Ezra 2 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

Ezra 2:1-70

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25wazao wa Paroshi 2,1724wazao wa Shefatia 37252:5 Neh 6:18wazao wa Ara 7756wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,8127wazao wa Elamu 1,2548wazao wa Zatu 9459wazao wa Zakai 76010wazao wa Bani 64211wazao wa Bebai 62312wazao wa Azgadi 1,222132:13 Ezr 8:13; 7:18wazao wa Adonikamu 66614wazao wa Bigwai 2,05615wazao wa Adini 45416wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9817wazao wa Besai 32318wazao wa Yora 11219wazao wa Hashumu 223202:20 Yos 9:17wazao wa Gibari 95

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19watu wa Bethlehemu 12322watu wa Netofa 5623watu wa Anathothi 12824watu wa Azmawethi 4225wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743262:26 Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15wazao wa Rama na Geba 62127watu wa Mikmashi 122282:28 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 22329wazao wa Nebo 5230wazao wa Magbishi 156312:31 Ezr 2:7wazao wa Elamu ile ingine 1,25432wazao wa Harimu 32033wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34wazao wa Yeriko 34535wazao wa Senaa 3,630

362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20wazao wa Imeri 1,052382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22wazao wa Pashuri 1,247392:39 1Nya 24:8wazao wa Harimu 1,017

402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74

412:41 1Nya 15:16Waimbaji:

wazao wa Asafu 128

422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139

432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

582:58 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652

612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:

Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

New International Version

Ezra 2:1-70

The List of the Exiles Who Returned

1Now these are the people of the province who came up from the captivity of the exiles, whom Nebuchadnezzar king of Babylon had taken captive to Babylon (they returned to Jerusalem and Judah, each to their own town, 2in company with Zerubbabel, Joshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum and Baanah):

The list of the men of the people of Israel:

3the descendants of Parosh2,1724of Shephatiah3725of Arah7756of Pahath-Moab (through the line of Jeshua and Joab)2,8127of Elam1,2548of Zattu9459of Zakkai76010of Bani64211of Bebai62312of Azgad1,22213of Adonikam66614of Bigvai2,05615of Adin45416of Ater (through Hezekiah)9817of Bezai32318of Jorah11219of Hashum22320of Gibbar95

21the men of Bethlehem12322of Netophah5623of Anathoth12824of Azmaveth4225of Kiriath Jearim,2:25 See Septuagint (see also Neh. 7:29); Hebrew Kiriath Arim. Kephirah and Beeroth74326of Ramah and Geba62127of Mikmash12228of Bethel and Ai22329of Nebo5230of Magbish15631of the other Elam1,25432of Harim32033of Lod, Hadid and Ono72534of Jericho34535of Senaah3,630

36The priests:

the descendants of Jedaiah (through the family of Jeshua)97337of Immer1,05238of Pashhur1,24739of Harim1,017

40The Levites:

the descendants of Jeshua and Kadmiel (of the line of Hodaviah)74

41The musicians:

the descendants of Asaph128

42The gatekeepers of the temple:

the descendants ofShallum, Ater, Talmon,Akkub, Hatita and Shobai139

43The temple servants:

the descendants ofZiha, Hasupha, Tabbaoth,44Keros, Siaha, Padon,45Lebanah, Hagabah, Akkub,46Hagab, Shalmai, Hanan,47Giddel, Gahar, Reaiah,48Rezin, Nekoda, Gazzam,49Uzza, Paseah, Besai,50Asnah, Meunim, Nephusim,51Bakbuk, Hakupha, Harhur,52Bazluth, Mehida, Harsha,53Barkos, Sisera, Temah,54Neziah and Hatipha

55The descendants of the servants of Solomon:

the descendants ofSotai, Hassophereth, Peruda,56Jaala, Darkon, Giddel,57Shephatiah, Hattil,Pokereth-Hazzebaim and Ami

58The temple servants and the descendants of the servants of Solomon392

59The following came up from the towns of Tel Melah, Tel Harsha, Kerub, Addon and Immer, but they could not show that their families were descended from Israel:

60The descendants ofDelaiah, Tobiah and Nekoda652

61And from among the priests:

The descendants ofHobaiah, Hakkoz and Barzillai (a man who had married a daughter of Barzillai the Gileadite and was called by that name).

62These searched for their family records, but they could not find them and so were excluded from the priesthood as unclean. 63The governor ordered them not to eat any of the most sacred food until there was a priest ministering with the Urim and Thummim.

64The whole company numbered 42,360, 65besides their 7,337 male and female slaves; and they also had 200 male and female singers. 66They had 736 horses, 245 mules, 67435 camels and 6,720 donkeys.

68When they arrived at the house of the Lord in Jerusalem, some of the heads of the families gave freewill offerings toward the rebuilding of the house of God on its site. 69According to their ability they gave to the treasury for this work 61,000 darics2:69 That is, about 1,100 pounds or about 500 kilograms of gold, 5,000 minas2:69 That is, about 3 tons or about 2.8 metric tons of silver and 100 priestly garments.

70The priests, the Levites, the musicians, the gatekeepers and the temple servants settled in their own towns, along with some of the other people, and the rest of the Israelites settled in their towns.