Ezekieli 35 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Ezekieli 35:1-15

Unabii Dhidi Ya Edomu

1Neno la Bwana likanijia kusema: 235:2 Mwa 14:6; Kum 2:5; Yer 49:7-8; Amo 1:11“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake 335:3 Yer 6:12; Eze 34:10; 25:12-14; Oba 1:10na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika. 435:4 Yer 49:10; 44:2Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

535:5 Za 137:7; Eze 21:29; Za 63:10; Oba 1:13“ ‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake, 635:6 Isa 63:2-6; 34:3kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia. 735:7 Yer 46:19; 49:17Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda. 835:8 Eze 31:12Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote. 935:9 Isa 34:5-6; Yer 49:13-17; Oba 1:10Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.

1035:10 Za 83:12; Eze 36:2-5“ ‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko, 1135:11 Eze 25:14; Oba 1:15; Mt 7:2; Isa 26:9; Za 9:16kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu. 1235:12 Yer 50:7; Za 9:16Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.” 1335:13 Dan 11:36; Yer 49:16Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia. 1435:14 Yer 51:48Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa. 1535:15 Mit 17:5; Eze 36:5; Oba 1:12; Mao 4:4-21; Yer 50:11-13; Isa 34:5-6; Eze 32:29Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’ ”

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

以西结书 35:1-15

预言以东受惩罚

1耶和华对我说: 2“人子啊,你要面向西珥山,说预言斥责它, 3告诉它,主耶和华这样说,‘西珥山啊,我要与你为敌,伸手攻击你,使你荒凉不堪。 4我要使你的城邑沦为废墟,一片荒凉,这样你就知道我是耶和华。 5因为你永怀仇恨,在以色列人遭遇危难、因罪恶受尽刑罚的时候,把他们交在刀剑之下。 6所以主耶和华说:我凭我的永恒起誓,我必使你遭受杀人流血之事,杀人流血之事必临到你。你既然不憎恨杀人流血之事,杀人流血之事必临到你。 7我要使西珥山荒凉不堪,消灭一切来往此地的人, 8我要使被杀的人遍布你的群山,使丧身刀下的人倒在你的丘陵上、山谷间和各个溪流中。 9我要使你永远荒废,你的城邑必杳无人迹,这样你就知道我是耶和华。

10“‘因为你曾说:犹大以色列这两个邦国必归我,即使耶和华在那里,我们也要吞并他们。 11所以主耶和华说:我凭我的永恒起誓,你憎恨他们,满腹怒气和嫉妒,我也必这样对待你。我审判你的时候,以色列人就会认识我。 12那时,你必知道我耶和华听见了你毁谤以色列山岭的一切话,你说,这些山岭荒废了,归我们吞并了。 13你妄自尊大,肆意毁谤我,我都听见了。 14主耶和华这样说:普天下欢乐的时候,我要使你荒凉。 15你既因以色列家的产业荒凉而幸灾乐祸,我要让你遭受同样的下场。西珥山啊,你和整个以东都要荒凉。这样,你们就知道我是耶和华。’”