Ayubu 6 – NEN & HCV

Kiswahili Contemporary Version

Ayubu 6:1-30

Hotuba Ya Pili Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Malalamiko Yangu Ni Ya Haki

1Kisha Ayubu akajibu:

26:2 Ay 31:6; Mit 11:1; Dan 5:27“Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa,

nayo taabu yangu yote ingewekwa kwenye mizani!

36:3 Mit 27:3; Ay 21:4; 16:6; 2Fal 4:29; Ay 6:11, 26; 7:11; 16:6Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote,

kwa hiyo si ajabu maneno yangu yamekuwa ya haraka.

46:4 Kum 32:23; Za 38:2; 88:15-18; Mao 3:12; Ay 16:12-14; Za 7:13; 18:14; 21:12; Mwa 17:1; Ay 7:20; 6:12, 13; Kum 32:32Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu,

roho yangu inakunywa sumu yake;

vitisho vya Mungu vimejipanga dhidi yangu.

56:5 Mwa 16:12; Ay 30:7; 30:24Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani,

au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?

66:6 Ay 33:20; Za 107:18Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi,

au upo utamu katika ute mweupe wa yai?

76:7 Za 31:22Ninakataa kuvigusa;

vyakula vya aina hii hunichukiza.

8“Laiti ningepata haja yangu,

kwamba Mungu angenijalia hilo nililotarajia,

96:9 1Fal 19:4; Za 31:22kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda,

kuuachia mkono wake na kunikatilia mbali!

106:10 Mk 8:38; Za 119:102; Law 19:2; 2Fal 19:22; Ay 2:11; 15:11; Za 94:19; 38:17; Yer 4:19; 45:3; Ay 22:22; 23:12Ndipo bado ningekuwa na hii faraja,

furaha yangu katika maumivu makali:

kwamba sikuwa nimeyakana maneno yake yeye Aliye Mtakatifu.

116:11 Ay 6:3“Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini?

Matazamio yangu ya mbele ni nini, hata niendelee kuwa mvumilivu?

126:12 Ay 26:2Je, mimi nina nguvu za jiwe?

Je, mwili wangu ni shaba?

136:13 Ay 26:2Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe,

wakati ambapo mafanikio yamefukuziwa mbali nami?

146:14 Ay 4:5; 15:4; 1Sam 20:42; Za 38:11; 69:20; 1Yn 3:17; Mwa 17:1“Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake,

hata kama akiacha uchaji wa Mwenyezi.

156:15 Ay 13:4; 16:2; 21:34; Za 22:1; 38:11; Yer 15:18Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa,

ni kama vijito vya msimu,

ni kama vijito ambavyo hufurika

166:16 Za 147:18wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo,

ambavyo hujazwa na theluji inayoyeyuka,

176:17 Ay 24:19lakini hukauka majira ya ukame,

na wakati wa hari hutoweka katika mikondo yake.

18Misafara hugeuka kutoka njia zake;

hukwea kwenda kwenye nchi ya ukiwa na kuangamia.

196:19 Mwa 25:15; Isa 21:14; Mwa 10:7, 28Misafara ya Tema inatafuta maji,

wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri

hutazama kwa matarajio.

206:20 Yer 14:3; Yoe 1:11Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini;

wanafika huko, lakini wanahuzunika kwa kukosa walichotarajia.

216:21 Za 38:11Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote;

mnaona jambo la kutisha, nanyi mnaogopa.

226:22 Mdo 20:33; Hes 35:31; Ay 33:24; Za 49:7; Yer 15:10Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu,

au mnilipie fidia kutoka mali zenu,

236:23 2Fal 19:19au niokoeni mikononi mwa adui,

au nikomboeni kutoka makucha ya wasio na huruma’?

246:24 Mit 17:27; Mhu 5:2; Ay 2:10; 33:33; Za 39:1; 141:3; 39:1; Mit 10:19“Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya;

nionyesheni nilikokosea.

256:25 Mhu 12:11; Isa 22:23Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli!

Lakini mabishano yenu yanathibitisha nini?

266:26 Mwa 41:6; Yer 5:13; Ay 6:3; 8:2; 15:3; 16:3Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema,

na kuyafanya maneno ya mtu anayekata tamaa kama upepo?

276:27 Nah 3:10; 2Pet 2:3; Eze 24:6; Yoe 3:3; Oba 1:11; Kut 22:22, 24; Isa 10:2; Ay 31:17Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima,

na kubadilishana rafiki yenu na mali.

286:28 Ay 9:15; 24:25; 27:4; 34:10; 33:1, 3; 34:6; 36:3, 4“Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi.

Je, ningeweza kusema uongo mbele zenu?

296:29 Za 66:10; Zek 13:9; Ay 19:6; 27:2; 40:8; Isa 40:27; Ay 2:3; 9:21; 10:7Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu;

angalieni tena, kwa maana nimehatarisha uadilifu wangu.6:29 Au: haki yangu bado inasimama.

306:30 Ay 27:4; 33:8-12; Yak 3:13; Ay 12:11Je, pana uovu wowote midomoni mwangu?

Je, kinywa changu hakiwezi kupambanua hila?

Hindi Contemporary Version

अय्योब 6:1-30

मित्रों से अय्योब की निराशा

1यह सुन अय्योब ने यह कहा:

2“कैसा होता यदि मेरी पीड़ा मापी जा सकती,

इसे तराजू में रखा जाता!

3तब तो इसका माप सागर तट की बालू से अधिक होता.

इसलिये मेरे शब्द मूर्खता भरे लगते हैं.

4क्योंकि सर्वशक्तिमान के बाण मुझे बेधे हुए हैं,

उनका विष रिसकर मेरी आत्मा में पहुंच रहा है.

परमेश्वर का आतंक आक्रमण के लिए मेरे विरुद्ध खड़ा है!

5क्या जंगली गधा घास के सामने आकर रेंकता है?

क्या बछड़ा अपना चारा देख रम्भाता है?

6क्या किसी स्वादरहित वस्तु का सेवन नमक के बिना संभव है?

क्या अंडे की सफेदी में कोई भी स्वाद होता है?

7मैं उनका स्पर्श ही नहीं चाहता;

मेरे लिए ये घृणित भोजन-समान हैं.

8“कैसा होता यदि मेरा अनुरोध पूर्ण हो जाता

तथा परमेश्वर मेरी लालसा को पूर्ण कर देते,

9तब ऐसा हो जाता कि परमेश्वर मुझे कुचलने के लिए तत्पर हो जाते,

कि वह हाथ बढ़ाकर मेरा नाश कर देते!

10किंतु तब भी मुझे तो संतोष है,

मैं असह्य दर्द में भी आनंदित होता हूं,

क्योंकि मैंने पवित्र वचनों के आदेशों का विरोध नहीं किया है.

11“क्या है मेरी शक्ति, जो मैं आशा करूं?

क्या है मेरी नियति, जो मैं धैर्य रखूं?

12क्या मेरा बल वह है, जो चट्टानों का होता है?

अथवा क्या मेरी देह की रचना कांस्य से हुई है?

13क्या मेरी सहायता का मूल मेरे अंतर में निहित नहीं,

क्या मेरी विमुक्ति मुझसे दूर हो चुकी?

14“जो अपने दुःखी मित्र पर करुणा नहीं दिखाता,

वह सर्वशक्तिमान परमेश्वर के प्रति श्रद्धा छोड़ देता है.

15मेरे भाई तो जलधाराओं समान विश्वासघाती ही प्रमाणित हुए,

वे जलधाराएं, जो विलीन हो जाती हैं,

16जिनमें हिम पिघल कर जल बनता है

और उनका जल छिप जाता है.

17वे जलहीन शांत एवं सूनी हो जाती हैं,

वे ग्रीष्मऋतु में अपने स्थान से विलीन हो जाती हैं.

18वे अपने रास्ते से भटक जाते हैं;

उसके बाद वे मरुभूमि में विलीन हो जाती हैं.

19तेमा के यात्री दल उन्हें खोजते रहे,

शीबा के यात्रियों ने उन पर आशा रखी थी.

20उन पर भरोसा कर उन्हें पछतावा हुआ;

वे वहां पहुंचे और निराश हो गए.

21अब स्थिति यह है, कि तुम इन्हीं जलधाराओं के समान हो चुके हो;

तुम आतंक को देखकर डर जाते हो.

22क्या मैंने कभी यह आग्रह किया है, ‘कुछ तो दे दो मुझे, अथवा,

अपनी संपत्ति में से कुछ देकर मुझे मुक्त करा लो,

23अथवा, शत्रु के बंधन से मुझे मुक्त करा लो,

इस उपद्रव करनेवाले व्यक्ति के अधिकार से मुझे छुड़ा लो?’

24“मुझे शिक्षा दीजिए, मैं चुप रहूंगा;

मेरी त्रुटियां मुझ पर प्रकट कर दीजिए.

25सच्चाई में कहे गए उद्गार कितने सुखदायक होते हैं!

किंतु आपके विवाद से क्या प्रकट होता है?

26क्या तुम्हारा अभिप्राय मेरे कहने की निंदा करना है,

निराश व्यक्ति के उद्गार तो निरर्थक ही होते हैं?

27तुम तो पितृहीनों के लिए चिट्ठी डालोगे

तथा अपने मित्र को ही बेच दोगे.

28“अब कृपा करो और मेरी ओर देखो.

फिर देखना कि क्या मैं तुम्हारे मुख पर झूठ बोल सकूंगा?

29अब कोई अन्याय न होने पाए;

छोड़ दो यह सब, मैं अब भी सत्यनिष्ठ हूं.

30क्या मेरी जीभ अन्यायपूर्ण है?

क्या मुझमें बुराई और अच्छाई का बोध न रहा?