Ayubu 42 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

Ayubu 42:1-17

Sehemu Ya Tano

(Ayubu 42)

Ayubu Anamjibu Bwana

1Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:

242:2 Mwa 18:14; Yer 32:17; Mt 19:26; 2Nya 20:6; Efe 1:11“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote,

wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.

342:3 Ay 34:35; 38:2; Za 40:5Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’

Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi,

mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.

442:4 Ay 38:3; 40:7“Ulisema, ‘Sikiliza sasa, nami nitanena;

nitakuuliza swali, nawe yakupasa kunijibu.’

542:5 Ay 26:14; Rum 10:17; Amu 13:22; Mt 5:8Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako,

lakini sasa macho yangu yamekuona.

642:6 Eze 6:9; Rum 12:3; Kut 10:3; Ezr 9:6Kwa hiyo najidharau mwenyewe,

na kutubu katika mavumbi na majivu.”

Mwisho: Marafiki Wa Ayubu Wanafedheheshwa

742:7 Yos 1:7; Ay 32:3, 8; 9:15Baada ya Bwana kusema mambo haya yote na Ayubu, akamwambia Elifazi Mtemani, “Nina hasira juu yako na juu ya rafiki zako wawili, kwa sababu hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu. 842:8 Hes 23:29; Eze 45:23; Mwa 20:17; Yak 5:15-17; Ay 22:30Basi sasa chukueni mafahali saba na kondoo dume saba mkamwendee mtumishi wangu Ayubu nanyi mkatoe sadaka za kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe. Mtumishi wangu Ayubu ataomba kwa ajili yenu, nami nitayakubali maombi yake ili nisiwatendee sawasawa na upumbavu wenu. Ninyi hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.” 942:9 Ay 2:11; Mwa 19:21; 20:17; Eze 14:14Kwa hiyo Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi wakafanya kama Bwana alivyowaambia; naye Bwana akayakubali maombi ya Ayubu.

1042:10 Kum 30:3; Za 14:7; 126:5-6; Yak 5:11Baada ya Ayubu kuwaombea rafiki zake, Bwana akamwondoa kwenye uteka, akamfanikisha tena naye akampa mara mbili ya vile alivyokuwa navyo hapo mwanzoni. 1142:11 Ay 19:13Ndipo ndugu zake wote waume kwa wake na kila mtu aliyemfahamu mwanzoni, wakaja wakala pamoja naye katika nyumba yake. Wakamfariji na kumtuliza moyo juu ya taabu yote Bwana aliyoileta juu yake, nao kila mmoja akampa kipande cha fedha na pete ya dhahabu.

1242:12 Yak 5:11Bwana akaibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ile ya kwanza. Alikuwa na kondoo elfu kumi na nne, ngamia elfu sita, jozi za mafahali elfu moja, na punda wa kike elfu moja. 13Tena alikuwa na wana saba na binti watatu. 14Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-Hapuki. 15Hapakuwepo mahali popote katika nchi ile yote palipopatikana wanawake wazuri kama binti za Ayubu; naye baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao.

16Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne. 1742:17 Mwa 15:15; 25:8Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyekuwa ameshiba siku.

New Russian Translation

Иов 42:1-17

Раскаяние Иова

1Тогда Иов ответил Господу:

2— Я знаю: Ты можешь всё,

и невозможно противиться Тебе.

3Ты спросил: «Кто этот невежда, омрачающий Мой замысел?»42:3 См. 38:2.

Да, я говорил о том, чего не понимал,

о делах для меня чудесных, которых я не знал.

4Ты сказал: «Внимай Мне, и Я буду говорить;

Я буду спрашивать,

а ты отвечай»42:4 См. 38:3; 40:2..

5Я только слышал о Тебе,

а теперь мои глаза видят Тебя.

6Поэтому я отступаю

и раскаиваюсь в прахе и пепле.

Эпилог

7Сказав это Иову, Господь обратился к Элифазу из Темана:

— Я разгневан на тебя и на двух твоих друзей за то, что вы говорили обо Мне не так верно, как Мой слуга Иов. 8Поэтому возьмите семь молодых быков и семь баранов, пойдите к Моему слуге Иову и принесите за себя жертву всесожжения. Мой слуга Иов помолится о вас, и Я приму Его молитву и не поступлю с вами по вашей глупости. Вы говорили обо Мне не так верно, как Мой слуга Иов. 9Элифаз из Темана, Билдад из Шуаха и Цофар из Наамы сделали, как велел им Господь. И Господь принял молитву Иова.

10После того как Иов помолился за своих друзей, Господь вернул ему благополучие и дал ему вдвое больше того, что было у него прежде. 11Все его братья и сестры и все, кто знал его прежде, пришли и ели с ним у него в доме. Они жалели и утешали его за все испытания, которые послал ему Господь. Каждый из них дал ему по кесите42:11 Кесита. Древняя денежная единица, вес и достоинство которой неизвестны. Довольно большой участок земли можно было купить за 100 кесит (см. Быт. 33:19). серебра и по золотому кольцу.

12Господь благословил последующие дни Иова больше, нежели прежние. У него теперь было четырнадцать тысяч овец, шесть тысяч верблюдов, тысяча пар волов и тысяча ослиц. 13Еще у него было семеро сыновей и три дочери. 14Первую он назвал Иемима42:14 Это имя значит: голубка., вторую Кеция42:14 Это имя значит: цветок корицы., а третью Керен-Гаппух42:14 Это имя значит: сосуд сурьмы.. 15Нигде на земле не было женщин столь прекрасных, как дочери Иова. Их отец дал им наследство наравне с братьями.

16После этого Иов прожил еще сто сорок лет. Он видел своих детей и детей своих детей до четвертого поколения. 17И умер он в старости, насытившись жизнью.