Isaya 13 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 13:1-22

Unabii Dhidi Ya Babeli

113:1 Isa 14:28; 21:9; 48:14; Ufu 14:8; Mwa 10:10; Mal 1:1; Isa 14:4; 46:1-2Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:

213:2 Za 20:5; 50:2; Yer 51:27; 51:58; 50:2; Isa 24:12; 45:2; 24:2Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,

wapazieni sauti,

wapungieni mkono waingie

katika malango ya wenye heshima.

313:3 Yer 51:11; Yoe 3:11; Za 149:2; Isa 21:2; Kum 5:28; Ay 40:11Nimewaamuru watakatifu wangu;

nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu:

wale wanaoshangilia ushindi wangu.

413:4 Yoe 3:14; Za 46:6; Isa 42:13; 47:4; Yer 50:41Sikilizeni kelele juu ya milima,

kama ile ya umati mkubwa wa watu!

Sikilizeni, makelele katikati ya falme,

kama mataifa yanayokusanyika pamoja!

Bwana Mwenye Nguvu Zote anakusanya

jeshi kwa ajili ya vita.

513:5 Yos 6:17; Isa 5:26; 34:2; 54:16; 10:25; 34:2; Yer 50:25Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,

kutoka miisho ya mbingu,

Bwana na silaha za ghadhabu yake,

kuangamiza nchi yote.

613:6 Amo 5:18; Eze 30:2; Yak 5:1; Isa 2:12; 14:31; 10:3; 15:2Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu,

itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.13:6 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.

713:7 Eze 21:7; Yos 2:11; 2Fal 19:26; Ay 4:3; Yer 47:3Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,

moyo wa kila mtu utayeyuka.

813:8 Nah 2:10; Yoe 2:6; Za 31:13; Isa 21:4; Za 48:5; Kut 15:14; Mwa 3:16; Yn 16:21Hofu itawakamata,

uchungu na maumivu makali yatawashika,

watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa.

Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake,

nyuso zao zikiwaka kama moto.

913:9 Isa 2:12; Yer 6:23; 51:2; Isa 9:19; 66:16; Yer 25:31; Yoe 3:2Tazameni, siku ya Bwana inakuja,

siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali,

kuifanya nchi kuwa ukiwa

na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.

1013:10 Kut 10:22; Ufu 8:12; Amo 5:20; Zek 14:7; Ay 9:7; Mt 24:29; Isa 5:30; 24:23Nyota za mbinguni na makundi ya nyota

havitatoa mwanga wake.

Jua linalochomoza litatiwa giza

na mwezi hautatoa nuru yake.

1113:11 Isa 3:11; 26:21; 65:6-7; 49:25-26; Za 125:3; Mit 16:18; Dan 5:23; 4:37; Eze 28:2Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,

waovu kwa ajili ya dhambi zao.

Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi,

na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.

1213:12 Isa 4:1; Mwa 10:29Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,

watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.

1313:13 Hag 2:6; Za 102:26; Isa 9:19; 14:16; 34:4; Mt 24:7; Ay 9:5; 9:6; Mk 13:8Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,

nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake

katika ghadhabu ya Bwana Mwenye Nguvu Zote,

katika siku ya hasira yake iwakayo.

1413:14 Nah 3:7; Yn 10:11; Yer 51:9; 46:16; 4:9; Mit 6:5; Isa 17:13; 21:15; 33:3; Mt 9:36Kama swala awindwaye,

kama kondoo wasio na mchungaji,

kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe,

kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.

1513:15 Yer 50:25; 51:4; Isa 14:19Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,

wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.

1613:16 Nah 3:10; Hes 16:27; 13:16; Mwa 34:29; 2Fal 8:12Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande

mbele ya macho yao;

nyumba zao zitatekwa

na wake zao watatendwa jeuri.

1713:17 2Fal 18:14-16; Mit 19:24-25; Yer 51:11; 50:9, 41Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,

ambao hawajali fedha

wala hawafurahii dhahabu.

1813:18 Za 7:12; Isa 41:2; Yer 49:26Mishale yao itawaangusha vijana,

hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga

wala hawataangalia watoto kwa huruma.

1913:19 Dan 4:30; Za 137:8; Ufu 14:8; Mwa 19:24-25; Rum 9:29; Isa 47:5; Dan 2:37-38Babeli, johari ya falme,

utukufu wa kiburi cha Wababeli,13:19 Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.

itaangushwa na Mungu

kama Sodoma na Gomora.

2013:20 Isa 14:23; 34:10-15; 2Nya 17:11; Yer 51:29, 37-43, 62Hautakaliwa na watu kamwe

wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.

Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.

2113:21 Za 74:14; Ufu 18:2; Yer 14:6; Law 11:16-18; Kum 14:15-17; 2Nya 11:15Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,

mbweha watajaza nyumba zake,

bundi wataishi humo

nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.

2213:22 Isa 34:14; Kum 32:25; Yer 48:16; 9:11; Isa 25:2; 32:14; Yer 50:39; Mal 1:3Fisi watalia ndani ya ngome zake,

mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari.

Wakati wake umewadia,

na siku zake hazitaongezwa.

Thai New Contemporary Bible

อิสยาห์ 13:1-22

คำพยากรณ์กล่าวโทษบาบิโลน

1พระดำรัสเกี่ยวกับบาบิโลนซึ่งอิสยาห์บุตรอาโมศได้รับ

2จงชูธงขึ้นเหนือยอดเขาหัวโล้น

จงร้องเรียกพวกเขา

จงส่งสัญญาณให้พวกเขา

เข้ามาทางประตูของบรรดาเจ้านาย

3เราได้ออกคำสั่งแก่วิสุทธิชนของเรา

เราเรียกชุมนุมเหล่านักรบผู้ปีติยินดีในชัยชนะของเรา

ให้เป็นผู้ลบล้างโทสะของเรา

4ฟังสิ เสียงอึกทึกบนภูเขา

ดั่งเสียงมหาชนล้นหลาม!

ฟังสิ เสียงครึกโครมในหมู่อาณาจักร

ดั่งเสียงชุมนุมประชาชาติ!

พระยาห์เวห์ผู้ทรงฤทธิ์

ทรงกรีธาทัพมาเพื่อทำศึก

5พวกเขามาจากดินแดนไกลโพ้น จากสุดขอบฟ้า

คือองค์พระผู้เป็นเจ้าและอาวุธแห่งพระพิโรธของพระองค์

เพื่อทำลายดินแดนทั้งหมด

6จงร้องไห้เถิด เพราะวันแห่งองค์พระผู้เป็นเจ้าใกล้เข้ามาแล้ว

วันนั้นจะมาถึงดั่งหายนะจากองค์ทรงฤทธิ์

7ด้วยเหตุนี้แขนทุกแขนจะอ่อนปวกเปียก

หัวใจทุกดวงจะระทดท้อ

8ความหวาดกลัวจะจู่โจมพวกเขา

ความปวดร้าวและทุกข์ทรมานจะเกาะกุมพวกเขา

พวกเขาจะทุรนทุรายดั่งผู้หญิงเจ็บท้องใกล้คลอด

พวกเขาจะมองตากัน

ใบหน้าแดงก่ำ

9ดูเถิด วันแห่งองค์พระผู้เป็นเจ้าใกล้เข้ามา

เป็นวันหฤโหด มาพร้อมกับความกริ้วและพระพิโรธอันรุนแรง

เพื่อทำให้ดินแดนนั้นเริศร้าง

และทำลายคนบาปทั้งปวงซึ่งอยู่ที่นั่น

10เหล่าดวงดาวบนท้องฟ้าและหมู่ดาว

จะไม่ฉายแสง

ดวงอาทิตย์ที่กำลังขึ้นจะถูกดับ

และดวงจันทร์จะไม่ทอแสง

11เราจะลงโทษโลกเพราะความชั่วร้าย

ลงโทษคนชั่วเพราะบาปของพวกเขา

เราจะยุติความเย่อหยิ่งของคนทะนง

และจะทำให้ความอหังการของคนอำมหิตต่ำลง

12เราจะทำให้มนุษย์หายากยิ่งกว่าทองคำบริสุทธิ์

หายากยิ่งกว่าทองคำของเมืองโอฟีร์

13ดังนั้นเราจะทำให้ฟ้าสวรรค์สั่นสะท้าน

และโลกจะกระเด็นจากที่ตั้งของมัน

โดยพระพิโรธของพระยาห์เวห์ผู้ทรงฤทธิ์

ในวันแห่งพระพิโรธอันรุนแรงของพระองค์

14แต่ละคนจะหันกลับไปหาพี่น้องร่วมชาติ

จะหนีกลับไปบ้านเกิดเมืองนอน

ดั่งละมั่งที่ถูกล่า

ดั่งแกะที่ไม่มีคนเลี้ยง

15ใครที่ถูกจับเป็นเชลยจะถูกแทงทะลุ

ทุกคนที่ถูกจับได้จะล้มตายด้วยดาบ

16ลูกเล็กเด็กแดงของพวกเขาจะถูกจับฟาดจนแหลกเป็นชิ้นๆ ต่อหน้าต่อตา

บ้านของพวกเขาจะถูกปล้น และภรรยาจะถูกข่มขืน

17ดูเถิด เราจะเร่งเร้าชาวมีเดีย

ผู้ไม่แยแสเงินและไม่ใส่ใจทอง

มาต่อสู้กับพวกเขา

18ธนูของเขาจะสังหารพวกคนหนุ่ม

เขาจะไม่ปรานีเด็กอ่อน

หรือเวทนาสงสารผู้เยาว์

19บาบิโลน มณีแห่งอาณาจักรทั้งหลาย

ศักดิ์ศรีและความภาคภูมิใจของชาวบาบิโลน13:19 หรือชาวเคลเดีย

จะถูกพระเจ้าล้มล้าง

เหมือนเมืองโสโดมและโกโมราห์

20ตลอดทุกชั่วอายุจะไม่มีใครมาตั้งรกรากอีกต่อไป

ไม่มีใครมาอาศัยตลอดทุกชั่วอายุ

ไม่มีชาวอาหรับมาตั้งเต็นท์

ไม่มีคนเลี้ยงแกะพาฝูงแกะมาพักอีก

21แต่สัตว์ป่าแห่งถิ่นทะเลทรายจะนอนอยู่ที่นั่น

บ้านเรือนทั้งหลายจะเต็มไปด้วยหมาใน

นกเค้าแมวจะอาศัยอยู่ที่นั่น

ที่นั่นแพะป่าจะโลดเต้นไปมา

22บรรดาหมาป่าไฮยีน่าจะเห่าหอนอยู่ในป้อมปราการ

เหล่าหมาในอยู่ในปราสาทราชวังอันโอ่อ่าของเมืองนั้น

กำหนดเวลาของมันใกล้เข้ามาแล้ว

และไม่มีการยืดเวลาออกไปอีก