む者は殺されるか、行方不明になる」

と告げるのを、この耳ではっきり聞きました。

10十ツェメド(十組の牛が一日で耕す面積)のぶどう園から、

たった一バテ(二十三リットル)のぶどう汁も取れず、

一ホメル(二百三十リットル)の種をまいても、

たった一エパ(二十三リットル)の収穫しかありません。

11朝早くから夜ふけまで酒をあびる者は、

必ず災難に会います。

飲んだくれはひどい目に会います。

12あなたがたの豪勢な宴会には心地よい音楽が流れ、

雇った音楽隊も一流のものです。

ところが主のことは頭にありません。

13「だから、おまえたちを捕虜として

遠い国へ連れて行く。

おまえたちは、わたしにどんなによくされたか

知りもせず、心にも留めていない。

大いに尊敬される者さえ飢え、

庶民は飲む水もなく、渇きで死ぬ。」

14地獄は、エルサレムという、

おいしそうなごちそうを前にして舌なめずりし、

その市民を飲んだくれた群衆もろとものみ込みます。

15その日には、傲慢な者もちりの中にひれ伏し、

尊大な者も腰を低くします。

16天の軍勢の主だけが、ひときわたたえられるのです。

きよく正しい方は主だけだからです。

17その時、廃墟の中では家畜の群れが草を食べ、

子羊と子牛、子やぎがたわむれます。

18雄牛に綱をつけて引くように

自分の罪を引きずり歩く者はひどい目に会います。

19イスラエルのきよい神さえさげすみ、

罰を受けることなど平気だという顔で言うのです。

「主よ、罰するなら早く罰してください。

あなたの力のほどを拝見したいものです。」

20彼らは白を黒、黒を白と言い、

苦いものを甘い、甘いものを苦いと言い張ります。

21自分には知恵があると思い、利口ぶる者は、

ひどい目に会います。

22酒ならだれにも負けないと豪語する者も同じです。

23彼らはわいろをもらって正義を曲げ、

悪者を保釈して罪のない者を牢にたたき込みます。

24それゆえ神は彼らをきつく罰し、火で焼くのです。

彼らはわらのように、あっという間に燃え尽きます。

その根はたちまち腐り、花はしぼみます。

主の教えを捨て、

イスラエルのきよい神のことばを軽んじたからです。

25だからこそ、主は

イスラエルに向かって怒りを燃え上がらせ、

御手を下して彼らを打ったのです。

丘々は震え、

人々のしかばねがごみのように町の中に捨てられます。

それでもまだ神の怒りが収まったわけではありません。

御手はなおも重くのしかかります。

26神が遠く離れた国々に合図を送り、

地の果ての人たちを笛で呼ぶと、

彼らはエルサレムへなだれ込みます。

27彼らは全く疲れを知らず、

つまずいたり立ち止まったりしません。

腰のベルトはきつく締まり、

くつひもも丈夫で切れません。

休むことも眠ることもなく走り続けます。

28その矢じりは研ぎすまされ、弓はいっぱいに張られ、

馬のひづめは火花を散らし、

戦車の車輪は風車のように回ります。

29彼らはライオンのようにほえ、獲物に襲いかかって

わたしの民をつかまえ、捕虜として連れ去りますが、

誰ひとり彼らを救い出す者はいません。

30海鳴りのようなうなり声とともに、

犠牲者を、ひと呑みにします。

イスラエル中が絶望のやみと悲しみに沈み、

空は暗黒になります。