Kushukuru Na Kusifu
112:1 Zek 14:20-21; Isa 25:1; 10:20; Ay 13:16; Za 71:21; 9:1Katika siku ile utasema:
“Nitakusifu wewe, Ee Bwana.
Ingawa ulinikasirikia,
hasira yako imegeukia mbali
nawe umenifariji.
212:2 Kut 15:2; Dan 6:23; Za 26:1; 118:14; Isa 17:10; 25:9; 26:4; Ay 13:15Hakika Mungu ni wokovu wangu;
nitamtumaini wala sitaogopa.
Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu;
amekuwa wokovu wangu.”
312:3 Yer 2:13; 17:13; Za 39:6; Yn 4:10, 14; 2Fal 3:17; Kut 15:25Kwa furaha mtachota maji
kutoka visima vya wokovu.
412:4 Za 80:18; 113:2; Hos 12:5; Kut 3:15; Isa 10:20; 24:15; Yer 10:7Katika siku hiyo mtasema:
“Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake;
julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,
tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
512:5 Kut 15:1; Za 98:1Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,
hili na lijulikane duniani kote.
612:6 Za 78:41; Eze 39:7; Sef 3:14-17; Za 46:5; 98:4; Mwa 21:6; Isa 48:20; Zek 2:10Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,
kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Songs of Praise
1In that day you will say:
“I will praise you, Lord.
Although you were angry with me,
your anger has turned away
and you have comforted me.
2Surely God is my salvation;
I will trust and not be afraid.
The Lord, the Lord himself, is my strength and my defense12:2 Or song;
he has become my salvation.”
3With joy you will draw water
from the wells of salvation.
4In that day you will say:
“Give praise to the Lord, proclaim his name;
make known among the nations what he has done,
and proclaim that his name is exalted.
5Sing to the Lord, for he has done glorious things;
let this be known to all the world.
6Shout aloud and sing for joy, people of Zion,
for great is the Holy One of Israel among you.”