Isaya 25 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 25:1-12

Msifuni Bwana

125:1 Hes 23:19; Za 40:5; Yoe 2:21-26; Isa 7:13; 14:24; 37:26; Efe 1:11Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu,

nitakutukuza na kulisifu jina lako,

kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu

umetenda mambo ya ajabu,

mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.

225:2 Isa 37:26; Yer 51:37; Isa 17:3; 13:22; Kum 13:16; Ay 12:14Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,

mji wenye ngome kuwa magofu,

ngome imara ya wageni kuwa si mji tena,

wala hautajengwa tena kamwe.

325:3 Kut 6:2; Za 22:23; Isa 11:14; 13:11; Ufu 11:13Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,

miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

425:4 Yoe 3:16; Isa 33:16; Za 46:1-11; Isa 49:25; 2Sam 22:3; Za 118:8; Isa 3:14Umekuwa kimbilio la watu maskini,

kimbilio la mhitaji katika taabu yake,

hifadhi wakati wa dhoruba

na kivuli wakati wa hari.

Kwa maana pumzi ya wakatili

ni kama dhoruba ipigayo ukuta

525:5 Yer 51:25; Za 18:44; Isa 13:11na kama joto la jangwani.

Wewe wanyamazisha makelele ya wageni;

kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu,

ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.

625:6 Mt 22:4; Mit 9:2; Dan 7:14; Mwa 29:22; Za 36:8Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa

karamu ya vinono kwa mataifa yote,

karamu ya mvinyo wa zamani,

nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.

725:7 2Kor 3:15-16; Efe 4:8; 1:17; Ay 4:9Juu ya mlima huu ataharibu

sitara ihifadhiyo mataifa yote,

kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,

825:8 Hos 13:14; 1Kor 15:54-55; Yer 31:16; Ufu 7:14-17; Ebr 2:14; Isa 26:19yeye atameza mauti milele.

Bwana Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote;

ataondoa aibu ya watu wake duniani kote.

Bwana amesema hili.

925:9 Isa 40:9; Yer 14:8; Za 20:5; Kum 32:43; Isa 2:11; 49:25-26; Za 145:19Katika siku ile watasema,

“Hakika huyu ndiye Mungu wetu;

tulimtumaini, naye akatuokoa.

Huyu ndiye Bwana, tuliyemtumaini;

sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”

1025:10 Mwa 19:37; Hes 21:29; Kum 23:6; Isa 11:14; Amo 2:1-2Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu,

bali Moabu atakanyagwa chini

kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.

1125:11 Isa 5:25; 14:26; Law 26:19; Ay 40:12; Isa 2:10-17; 16:14Watakunjua mikono yao katikati yake,

kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee.

Mungu atashusha kiburi chao

licha ya ujanja wa mikono yao.

1225:12 Ay 40:11; Isa 26:5; Yer 51:44; Isa 2:15Atabomoa kuta ndefu za maboma yako

na kuziangusha chini,

atazishusha chini ardhini,

mpaka mavumbini kabisa.

New Russian Translation

Исаия 25:1-12

Прославление Господа за суд и спасение

1Господи, Ты — мой Бог;

превознесу Тебя и имя Твое прославлю,

потому что Ты явил Свою верность,

совершив дивные дела,

задуманные Тобой издавна.

2Ты сделал город грудой развалин,

укрепленный город — руинами;

не стало в городе крепости чужеземцев —

она никогда не отстроится.

3Поэтому сильные народы прославят Тебя;

города беспощадных народов будут Тебя чтить.

4Ты был прибежищем бедному,

прибежищем нищему в его беде,

кровом от бури,

тенью от зноя;

потому что дыхание беспощадных

было подобно буре против стены,

5шум чужеземцев был подобен зною

на пересохшей земле.

Но Ты усмирил зной тенью облаков;

стихла песнь беспощадных.

6На этой горе25:6 Гора Сион, так же в ст. 7 и 10. Господь Сил

приготовит для всех народов

трапезу из сытных яств,

трапезу из выдержанных вин —

яств с костным мозгом

и вин очищенных.

7На этой горе Он уничтожит покрывало,

окутывающее все народы,

пелену, покрывающую все племена;

8Он навеки поглотит смерть.

Владыка Господь утрет слезы

со всех лиц;

Он снимет бесчестие Своего народа

по всей земле.

Так сказал Господь.

9В тот день будут говорить:

«Вот Он, наш Бог;

мы надеялись на Него, и Он спас нас.

Это Господь, мы верили Ему;

возрадуемся и возвеселимся в Его спасении».

10Рука Господня будет покоиться на этой горе;

но Моав25:10 Здесь Моав олицетворяет все народы, противящиеся Богу. будет растоптан под Ним,

как топчут солому в навозе.

11Руки свои раскинут в навозе,

как пловец простирает руки, чтобы плыть.

Бог унизит его гордость,

несмотря на лукавство25:11 Смысл этого слова в евр. тексте неясен. его рук.

12Твои высокие, укрепленные стены

Он повергнет и обрушит;

Он низвергнет их на землю,

в прах.