Hukumu Dhidi Ya Israeli
15:1 Hos 6:9; 9:8; Ay 10:12; Yer 5:26“Sikieni hili, enyi makuhani!
Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli!
Sikieni, ee nyumba ya mfalme!
Hukumu hii ni dhidi yenu:
Mmekuwa mtego huko Mispa,
wavu uliotandwa juu ya Tabori.
25:2 Hos 4:2; 9:15Waasi wamezidisha sana mauaji.
Mimi nitawatiisha wote.
35:3 Eze 23:7; Za 90:8; Hos 1:2; 6:10; Amo 5:12Ninajua yote kuhusu Efraimu,
Israeli hukufichika kwangu.
Efraimu, sasa umegeukia ukahaba,
Israeli amenajisika.
45:4 Hos 4:6, 11; 7:10; Yer 4:22“Matendo yao hayawaachii
kurudi kwa Mungu wao.
Roho ya ukahaba imo ndani ya mioyo yao,
hawamkubali Bwana.
55:5 Isa 3:9; Yer 2:19; Hos 7:10Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yao;
Waisraeli, hata Efraimu,
wanajikwaa katika dhambi zao;
pia Yuda atajikwaa pamoja nao.
65:6 Mik 6:6-7; Mit 1:28; Mal 1:10; Eze 8:6; Isa 1:26Wakati wanapokwenda na makundi yao
ya kondoo na ngʼombe
kumtafuta Bwana,
hawatampata;
yeye amejiondoa kutoka kwao.
75:7 Isa 1:14; 24:16; Hos 2:4, 11-12; 6:7; Eze 12:28Wao si waaminifu kwa Bwana;
wamezaa watoto haramu.
Sasa sikukuu zao za Mwandamo wa Mwezi
zitawaangamiza wao
pamoja na mashamba yao.
85:8 Amu 19:12; Hos 4:15; 10:9; Isa 10:29; Yos 7:2; Hes 10:2; Yer 4:21“Pigeni tarumbeta huko Gibea,
baragumu huko Rama.
Paza kilio cha vita huko Beth-Aveni,5:8 Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.
ongoza, ee Benyamini.
95:9 Isa 37:3; Hos 9:11-17; Isa 46:10; 7:16; Zek 1:6Efraimu ataachwa ukiwa
katika siku ya kuadhibiwa.
Miongoni mwa makabila ya Israeli
ninatangaza lile ambalo halina budi kutukia.
105:10 Kum 19:14; Eze 7:8Viongozi wa Yuda ni kama wale
wanaosogeza mawe ya mpaka.
Nitamwaga ghadhabu yangu juu yao
kama mafuriko ya maji.
115:11 Hos 9:16; Mik 6:16Efraimu ameonewa,
amekanyagwa katika hukumu
kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.
125:12 Ay 13:28; Isa 51:8; Ay 18:16Mimi ni kama nondo kwa Efraimu,
na kama uozo kwa watu wa Yuda.
135:13 Hes 12:1; Eze 23:5; Mao 5:6; Hos 2:7; Yer 30:12; Isa 7:16; 3:7“Wakati Efraimu alipoona ugonjwa wake,
naye Yuda vidonda vyake,
ndipo Efraimu alipogeukia Ashuru,
na kuomba msaada kwa mfalme mkuu.
Lakini hawezi kukuponya,
wala hawezi kukuponya vidonda vyako.
145:14 Ay 10:16; Yer 4:7; Kum 32:39; Mik 5:8; Amo 3:4Kwa maana nitakuwa kama simba kwa Efraimu,
kama simba mkubwa kwa Yuda.
Nitawararua vipande vipande na kuondoka;
nitawachukua mbali,
na hakuna wa kuwaokoa.
155:15 Hes 21:7; Za 24:6; 50:15; Yer 2:27; Eze 20:43; Isa 18:4; 64:9Kisha nitarudi mahali pangu
mpaka watakapokubali kosa lao.
Nao watautafuta uso wangu;
katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”
对以色列和犹大的审判
1“祭司啊,要听!
以色列家啊,要留心听!
王室啊,要侧耳听!
这是对你们的审判,
因为你们像设在米斯巴的圈套,
像铺在他泊山的网罗。
2你们这些叛逆之徒大肆杀戮,
我要责罚你们所有人。
3我对以法莲一清二楚,以色列瞒不过我。
以法莲做了妓女,以色列被玷污了。”
4他们的恶行阻挠他们归向自己的上帝,
因为淫乱之灵占据了他们的心,
以致他们不认识耶和华。
5以色列被自己的傲慢指控,
以色列和以法莲要跌倒在自己的罪中,
犹大也要一同跌倒。
6他们牵着牛羊去寻求耶和华,
却寻不到,
因为祂已离他们而去。
7他们对耶和华不忠,
所生的是私生子,
他们和他们的田地必在朔日被吞噬。
8耶和华说:
“要在基比亚吹角,
在拉玛鸣号,
在伯·亚文呐喊,
便雅悯啊,敌人就在你身后!
9以法莲啊,你要在受惩罚的日子沦为废墟!
我要在以色列各支派中宣告将来必要发生的事!
10犹大的首领如同擅移地界的人,
侵吞以色列的领土,
我要将烈怒如洪水般倾泻在他们身上。
11以法莲因甘愿追随偶像而受欺压,
被审判压碎。
12我要使以法莲像虫蛀的衣服,
使犹大家像朽烂的木头。
13“以法莲见自己患病,
犹大见自己有伤,
以法莲便向强大的亚述王5:13 “强大的亚述王”或译为“耶雷布王”,同10:6。求救。
亚述王却不能医治你们,
也无法为你们疗伤。
14我要像狮子一样对待以法莲,
如猛狮一样对待犹大家,
将他们撕碎、拖走,
无人能营救他们。
15我要返回我的居所,
直到他们知罪来寻求我。
在苦难的日子里,
他们必恳切地寻求我。”