Ezra 2 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 2:1-70

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25wazao wa Paroshi 2,1724wazao wa Shefatia 37252:5 Neh 6:18wazao wa Ara 7756wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,8127wazao wa Elamu 1,2548wazao wa Zatu 9459wazao wa Zakai 76010wazao wa Bani 64211wazao wa Bebai 62312wazao wa Azgadi 1,222132:13 Ezr 8:13; 7:18wazao wa Adonikamu 66614wazao wa Bigwai 2,05615wazao wa Adini 45416wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9817wazao wa Besai 32318wazao wa Yora 11219wazao wa Hashumu 223202:20 Yos 9:17wazao wa Gibari 95

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19watu wa Bethlehemu 12322watu wa Netofa 5623watu wa Anathothi 12824watu wa Azmawethi 4225wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743262:26 Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15wazao wa Rama na Geba 62127watu wa Mikmashi 122282:28 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 22329wazao wa Nebo 5230wazao wa Magbishi 156312:31 Ezr 2:7wazao wa Elamu ile ingine 1,25432wazao wa Harimu 32033wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34wazao wa Yeriko 34535wazao wa Senaa 3,630

362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20wazao wa Imeri 1,052382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22wazao wa Pashuri 1,247392:39 1Nya 24:8wazao wa Harimu 1,017

402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74

412:41 1Nya 15:16Waimbaji:

wazao wa Asafu 128

422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139

432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

582:58 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652

612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:

Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以斯拉记 2:1-70

回归的流亡者名单

1巴比伦尼布甲尼撒从前把犹大省的人掳到巴比伦,这些人的子孙从流亡之地返回耶路撒冷犹大后,各回本城。 2他们是与所罗巴伯耶书亚尼希米西莱雅利来雅末底改必珊米斯拔比革瓦伊利宏巴拿一同回来的。

以下是返回的以色列人的数目:

3巴录的子孙两千一百七十二人; 4示法提雅的子孙三百七十二人; 5亚拉的子孙七百七十五人; 6巴哈·摩押的子孙,即耶书亚约押的子孙两千八百一十二人; 7以拦的子孙一千二百五十四人; 8萨土的子孙九百四十五人; 9萨改的子孙七百六十人; 10巴尼的子孙六百四十二人; 11比拜的子孙六百二十三人; 12押甲的子孙一千二百二十二人; 13亚多尼干的子孙六百六十六人; 14比革瓦伊的子孙两千零五十六人; 15亚丁的子孙四百五十四人; 16亚特的子孙,即希西迦的子孙九十八人; 17比赛的子孙三百二十三人; 18约拉的子孙一百一十二人; 19哈顺的子孙二百二十三人; 20吉罢珥的子孙九十五人。

21伯利恒人一百二十三名; 22尼陀法人五十六名; 23亚拿突人一百二十八名; 24亚斯玛弗人四十二名; 25基列·耶琳人、基非拉人和比录人七百四十三名; 26拉玛人和迦巴人六百二十一名; 27默玛人一百二十二名; 28伯特利人和人二百二十三名; 29尼波人五十二名; 30末必人一百五十六名; 31另一个以拦的子孙一千二百五十四人; 32哈琳人三百二十名; 33罗德人、哈第人和阿挪人七百二十五名; 34耶利哥人三百四十五名; 35西拿人三千六百三十名。

36祭司有耶大雅的子孙,即耶书亚的子孙九百七十三人; 37音麦的子孙一千零五十二人; 38巴施户珥的子孙一千二百四十七人; 39哈琳的子孙一千零一十七人。

40利未人有何达威雅的子孙,即耶书亚甲篾的子孙七十四人; 41负责歌乐的亚萨的子孙一百二十八人; 42负责守卫殿门的沙龙的子孙、亚特的子孙、达们的子孙、亚谷的子孙、哈底大的子孙和朔拜的子孙一百三十九人。

43殿役有西哈的子孙、哈苏巴的子孙、答巴俄的子孙、 44基绿的子孙、西亚的子孙、巴顿的子孙、 45利巴拿的子孙、哈迦巴的子孙、亚谷的子孙、 46哈甲的子孙、萨买的子孙、哈难的子孙、 47吉德的子孙、迦哈的子孙、利亚雅的子孙、 48利汛的子孙、尼哥大的子孙、迦散的子孙、 49乌撒的子孙、巴西亚的子孙、比赛的子孙、 50押拿的子孙、米乌宁的子孙、尼普心的子孙、 51巴卜的子孙、哈古巴的子孙、哈忽的子孙、 52巴洗律的子孙、米希大的子孙、哈沙的子孙、 53巴柯的子孙、西西拉的子孙、答玛的子孙、 54尼细亚的子孙和哈提法的子孙。

55所罗门仆人的子孙有琐太的子孙、琐斐列的子孙、比路大的子孙、 56雅拉的子孙、达昆的子孙、吉德的子孙、 57示法提雅的子孙、哈替的子孙、玻黑列·哈斯巴音的子孙和亚米的子孙。

58殿役和所罗门仆人的子孙共三百九十二人。

59以下这些人来自特·米拉特·哈萨基绿押但音麦,但不能证明自己是以色列人的后代: 60第来雅的子孙、多比雅的子孙和尼哥大的子孙,共六百五十二人。

61-62祭司中的哈巴雅宗族、哈哥斯宗族和巴西莱宗族,在族谱中都找不到自己的谱系,因此他们算为不洁净,不能做祭司。巴西莱子孙的祖先娶了基列巴西莱的女儿为妻,因此取名叫巴西莱63省长吩咐他们,要等到用乌陵和土明求问上帝的祭司出现后,才可以吃至圣之物。

64回到犹大的人共四万二千三百六十名。 65此外还有他们的七千三百三十七名男女仆婢,二百名男女歌乐手, 66七百三十六匹马,二百四十五匹骡子, 67四百三十五头骆驼和六千七百二十头驴。

68有些族长来到耶路撒冷耶和华的殿时,甘愿为上帝的殿献上礼物,用来在旧址上重新建殿。 69他们尽自己的能力为这工程捐献了五百公斤金子,三吨银子,以及一百件祭司礼服。

70祭司、利未人、一些百姓、歌乐手、殿门守卫和殿役住在自己的城里,其余的以色列人也都住在自己的城里。