Hesabu 14 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 14:1-45

Watu Wanaasi

114:1 Mwa 27:38; Kut 33:4; Hes 25:6; Kum 1:45; Amu 20:23-26; 2Sam 3:32; Ay 31:29Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu. 214:2 Kut 16:3; 15:24; Ebr 3:16; Hes 11:1; 16:13; 20:4; 21:5Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa! 314:3 Kut 5:21; Kum 1:39; Mwa 34:29; Za 109:11; Isa 33:4; Eze 7:21; 25:7; 26:5; Mdo 7:39Kwa nini Bwana anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?” 414:4 Neh 9:17; Mdo 7:36; Ebr 11:15Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

514:5 Law 9:24; 19:2; Hes 16:4, 22, 45; 20:6; Yos 5:12; Eze 1:28; 2Sam 14:4; 1Nya 21:16Ndipo Mose na Aroni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli lililokusanyika hapo. 614:6 Hes 11:28; Mwa 37:29-34; Amu 11:35; 2Sam 13:31; 1Fal 19:1; Ezr 9:3; Es 4:1; Mk 14:63Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu wale waliokwenda kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao, 714:7 Hes 13:27; Kum 1:25wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli, wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na kuipeleleza ni nzuri sana sana. 814:8 Kum 1:21; 7:8; 10:15; Za 18:19; 22:8; 37:23; 41:11; 56:9; 147:11; Mit 11:20; Isa 62:4; Mal 2:17; Hes 13:27Ikiwa Bwana anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye atatupa nchi hiyo. 914:9 Kum 1:21, 26; 7:18; 9:7; 20:1; Mwa 21:22; 26:24; 2Nya 13:12; 32:7; Za 118:6; Hag 2:4; 1:13; Yer 15:20; 41:18; 42:11; 46:28Ila tu msimwasi Bwana. Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, lakini Bwana yupo pamoja nasi. Msiwaogope.”

1014:10 Kut 17:4; 24:16; Law 9:24Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa Bwana ukaonekana katika Hema la Kukutania kwa Waisraeli wote. 1114:11 Kut 3:20; 4:17; 10:1; 23:21; Hes 15:31; 16:30; 1Sam 2:17; Yn 3:25; Eze 31:14; Mal 1:13; Kum 1:32; Za 78:22; 106:24Bwana akamwambia Mose, “Watu hawa watanidharau mpaka lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao? 1214:12 Kut 5:3; 33:10; Kum 9:14; 29:20; 32:26; Za 109:13Nitawapiga kwa tauni na kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.”

1314:13 Kut 32:11; Za 106:23Mose akamwambia Bwana, “Ndipo Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni mwao. 1414:14 Kut 13:21; 15:14; 33:16; Hes 5:3; 16:3; Yos 2:9; Kum 5:4; 34:10Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba wewe, Ee Bwana, upo pamoja na watu hawa, na kuwa wewe, Ee Bwana, umeonekana uso kwa uso, nalo wingu lako hukaa juu yao. Tena wewe unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na kwa nguzo ya moto usiku. 15Ikiwa utawaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema, 1614:16 Hes 11:12; Kut 32:12; Yos 7:7Bwana alishindwa kuwaingiza watu hawa katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo; hivyo akawaua jangwani.’

17“Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema: 1814:18 Kut 20:5-6; 34:6; Za 145:8; Yon 4:2; Yak 5:11Bwana si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’ 1914:19 Kut 34:9; 1Fal 8:34; Za 85:2; 103:3; 10:6; 65; 78:38Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”

2014:20 Kut 34:6; Za 99:8; 106:23; Mik 7:18-20Bwana akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba. 2114:21 Hes 14:28; Kum 32:40; Amu 8:19; Rut 3:13; 1Sam 14:39; 19:6; Isa 6:3; 40:5; 49:18; Yer 4:2; Eze 5:11; Law 9:6; Za 72:19; Hab 2:14Hata hivyo, kwa hakika kama niishivyo, na kwa hakika kama utukufu wa Bwana uijazavyo dunia yote, 2214:22 Kut 14:11; 17:7; 32:1; Za 81:7; 1Kor 10:5hakuna hata mmoja wa watu hawa ambao waliuona utukufu wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Misri na huko jangwani, lakini ambaye hakunitii na akanijaribu mara hizi kumi, 2314:23 Kut 33:1; Hes 32:11; Kum 1:34; Ebr 3:18; Za 95:11; 106:26hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona. 2414:24 Hes 13:6; 26:65; 32:12; Kum 1:36; Yos 14:8, 14; Za 25:13; 37:9-11Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi. 2514:25 Mwa 14:7; 10:18; Kum 1:40; Kut 23:31; Hes 21:4; 1Fal 9:26Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani wanaishi katika mabonde, kesho geukeni mwelekee jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya Shamu.”14:25 Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.

2614:26 Kut 16:12; Kum 1:34-35Bwana akamwambia Mose na Aroni: 2714:27 Kut 16:28; Mt 17:17; Mk 9:19; Kut 16:12; 1Kor 10:10“Jumuiya hii ovu itanungʼunika dhidi yangu hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa Waisraeli wanaonungʼunika. 2814:28 Hes 33:56; Ebr 3:17Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema Bwana, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema: 2914:29 Hes 1:45; 26:65; 32:13; 1Kor 10:5; Ebr 3:17; Yud 5; Kut 30:12Kila mmoja wenu mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na amenungʼunika dhidi yangu, miili yenu itaanguka katika jangwa hili. 3014:30 Kut 6:8; Kum 32:40; Neh 9:15; Za 106:26; Eze 20:5; 36:7; Hes 13:6; 11:28Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni. 3114:31 Law 26:43Lakini watoto wenu ambao mlisema watachukuliwa kama mateka, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo ninyi mmeikataa. 3214:32 1Kor 10:5Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili. 3314:33 Kut 16:35; Mdo 13:18; Ebr 3:9Watoto wenu watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa mwisho ulale katika jangwa hili. 3414:34 Hes 13:25; 14:32, 33; Za 95:10; Eze 4:6; Za 77:8; Ebr 4:1Kwa miaka arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa ajili ya dhambi zenu, na kujua jinsi ilivyo vibaya kunifanya mimi kuwa adui yenu.’ 3514:35 Hes 23:19Mimi Bwana nimesema, na hakika nitafanya mambo haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana na mwisho wao katika jangwa hili; hapa ndipo watafia.”

3614:36 Hes 13:4-16, 32Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na kuifanya jumuiya nzima kunungʼunika dhidi ya Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi: 3714:37 Hes 13:32; 16:49; 25:9; 26:1; 31:16; 1Kor 10:10; Ebr 3:17; Kum 4:3watu hawa waliohusika kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka kwa tauni mbele za Bwana. 3814:38 Hes 13:4-16; Yos 14:6Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

3914:39 Kut 33:4; Mit 19:3; Mt 8:12; Ebr 12:17Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu. 4014:40 Hes 13:17; Kut 9:27; Kum 1:41Mapema asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea kwenye nchi ya vilima virefu, wakasema, “Tumetenda dhambi. Tutakwea mpaka mahali Bwana alipotuahidi.”

4114:41 2Nya 24:20; Ay 9:4; Isa 59:1, 2; Yer 2:37Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii amri ya Bwana? Jambo hili halitafanikiwa! 4214:42 Kum 1:42Msipande juu, kwa kuwa Bwana hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu, 4314:43 Amu 1:19; 6:16; 3:13; Hes 13:29; Mwa 39:23; Kum 21:8; Yos 6:27; 1Sam 3:19; 18:14; 2Nya 1:1kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha Bwana, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”

4414:44 Kum 1:43; Hes 31:6Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose hakutoka kambini wala Sanduku la Agano la Bwana. 4514:45 Hes 21:3; Kum 1:44; Yos 12:14; 15:30; 19:4; Amu 1:17; 1Sam 30:30; 1Nya 4:30Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakateremka na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi Horma.

Persian Contemporary Bible

اعداد 14:1-45

شورش عليه خداوند

1با شنيدن اين خبر، قوم اسرائيل تمام شب با صدای بلند گريستند. 2آنها از دست موسی و هارون شكايت كرده، گفتند: «كاش در مصر مرده بوديم، يا در همين بيابان تلف می‌شديم، 3زيرا مردن بهتر از اين است كه به سرزمينی كه در پيش داريم برويم! در آنجا خداوند ما را هلاک می‌كند و زنان و بچه‌هايمان اسير می‌شوند. بياييد به مصر بازگرديم.» 4پس به يكديگر گفتند: «بياييد يک رهبر انتخاب كنيم تا ما را به مصر بازگرداند.»

5موسی و هارون در برابر قوم اسرائيل به خاک افتادند. 6يوشع پسر نون و كاليب پسر يَفُنّه كه جزو كسانی بودند كه به بررسی سرزمين كنعان رفته بودند، جامهٔ خود را چاک زدند 7و به همهٔ قوم خطاب كرده، گفتند: «سرزمينی كه بررسی كرديم سرزمين بسيار خوبی است. 8اگر خداوند از ما راضی است، ما را به سلامت به اين سرزمين حاصلخيز خواهد رساند و آن را به ما خواهد داد. 9پس بر ضد خداوند قيام نكنيد و از مردم آن سرزمين نترسيد، چون شكست دادن آنها برای ما مثل آب خوردن است. خداوند با ماست، ولی آنان پشتيبانی ندارند. از آنها نترسيد!»

10‏-11ولی قوم اسرائيل به عوض قبول اين پيشنهاد، ايشان را تهديد به مرگ كردند كه ناگاه حضور پرجلال خداوند در خيمهٔ عبادت بر تمام قوم نمايان گرديد و خداوند به موسی فرمود: «تا به كی اين قوم مرا اهانت می‌كنند؟ آيا بعد از همهٔ اين معجزاتی كه در ميان آنها كرده‌ام باز به من ايمان نمی‌آورند؟ 12من ايشان را با بلايی هلاک می‌كنم و از تو قومی بزرگتر و نيرومندتر بوجود می‌آورم.»

13موسی به خداوند عرض كرد: «اما وقتی مصریان اين را بشنوند چه خواهند گفت؟ آنها خوب می‌دانند كه تو با چه قدرت عظيمی قوم خود را نجات دادی. 14مصری‌ها اين موضوع را برای ساكنان سرزمين كنعان تعريف خواهند كرد. کنعانی‌ها اطلاع دارند كه تو، ای خداوند، با ما هستی و خود را در ابری كه بالای سر ماست ظاهر می‌كنی و با ستون ابر و آتش، شب و روز ما را هدايت می‌نمايی. 15حال اگر تمام قوم خود را بكشی، مردمی كه شهرت تو را شنيده‌اند خواهند گفت: 16خداوند ناچار شد آنها را در بيابان بكشد، چون نتوانست اين قوم را به سرزمينی كه به آنها وعده داده بود برساند.

17‏-18«التماس می‌كنم قدرت عظيمت را با بخشيدن گناهان ما نمايان ساخته، محبت عظيم خود را به ما نشان دهی. بر ما خشم نگير و ما را ببخش هر چند گفته‌ای كه گناه را بدون سزا نمی‌گذاری و به خاطر گناه پدران، فرزندان را تا نسل سوم و چهارم مجازات می‌كنی. 19خداوندا، از تو استدعا می‌كنم گناهان اين قوم را به خاطر محبت عظيم خود ببخشی همچنانكه از روزی كه سرزمين مصر را پشت سر گذاشتيم آنها را مورد عفو خود قرار داده‌ای.»

20‏-21پس خداوند فرمود: «من آنها را چنانكه استدعا كرده‌ای می‌بخشم. ولی به حيات خودم و به حضور پرجلالم كه زمين را پر كرده است سوگند ياد می‌كنم كه 22‏-23هيچكدام از آنانی كه جلال و معجزات مرا در مصر و در بيابان ديده‌اند و بارها از توكل نمودن و اطاعت كردن سر باز زده‌اند حتی موفق به ديدن سرزمينی كه به اجدادشان وعده داده‌ام نخواهند شد. هر كه مرا اهانت كند سرزمين موعود را نخواهد ديد. 24ولی خدمتگزار من كاليب شخصيت ديگری دارد و پيوسته از صميم قلب مرا اطاعت كرده است. او را به سرزمينی كه برای بررسی آن رفته بود خواهم برد و نسل او مالک آن خواهد شد. 25حال كه قوم اسرائيل تا اين حد از عماليقی‌ها و كنعانی‌های ساكن دره‌ها می‌ترسند پس بهتر است فردا از سمت دريای سرخ به بيابان مراجعت كنيد.»

26سپس خداوند به موسی و هارون گفت: 27«اين قوم بدكار و شرور تا به كی از من شكايت می‌كنند؟ تا به كی بايد به غرغر آنها گوش دهم؟ 28به ايشان بگو كه خداوند به حيات خود قسم می‌خورد كه آنچه را كه از آن می‌ترسيديد به سرتان بياورد. 29همهٔ شما در اين بيابان خواهيد مرد. حتی يک نفر از شما كه بيست سال به بالا دارد و از دست من شكايت كرده است، 30وارد سرزمين موعود نخواهد شد. فقط كاليب پسر يَفُنّه و يوشع پسر نون اجازهٔ ورود به آنجا را دارند.

31«شما گفتيد كه فرزندانتان اسير ساكنان آن سرزمين می‌شوند؛ ولی برعكس، من آنها را به سلامت به آن سرزمين می‌برم و ايشان مالک سرزمينی خواهند شد كه شما آن را رد كرديد. 32اما لاشه‌های شما در اين بيابان خواهد افتاد. 33فرزندانتان به خاطر بی‌ايمانی شما چهل سال در اين بيابان سرگردان خواهند بود تا آخرين نفر شما در بيابان بميرد.

34‏-35«همانطور كه افراد شما مدت چهل روز سرزمين موعود را بررسی كردند، شما نيز مدت چهل سال در بيابان سرگردان خواهيد بود، يعنی يک سال برای هر روز، و به اين ترتيب چوب گناهان خود را خواهيد خورد و خواهيد فهميد كه مخالفت با من چه سزايی دارد. شما ای قوم شرور كه بر ضد من جمع شده‌ايد در اين بيابان خواهيد مرد. من كه خداوند هستم اين را گفته‌ام.»

36‏-38افرادی كه برای بررسی سرزمين كنعان رفته بودند با ايجاد ترس و وحشت در دل مردم آنها را به طغيان عليه خداوند برانگيختند، پس خداوند بلايی فرستاده، آنها را هلاک كرد. از بين اين افراد فقط يوشع و كاليب زنده ماندند.

39وقتی موسی سخنان خداوند را به گوش قوم اسرائيل رسانيد، آنها به تلخی گريستند. 40روز بعد، صبح زود آنها برخاسته، روانهٔ سرزمين موعود شدند. آنها می‌گفتند: «ما می‌دانيم كه گناه كرده‌ايم، ولی حالا آماده‌ايم به سوی سرزمينی برويم كه خداوند به ما وعده داده است.»

41موسی گفت: «اما شما با اين كارتان از فرمان خداوند در مورد بازگشت به بيابان سرپيچی می‌كنيد، پس بدانيد كه موفق نخواهيد شد. 42نرويد، زيرا دشمنانتان شما را شكست خواهند داد، چون خداوند با شما نيست. 43شما با عماليقی‌ها و كنعانی‌ها روبرو شده، در جنگ كشته خواهيد شد. خداوند با شما نخواهد بود، زيرا شما از پيروی او برگشته‌ايد.»

44ولی آنها به سخنان موسی توجهی نكردند و با اينكه صندوق عهد خداوند و موسی از اردوگاه حركت نكرده بودند، آنها خودسرانه روانهٔ سرزمين موعود شدند. 45آنگاه عماليقی‌ها و كنعانی‌های ساكن كوهستان، پايين آمدند و به قوم اسرائيل حمله كرده، آنان را شكست دادند و تا حرما تعقيب نمودند.