Ezekieli 10 – NEN & PCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 10:1-22

Utukufu Unaondoka Hekaluni

110:1 Kut 23:10; Eze 1:22; Ufu 4:2-3; Mwa 3:24Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. 210:2 Eze 1:15; 9:2; Ufu 8:5; 2Sam 22:9Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

3Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani. 410:4 Kut 24:16; Eze 44:4; 1:28Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana. 510:5 Ay 40:9; Eze 1:24; 3:15Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi10:5 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). wakati anapoongea.

610:6 Dan 7:9Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu. 710:7 Eze 5:4Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje. 810:8 Eze 1:8(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

910:9 Kut 28:20; Eze 1:15-21; 24:6Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi. 10Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine. 1110:11 Eze 1:17Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda. 1210:12 Ufu 4:6-8; Eze 1:15-21; 24:6Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne. 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.” 1410:14 1Fal 7:36; Eze 41:19; Dan 9:21; Ufu 4:7Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

1510:15 Isa 6:2; Eze 1:3-5; Za 137:1Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari. 1610:16 Eze 1:19Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao. 1710:17 Eze 1:20-21; 3:13Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

1810:18 Za 78:60; 18:10; Eze 7:20-22; 1Sam 4:21Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. 1910:19 Eze 11:1-22; 43:4Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

2010:20 Eze 1:1-8Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi. 2110:21 Eze 1:6, 8Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu. 2210:22 Eze 1:10, 12Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

Persian Contemporary Bible

حزقيال 10:1-22

1ناگهان ديدم كه بر صفحه‌ای كه بالای سر فرشتگان، يعنی همان موجودات زنده، قرار داشت، چيزی مثل يک تخت سلطنتی به رنگ ياقوت كبود ظاهر شد. 2آنگاه خداوند به مرد كتان‌پوش فرمود: «به ميان چرخهايی كه زير فرشتگان است برو و مشتی از زغال افروخته بردار و آن را بر روی شهر بپاش.»

آن مرد در مقابل ديدگان من اين كار را كرد. 3وقتی او به ميان چرخها رفت، فرشتگان در قسمت جنوبی خانهٔ خدا ايستاده بودند، و ابری حياط درونی را پر كرد. 4سپس حضور پرجلال خداوند از بالای سر فرشتگان برخاست و بر آستانهٔ خانهٔ خدا قرار گرفت و خانهٔ خدا از ابر جلال پر شد و حياط آن از درخشش پرشكوه حضور خداوند مملو گشت. 5صدای بالهای فرشتگان، مانند صدای خدای قادر مطلق بود و تا حياط بيرونی به طور واضح شنيده می‌شد.

6وقتی خداوند به آن مرد كتان‌پوش دستور داد كه به ميان فرشتگان برود و از ميان چرخها يک مشت زغال افروخته بردارد، او رفت و كنار يكی از چرخها ايستاد، 7و يكی از فرشتگان دست خود را دراز كرد و مقداری زغال افروخته از آتشی كه در ميانشان بود، برداشت و در دست مرد كتان‌پوش گذاشت. او هم گرفت و بيرون رفت. 8(هر فرشته، زير بالهای خود، چيزی شبيه به دست انسان داشت.)

9‏-13هر يک از آن چهار فرشته، يک چرخ كنار خود داشت و شنيدم كه به اين چرخها «چرخ در چرخ» می‌گفتند، چون هر چرخ، يک چرخ ديگر در داخل خود داشت. اين چرخها مثل ياقوت سبز می‌درخشيدند و نوری سبز متمايل به زرد از خود منتشر می‌كردند. ساختمان اين چرخها طوری بود كه فرشتگان می‌توانستند به هر جهتی كه بخواهند بروند. وقتی می‌خواستند مسير خود را تغيير بدهند، دور نمی‌زدند بلكه صورتشان به هر سمتی كه متمايل می‌شد، به همان سمت می‌رفتند. هر يک از آن چهار چرخ با پره‌ها و لبه‌هايش پر از چشم بود. 14هر فرشته چهار صورت داشت؛ نخستين صورت، شبيه صورت گاو، دومين، شبيه صورت انسان، سومين، مانند صورت شير و چهارمين، مانند صورت عقاب بود.

15‏-17اين فرشتگان همان موجوداتی بودند كه در كنار رود خابور ديده بودم. هنگامی كه آنها بالهای خود را می‌گشودند و به سوی آسمان بالا می‌رفتند، چرخها نيز همراه آنها برمی‌خاستند و در كنار آنها می‌ماندند، و وقتی فرشتگان می‌ايستادند، چرخها هم می‌ايستادند، چون روح آنها در چرخها نيز قرار داشت.

18پس از آن، درخشش پرشكوه حضور خداوند آستانهٔ خانهٔ خدا را ترک گفت و بالای سر فرشتگان قرار گرفت، 19و در همان حال كه نگاه می‌كردم، فرشتگان بالهای خود را گشودند و به همراه چرخها از زمين برخاستند و بر بالای دروازهٔ شرقی خانهٔ خدا ايستادند، در حالی كه حضور پرجلال خدای اسرائيل بر فراز آنها قرار داشت.

20آنگاه فهميدم كه اينها همان موجوداتی بودند كه زير تخت خدای اسرائيل در كنار رود خابور ديده بودم، 21چون هر يک، چهار صورت و چهار بال داشتند و زير بالهايشان چيزی شبيه به دست انسان وجود داشت. 22صورتهايشان نيز همان صورتهايی بود كه كنار رود خابور ديده بودم، و همچنين هر يک از آنها مستقيم به جلو حركت می‌كردند.