Unabii Dhidi Ya Babeli
1Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:
Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini,
mshambuliaji anakuja kutoka jangwani,
kutoka nchi inayotisha.
221:2 1Sam 24:13-16; Mwa 10:22; Za 60:3; Yer 49:34; Isa 22:6; 13:3; Yer 25:25Nimeonyeshwa maono ya kutisha:
Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara.
Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi!
Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.
321:3 Mwa 3:16; Yn 16:2; Ay 14:22; Za 48:6; Isa 26:17; Yer 30:6; Dan 7:28Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,
maumivu makali ya ghafula yamenishika,
kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Nimeduwazwa na lile ninalolisikia,
nimeshangazwa na lile ninaloliona.
421:4 Isa 7:4; 35:4; 13:8; Dan 5:9; Za 55:5Moyo wangu unababaika,
woga unanifanya nitetemeke,
gizagiza la jioni nililolitamani sana,
limekuwa hofu kuu kwangu.
521:5 Yer 25:16, 27; Dan 5:2-5; Isa 5:12; 23:7; Yer 46:3; 1Sam 1:21Wanaandaa meza,
wanatandaza mazulia,
wanakula, wanakunywa!
Amkeni, enyi maafisa,
zitieni ngao mafuta!
621:6 2Fal 9:17Hili ndilo Bwana analoniambia:
“Nenda, weka mlinzi,
na atoe taarifa ya kile anachokiona.
721:7 Amu 6:5; Isa 21:9Anapoona magari ya vita
pamoja na kundi la farasi,
wapanda punda au wapanda ngamia,
na awe macho, awe macho kikamilifu.”
821:8 Mik 7:7; Hab 2:1Naye mlinzi alipaza sauti,
“Mchana baada ya mchana, bwana wangu, ninasimama katika mnara wa ulinzi,
kila usiku ninakaa mahali pangu nilipoamriwa.
921:9 Isa 13:19; Ufu 14:8; Dan 5:30; Ufu 18:2; Yer 50:2; Isa 47:11; Yer 51:8Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita
pamoja na kundi la farasi.
Naye anajibu:
‘Babeli umeanguka, umeanguka!
Vinyago vyote vya miungu yake
vimelala chini vikiwa vimevunjwa!’ ”
1021:10 Yer 51:33; Mt 3:12; Mik 4:13; Isa 27:12; Hab 3:12Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,
ninawaambia kile nilichokisikia
kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote,
kutoka kwa Mungu wa Israeli.
Unabii Dhidi Ya Edomu
1121:11 Mwa 32:3; 1Nya 1:30; Eze 35:2; Oba 1:1Neno kuhusu Duma:
Mtu fulani ananiita kutoka Seiri,
“Mlinzi, usiku utaisha lini?
Mlinzi, usiku utaisha lini?”
12Mlinzi anajibu,
“Asubuhi inakuja, lakini pia usiku.
Kama ungeliuliza, basi uliza;
bado na urudi tena.”
Unabii Dhidi Ya Arabia
1321:13 Isa 13:1; 2Nya 9:14; Mwa 10:7; 25:3; 1Nya 1:9Neno kuhusu Arabia:
Enyi misafara ya Wadedani,
mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia,
1421:14 Mwa 25:15; Ay 6:19leteni maji kwa wenye kiu,
ninyi mnaoishi Tema,
leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.
1521:15 Isa 13:14; 31:8Wanaukimbia upanga,
kutoka upanga uliochomolewa alani,
kutoka upinde uliopindwa,
na kutoka kwenye joto la vita.
1621:16 Law 25:50; Mwa 25:13; 25:13; Isa 17:3; 16:14; Za 120:5; Law 25:50; Wim 1:5; Mwa 25:13Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho. 1721:17 Hes 23:19; Kum 4:27; Isa 10; 19; 1:20; 16:14; Lk 21:33; 1Sam 15:29; Mt 24:35; Mk 13:31; 1Pet 1:25Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.
关于巴比伦的预言
1以下是关于海边沙漠21:1 “海边沙漠”指巴比伦。的预言:
敌人从可怕的沙漠之地上来,
好像狂风扫过南部的旷野。
2我看见一个可怖的异象:
“诡诈的在行诡诈,
毁灭的在行毁灭。
以拦人啊,攻打吧!
玛代人啊,围城吧!
耶和华必终止巴比伦带来的痛苦。”
3这使我充满痛苦,
我陷入剧痛中,
如同分娩的妇人,
我因听见的话而惊慌,
因看见的景象而害怕。
4我心慌意乱,惊惧不堪,
我期盼的黄昏却令我恐惧。
5他们摆设宴席,
铺开地毯又吃又喝。
首领啊,起来擦亮盾牌备战吧!
6主对我说:
“你去派人守望,
让他报告所看见的情况。
7他看到战车、一对对的骑兵、
驴队和骆驼队的时候,
要提高警惕,密切察看。”
8守望的人大喊:
“主啊,我终日站在瞭望塔上,
整夜守在自己的岗位上。
9看啊,战车和一对对的骑兵来了。”
他又接着说:“巴比伦倾倒了!
倾倒了!
它所有的神像都被打碎在地上。”
10于是,我说:“我的百姓啊!
你们像场上被碾、被筛的谷物,
现在我把从以色列的上帝——万军之耶和华那里听见的都告诉你们了。”
关于以东的预言
11以下是关于度玛的预言。
有人从西珥大声问道:
“守望者啊,黑夜还有多长?
守望者啊,黑夜还有多长?”
12守望者回答:
“黎明将到,但黑夜会再来。
你们想问就问吧,可以再回来。”
关于阿拉伯的预言
13以下是关于阿拉伯的预言:
底但的商队必宿在阿拉伯的树林中。
14提玛的居民啊,要送水给这些口渴的人,
拿食物给这些逃难的人。
15他们逃离了刀光箭影和激烈的战争。
16主对我说:“按雇工规定的做工年限,一年之内,基达所有的荣耀必消失, 17勇敢的弓箭手必所剩无几。这是以色列的上帝耶和华说的。”