Hesabu 1 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 1:1-54

Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza

11:1 Kut 27:21; 40:2; 19:1; 6:14; 40:17; Hes 10:12Bwana alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia, 21:2 Kut 30:11-16; Hes 3:40; 26:2; 1Nya 21:2; 2Sam 24:2“Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja. 31:3 Kut 4:14; 30:14; Hes 17:3; 26:2; Yos 5:4; 1Nya 5:18Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi. 41:4 Law 24:11; Hes 7:2; 30:1; 31:26; 34:18; Kut 18:21; Kum 1:15; Yos 22:14Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia. 51:5 Hes 2:10; 7:30; 10:18; 17:2; Mwa 29:32; Ufu 7:4-5Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia:

“kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

61:6 Hes 25:14; 2:12; 7:36; 10:19kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

71:7 Mwa 29:35; Za 78:68; Kut 6:23; Hes 7:12; Rut 4:20; 1Nya 2:10; Lk 3:32kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

81:8 Mwa 30:18; Hes 10:15; 2:5; 7:18kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

91:9 Hes 10:16; 2:7; 7:24kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

101:10 Hes 2:18, 20; 7:48-53; 10:22-23kutoka wana wa Yosefu:

kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi;

kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

111:11 Hes 10:24; 2:22; 7:60; Za 68:27kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

121:12 Hes 2:25; 7:66; 10:25kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

131:13 Hes 10:26; 2:27; 7:72kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

141:14 Hes 10:20; 2:14; 7:42kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

151:15 Hes 10:27; 2:29; 7:78kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

161:16 Kut 18:25; Hes 32:28; Mwa 6:4; 1Nya 5:24; Amu 6:15Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.

17Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao, 181:18 Ezr 2:59; Ebr 7:3; Kut 30:14wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, 191:19 Kut 30:12; Hes 26:63; 31:49kama Bwana alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

201:20 Mwa 10:15; 29:32; 46:9; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 211:21 Hes 26:7Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

221:22 Mwa 29:33; Ufu 7:7; 2Sam 22:35; Za 60:12; Efe 6:12Kutoka wazao wa Simeoni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 231:23 Hes 26:14Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

241:24 Mwa 30:11; Yos 13:24-28; Ufu 7:5Kutoka wazao wa Gadi:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 251:25 Mwa 46:16; Hes 26:18; 1Nya 5:11Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.

261:26 Mt 1:2; Mwa 29:35; Ufu 7:5; Mwa 49:8-10; Za 78:68; Ebr 7:14Kutoka wazao wa Yuda:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 271:27 Hes 26:22Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.

281:28 Mwa 30:18; Ufu 7:7Kutoka wazao wa Isakari:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 291:29 Mwa 30:18; Hes 26:25Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.

301:30 Mwa 30:20; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Zabuloni:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 311:31 Hes 26:27Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

321:32 Mwa 49:26; 41:52; Hes 26:35-37; Za 60:7; Yer 7:15Kutoka wana wa Yosefu:

Kutoka wazao wa Efraimu:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 331:33 Hes 26:37; 1Nya 7:20Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.

341:34 Mwa 41:51; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Manase:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 35Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.

361:36 Mwa 35:18; 2Nya 17:17; Yer 32:44; Oba 1:19; Ufu 7:8Kutoka wazao wa Benyamini:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 371:37 Hes 26:41Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

381:38 Mwa 30:6; Kum 33:22Kutoka wazao wa Dani:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 391:39 Hes 26:43Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.

401:40 Mwa 30:13; Hes 26:44; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Asheri:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 411:41 Hes 26:47Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

421:42 Mwa 30:8; Ufu 7:6Kutoka wazao wa Naftali:

Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao. 431:43 Hes 26:50; Kut 1:1-4Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

441:44 Hes 26:64Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake. 451:45 Hes 14:29; 2:32Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao. 461:46 Kut 12:37; 2Sam 24:9; Mwa 13:16; Kut 38:26; Hes 26:51; 1Fal 4:20Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.

471:47 Hes 3:17-20; 26:57; 4:3, 49; 1Nya 21:6Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine. 48Bwana alikuwa amemwambia Mose: 491:49 Hes 26:62“Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine. 501:50 Kut 31:18; 15:9; 16:34; Mdo 7:44; Hes 4:15-33Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka. 511:51 Kut 21:12; 26:1; Hes 4:5, 15; 3:38Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa. 521:52 Hes 10:14; Za 20:4-5; Wim 2:4; 6:4Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake. 531:53 Hes 2:10; 3:23-38; 16:46; 18:2-5; Law 10:6; Kum 9:22; Kut 38:21; 1Nya 23:32; 2Nya 13:10Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”

54Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama Bwana alivyomwamuru Mose.

New International Version

Numbers 1:1-54

The Census

1The Lord spoke to Moses in the tent of meeting in the Desert of Sinai on the first day of the second month of the second year after the Israelites came out of Egypt. He said: 2“Take a census of the whole Israelite community by their clans and families, listing every man by name, one by one. 3You and Aaron are to count according to their divisions all the men in Israel who are twenty years old or more and able to serve in the army. 4One man from each tribe, each of them the head of his family, is to help you. 5These are the names of the men who are to assist you:

from Reuben, Elizur son of Shedeur;

6from Simeon, Shelumiel son of Zurishaddai;

7from Judah, Nahshon son of Amminadab;

8from Issachar, Nethanel son of Zuar;

9from Zebulun, Eliab son of Helon;

10from the sons of Joseph:

from Ephraim, Elishama son of Ammihud;

from Manasseh, Gamaliel son of Pedahzur;

11from Benjamin, Abidan son of Gideoni;

12from Dan, Ahiezer son of Ammishaddai;

13from Asher, Pagiel son of Okran;

14from Gad, Eliasaph son of Deuel;

15from Naphtali, Ahira son of Enan.”

16These were the men appointed from the community, the leaders of their ancestral tribes. They were the heads of the clans of Israel.

17Moses and Aaron took these men whose names had been specified, 18and they called the whole community together on the first day of the second month. The people registered their ancestry by their clans and families, and the men twenty years old or more were listed by name, one by one, 19as the Lord commanded Moses. And so he counted them in the Desert of Sinai:

20From the descendants of Reuben the firstborn son of Israel:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, one by one, according to the records of their clans and families. 21The number from the tribe of Reuben was 46,500.

22From the descendants of Simeon:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were counted and listed by name, one by one, according to the records of their clans and families. 23The number from the tribe of Simeon was 59,300.

24From the descendants of Gad:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 25The number from the tribe of Gad was 45,650.

26From the descendants of Judah:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 27The number from the tribe of Judah was 74,600.

28From the descendants of Issachar:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 29The number from the tribe of Issachar was 54,400.

30From the descendants of Zebulun:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 31The number from the tribe of Zebulun was 57,400.

32From the sons of Joseph:

From the descendants of Ephraim:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 33The number from the tribe of Ephraim was 40,500.

34From the descendants of Manasseh:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 35The number from the tribe of Manasseh was 32,200.

36From the descendants of Benjamin:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 37The number from the tribe of Benjamin was 35,400.

38From the descendants of Dan:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 39The number from the tribe of Dan was 62,700.

40From the descendants of Asher:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 41The number from the tribe of Asher was 41,500.

42From the descendants of Naphtali:

All the men twenty years old or more who were able to serve in the army were listed by name, according to the records of their clans and families. 43The number from the tribe of Naphtali was 53,400.

44These were the men counted by Moses and Aaron and the twelve leaders of Israel, each one representing his family. 45All the Israelites twenty years old or more who were able to serve in Israel’s army were counted according to their families. 46The total number was 603,550.

47The ancestral tribe of the Levites, however, was not counted along with the others. 48The Lord had said to Moses: 49“You must not count the tribe of Levi or include them in the census of the other Israelites. 50Instead, appoint the Levites to be in charge of the tabernacle of the covenant law—over all its furnishings and everything belonging to it. They are to carry the tabernacle and all its furnishings; they are to take care of it and encamp around it. 51Whenever the tabernacle is to move, the Levites are to take it down, and whenever the tabernacle is to be set up, the Levites shall do it. Anyone else who approaches it is to be put to death. 52The Israelites are to set up their tents by divisions, each of them in their own camp under their standard. 53The Levites, however, are to set up their tents around the tabernacle of the covenant law so that my wrath will not fall on the Israelite community. The Levites are to be responsible for the care of the tabernacle of the covenant law.”

54The Israelites did all this just as the Lord commanded Moses.