Isaya 18 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Isaya 18:1-7

Unabii Dhidi Ya Kushi

118:1 Mwa 10:6; Sef 2:12; Isa 5:8; Za 68:31; Eze 29:10; Oba 1:1Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa,18:1 Au: wa nzige.

kando ya mito ya Kushi,

218:2 Mwa 10:8-9; 2Nya 12:3; Kut 2:3; Ay 9:26; Mwa 41:14iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari

kwa mashua za mafunjo juu ya maji.

Nendeni, wajumbe wepesi,

kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.

318:3 Za 60:4; Yer 4:21; Za 33:8; Isa 5:26; 5:26; 31:9; Yos 6:21; Amu 3:27Enyi mataifa yote ya ulimwengu,

ninyi mnaoishi duniani

wakati bendera itakapoinuliwa milimani,

mtaiona,

nayo tarumbeta itakapolia,

mtaisikia.

418:4 Hos 5:15; 2Sam 1:21; Za 133:3; Isa 64:12; 26:21; Amu 5:31; Za 18:12; Isa 26:19Hili ndilo Bwana aliloniambia:

“Nitatulia kimya na kutazama

kutoka maskani yangu,

kama joto linalometameta katika mwanga wa jua,

kama wingu la umande

katika joto la wakati wa mavuno.”

518:5 Isa 17:10-11; Eze 17:6; Isa 10:33Kwa maana, kabla ya mavuno,

wakati wa kuchanua ukishapita

na maua yakawa zabibu zinazoiva,

atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi,

naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.

618:6 Yer 7:33; Eze 32:4; 39:17; Isa 37:36; 8:8; 56:9Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani

na wanyama pori,

ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi,

nao wanyama pori wakati wote wa masika.

718:7 Sef 3:10; Za 68:31; 2Nya 9:24; Isa 60:7; Mwa 41:4; 41:14Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote

kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito,

matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

以賽亞書 18:1-7

關於古實的預言

1古實河那邊、翅膀刷刷作響之地有禍了!

2那裡派出的使節乘蘆葦船行駛在水面上。

迅捷的使節啊,

去身材高大、皮膚光滑、

遠近畏懼、強悍好戰、

境內河流縱橫的民族那裡吧!

3天下萬民啊,普世的居民啊,

山上豎立旗幟的時候,

你們要看;

號角吹響的時候,你們要聽。

4耶和華對我說:

「我要從我的居所靜靜地觀看,

無聲無息,就像烈日下閃爍的熱氣,

又如夏收時節露水蒸發的雲霧。」

5在收割之前,

花已凋謝、葡萄將熟之時,

祂必用刀削去葡萄樹的嫩枝,

砍掉蔓延的枝條。

6他們必全部被拋給山野間的鷙鳥和走獸,

夏天被鷙鳥啄食,

冬天被走獸吞吃。

7那時,這身材高大、皮膚光滑、

遠近畏懼、強悍好戰、

境內河流縱橫的民族,

必帶著禮物來到錫安山,

萬軍之耶和華立名之地。