Israeli Asiye Na Toba
16:1 Ay 16:9; Kum 32:39; Mao 3:11; Ay 5:18; Isa 10:20; 19:22; Hes 12:13; Yer 3:22; 30:17; Hos 14:4“Njooni, tumrudie Bwana.
Ameturarua vipande vipande
lakini atatuponya;
ametujeruhi lakini
atatufunga majeraha yetu.
26:2 Mit 2:1-9; Za 80:18; 30:5; Mt 16:21Baada ya siku mbili atatufufua;
katika siku ya tatu atatuinua,
ili tuweze kuishi mbele zake.
36:3 Ay 4:3; 29:23; Yoe 2:23; Hos 12:6; Za 72:6; Hos 11:10Tumkubali Bwana,
tukaze kumkubali yeye.
Kutokea kwake ni hakika kama vile
kuchomoza kwa jua;
atatujia kama mvua za masika,
kama vile mvua za vuli
ziinyweshavyo nchi.”
46:4 Hos 11:8; 7:1; 13:3“Nifanye nini nawe, Efraimu?
Nifanye nini nawe, Yuda?
Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,
kama umande wa alfajiri utowekao.
56:5 Yer 5:14; 23:29; Ebr 4:12; Yer 1:9-10Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande
kwa kutumia manabii wangu;
nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,
hukumu zangu zinawaka
kama umeme juu yenu.
66:6 1Sam 15:22; Mk 12:33; Yer 4:22; Hos 2:20; Mit 21:3; Mt 12:7; Za 40:6Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,
kumkubali Mungu zaidi
kuliko sadaka za kuteketezwa.
76:7 Mwa 9:11; Yer 11:10; Hos 5:7; 8:1Wamevunja Agano kama Adamu:
huko hawakuwa waaminifu kwangu.
86:8 Hos 12:11Gileadi ni mji wenye watu waovu,
umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
96:9 Yer 5:30-31; Eze 22:9; Za 10:8; Hos 4:2; Yer 7:9-10Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,
ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;
wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,
wakifanya uhalifu wa aibu.
106:10 Yer 5:31; Eze 23:7; Yer 23:14; Hos 5:3Nimeona jambo la kutisha
katika nyumba ya Israeli.
Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba
na Israeli amenajisika.
116:11 Yoe 3:12-13; Yer 51:33“Pia kwa ajili yako, Yuda,
mavuno yameamriwa.
“Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,
以色列和犹大不思悔改
1“来吧,我们归向耶和华!
祂撕裂我们,也必医治我们;
祂打伤我们,也必为我们包扎。
2过两天,祂必复兴我们;
第三天,祂必使我们站立起来,
我们好在祂面前存活。
3让我们认识耶和华,
竭力认识耶和华!
祂如曙光一样必然出现,
祂必像甘霖一样临到我们,
又如滋润大地的春雨。”
4耶和华说:
“以法莲啊,我该怎样待你呢?
犹大啊,我该怎样待你呢?
你们对我的爱像晨雾,
如转瞬即逝的朝露。
5所以,我借先知砍碎你们,
用我的话杀戮你们,
我的审判必如光临到你们。
6我要的是怜悯,而非祭物;
我喜爱人认识我,胜于燔祭。
7可是,你们却如亚当一样背约,
以诡诈待我。
8基列是罪恶之城,
到处血迹斑斑。
9祭司如同埋伏的强盗一样结伙打劫,
在通往示剑的路上行凶作恶。
10我在以色列家看见了可怕之事,
以法莲不忠不贞,玷污了自己。
11“犹大啊,当我使我被掳的子民返乡时,
你必得到我给你定的下场6:11 “你必得到我给你定的下场”希伯来文是“我已经为你定下收割的时间”。。