Ezekieli 10 – NEN & APSD-CEB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 10:1-22

Utukufu Unaondoka Hekaluni

110:1 Kut 23:10; Eze 1:22; Ufu 4:2-3; Mwa 3:24Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi. 210:2 Eze 1:15; 9:2; Ufu 8:5; 2Sam 22:9Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

3Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani. 410:4 Kut 24:16; Eze 44:4; 1:28Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana. 510:5 Ay 40:9; Eze 1:24; 3:15Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi10:5 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). wakati anapoongea.

610:6 Dan 7:9Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu. 710:7 Eze 5:4Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje. 810:8 Eze 1:8(Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

910:9 Kut 28:20; Eze 1:15-21; 24:6Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi. 10Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine. 1110:11 Eze 1:17Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda. 1210:12 Ufu 4:6-8; Eze 1:15-21; 24:6Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne. 13Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.” 1410:14 1Fal 7:36; Eze 41:19; Dan 9:21; Ufu 4:7Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

1510:15 Isa 6:2; Eze 1:3-5; Za 137:1Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari. 1610:16 Eze 1:19Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao. 1710:17 Eze 1:20-21; 3:13Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

1810:18 Za 78:60; 18:10; Eze 7:20-22; 1Sam 4:21Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi. 1910:19 Eze 11:1-22; 43:4Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

2010:20 Eze 1:1-8Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi. 2110:21 Eze 1:6, 8Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu. 2210:22 Eze 1:10, 12Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

Ang Pulong Sa Dios

Ezekiel 10:1-22

Mibiya sa Templo ang Gamhanan nga Presensya sa Dios

1Samtang nagatan-aw ako, may nakita akong morag trono nga hinimo sa bato nga safiro ug nahimutang sa atop-atop nga kristal ibabaw sa ulo sa mga cherubim. 2Miingon ang Ginoo sa tawo nga nagsuot ug linen, “Sulod ngadto sa tunga sa mga ligid sa mga cherubim, ug paghakop didto ug mga baga ug isabwag kini ngadto sa siyudad.” Ug nakita ko nga misulod siya.

3Nagtindog ang mga cherubim sa habagatang bahin sa templo sa dihang misulod ang tawo, ug may panganod nga milukop sa sulod nga hawanan sa templo. 4Unya mibiya ang gamhanan nga presensya sa Ginoo gikan sa mga cherubim ug mibalhin ngadto sa pultahan sa templo. Nalukop sa panganod ang templo, ug midan-ag sa hawanan ang kahayag sa gamhanan nga presensya sa Ginoo. 5Ang kasikas sa mga pako sa mga cherubim madungog hangtod sa gawas nga hawanan, sama sa tingog sa Makagagahom nga Dios kon siya mosulti.

6Sa dihang gimandoan sa Ginoo ang tawo nga nagsuot ug linen nga mokuha ug baga sa tunga sa mga ligid ilalom sa mga cherubim, miadto siya ug mitindog tapad sa usa ka ligid. 7Unya ang usa sa mga cherubim mikab-ot sa kalayo nga diha sa ilang taliwala ug mikuha ug baga ug gibutang kini sa kamot sa tawo nga nagsuot ug linen. Gidawat kini sa tawo ug migawas. 8Ilalom sa mga pako sa cherubim may makita nga mura ug kamot sa tawo.

9May nakita usab ako nga upat ka ligid, sa kada kilid sa upat ka cherubim. Nagasidlak kini sama sa mahalong bato nga chrysolite, 10ug managsama kinig hitsura, nga daw sa duha ka ligid nga nagkurus, 11busa makaadto kini ug ang cherubim sa bisan asa nga direksyon nga dili na kinahanglan pang moliso. 12Ang tibuok lawas sa mga cherubim, apil na ang ilang likod, kamot, ug pako, nalukop sa mga mata, ug mao usab ang mga ligid. 13Ug nadungog ko nga gitawag kinig, “nagatuyok nga mga ligid.” 14Ang matag cherubim may upat ka nawong. Ang nahauna dagway sa cherubim, ang ikaduha dagway sa tawo, ang ikatulo dagway sa liyon, ug ang ikaupat dagway sa agila.

15Unya mikawan ang mga cherubim. Mao kini sila ang buhi nga mga binuhat nga akong nakita didto sa Suba sa Kebar. 16Kon asa gani mopaingon ang mga cherubim, adto usab mopaingon ang mga ligid, ug kon molupad sila, uban usab ang mga ligid. 17Kon magpundo sila, magpundo usab ang mga ligid. Ug kon mokawan sila, mokawan usab ang mga ligid. Kay ang espiritu sa buhi nga mga binuhat anaa sa mga ligid. 18Unya ang gamhanan nga presensya sa Ginoo mibiya sa pultahan sa templo ug mibalhin ibabaw sa mga cherubim. 19Ug samtang nagatan-aw ako, milupad ang mga cherubim uban ang mga ligid. Mihunong sila sa sidlakang bahin sa pultahan sa templo sa Ginoo, ug ang gamhanan nga presensya sa Dios sa Israel anaa ibabaw kanila.

20Mao kini ang mga buhi nga binuhat nga akong nakita sa ilalom sa Dios sa Israel didto sa Suba sa Kebar. Ug nasayran ko nga kini diay mga cherubim. 21Ang matag usa kanila may upat ka nawong ug upat ka pako, ug ilalom sa ilang mga pako may morag kamot sa tawo. 22Ang ilang hitsura sama sa panagway niadtong mga buhi nga binuhat nga akong nakita didto sa Suba sa Kebar ug ang matag usa kanila nagalakaw nga diretso.