11:1 Nah 1:1Neno alilopokea nabii Habakuki.
Lalamiko La Habakuki
21:2 Za 13:1-2; 22:1-2; 6:3; 27:7; Yer 14:9Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada,
lakini wewe husikilizi?
Au kukulilia, “Udhalimu!”
Lakini hutaki kuokoa?
31:3 Ay 9:23; Yer 20:8; Za 55:9Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma?
Kwa nini unavumilia makosa?
Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu;
kuna mabishano na mapambano kwa wingi.
41:4 Ay 12:6; Za 12:8; 58:2Kwa hiyo sheria imepotoshwa,
nayo haki haipo kabisa.
Waovu wanawazunguka wenye haki,
kwa hiyo haki imepotoshwa.
Jibu La Bwana
5“Yatazame mataifa,
uangalie na ushangae kabisa.
Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu
ambacho hungeamini,
hata kama ungeambiwa.
6Nitawainua Wakaldayo,
watu hao wakatili na wenye haraka,
ambao hupita dunia yote
kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.
7Ni watu wanoogopwa na wanaotisha;
wenyewe ndio sheria yao,
na huinua heshima yao wenyewe.
8Farasi wao ni wepesi kuliko chui,
na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo.
Askari wapanda farasi wao huenda mbio;
waendesha farasi wao wanatoka mbali.
Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;
91:9 Hab 2:5wote wanakuja tayari kwa fujo.
Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele
kama upepo wa jangwani,
na kukusanya wafungwa
kama mchanga.
101:10 2Nya 36:6; Yer 33:4Wanawabeza wafalme,
na kuwadhihaki watawala.
Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma;
wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.
111:11 Yer 4:11-12; Dan 4:30Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele:
watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”
Lalamiko La Pili La Habakuki
121:12 Mwa 21:33; Isa 31:1; 37:23; Kut 33:22; Isa 10:6; Mwa 49:24; Za 118:17Ee Bwana, je, wewe sio wa tangu milele?
Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa.
Ee Bwana, umewachagua wao ili watekeleze hukumu;
Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.
131:13 Za 18:26; Mao 3:34-36; Za 25:3; Ay 21:7Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu,
wala huwezi kuvumilia makosa.
Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu?
Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu
wanawameza wale wenye haki
kuliko wao wenyewe?
14Umewafanya watu kama samaki baharini,
kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.
151:15 Yer 5:26; Isa 19:8; Ay 18:8; Yer 16:16Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana,
anawakamata katika wavu wake,
anawakusanya katika juya lake;
kwa hiyo anashangilia na anafurahi.
161:16 Yer 44:8Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake,
na kuchoma uvumba kwa juya lake,
kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe,
na anafurahia chakula kizuri.
171:17 Isa 14:6; 19:8Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake,
akiangamiza mataifa bila huruma?
1اين است پيغامی كه خداوند در رؤيا به حبقوق نبی نشان داد.
شكايت حبقوق
2ای خداوند، تا به كی از تو كمک بطلبم تا مرا اجابت فرمايی؟ هر چه فرياد برمیآورم بیفايده است، زيرا تو ما را از ظلم نجات نمیدهی. 3تا به كی بايد ناظر اين بیعدالتیای كه اطراف مرا گرفته است باشم؟ چرا كاری نمیكنی؟ به هر جا كه نگاه میكنم خرابی و ظلم میبينم، همه جا را جنگ و دشمنی فرا گرفته است. 4قانون سست شده و عدالت هرگز بجا آورده نمیشود. شروران، درستكاران را در تنگنا گذاشتهاند و عدالت مفهوم خود را از دست داده است.
پاسخ خداوند به قوم يهود
5«به قومهای اطراف خود نگاه كنيد و تعجب نماييد! شما از آنچه میخواهم انجام دهم حيران خواهيد شد! زيرا در روزگار شما كاری میكنم كه حتی وقتی خبرش را به شما دهند، باور نكنيد! 6من بابلیهای ظالم و ستمگر را به قدرت میرسانم و آنها به سراسر جهان تاخته همه جا را به تصرف خود در خواهند آورد. 7آنها به سنگدلی معروفند، هر چه بخواهند میكنند، و كسی را يارای مقاومت در برابر آنها نيست. 8مردمانی هستند درندهخو، درندهتر از گرگهای گرسنه. اسبانشان از پلنگ سريعترند. سواران آنها از سرزمين دور دست میتازند و همچون عقاب بر سر صيد خود فرود میآيند. 9با خشونت به پيش میتازند و مثل ريگ بيابان اسير میگيرند.
10«پادشاهان و بزرگان را تمسخر میكنند و قلعهها را به هيچ میشمارند. در پشت ديوار قلعهها خاک انباشته میكنند و آنها را تصرف مینمايند! 11مثل باد يورش میبرند و میگذرند. ولی گناهشان بزرگ است، زيرا قدرت خود را خدای خود میدانند.»
شكايت دوم حبقوق
12ای خداوند، خدای من! ای قدوس من كه از ازل هستی! تو نخواهی گذاشت كه ما نابود شويم. ای خدايی كه صخرهٔ ما هستی، تو به بابلیها قدرت بخشيدی تا ما را مجازات كنند. 13درست است كه ما گناهكاريم، ولی آنها از ما گناهكارترند. چشمان تو پاكتر از آن است كه بر گناه بنگرد، و تو عادلتر از آن هستی كه بیانصافی را تحمل كنی. پس چرا هنگامی كه شروران مردمی را كه از خودشان بیگناهترند میبلعند، خاموش میمانی؟
14-15چرا مردم را مانند ماهيان و جانوران دريا كه مدافعی ندارند به قلاب بابلیها میاندازی؟ آنها با تور خود مردم را به دام میاندازند و از صيد آنها شادی میكنند. 16سپس رفته، تورهای خود را پرستش مینمايند و برای آنها قربانی میكنند، زيرا خوراک و ثروت خود را مديون اين تورها میدانند.
17آيا تو میگذاری آنها دائم به كشتار خود ادامه دهند و مردم را بیرحمانه نابود كنند؟