Ayubu 35 – NEN & HOF

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 35:1-16

Elihu Analaumu Mtu Kujiona Kuwa Mwenye Haki

1Ndipo Elihu akasema:

235:2 Ay 33:32; 2:9; 32:2“Je, unadhani hili ni haki?

Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’

335:3 Ay 21:15; 34:9Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata,

na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’

4“Ningependa nikujibu wewe

pamoja na marafiki zako walio pamoja nawe.

535:5 Kum 10:14; Mwa 15:5; Ay 22:12; Za 19:1-4Tazama juu mbinguni ukaone;

yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.

635:6 Ay 7:20; Mit 8:36Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?

Kama dhambi zako zikiwa nyingi,

hilo linamfanyia nini Mungu?

735:7 Rum 11:35; Mit 9:12; 1Kor 4:7; Lk 17:10Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini,

au yeye anapokea nini mkononi kwako?

835:8 Eze 18:24; 18:5-9; Zek 7:9-10Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe,

nayo haki yako inawafaa wanadamu tu.

935:9 Kut 2:23; Ay 5:15; 12:19; Lk 18:3-7“Wanadamu hulia kwa kulemewa na mateso;

huomba msaada kutoka mkono wenye nguvu.

1035:10 Ay 4:17; Isa 51:13; Za 77:6; Mdo 16:25; 1Pet 4:19Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu,

yeye anifanyaye niimbe usiku,

1135:11 Za 94:12; Lk 12:24; Ay 32:8yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia,

na kutufanya wenye hekima kuliko ndege wa angani?’

1235:12 1Sam 8:18; Mit 1:1Yeye hajibu wakati watu waliapo

kwa sababu ya kiburi cha watu waovu.

1335:13 Kum 1:45; 1Sam 8:18; Ay 15:31; Mit 15:8Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili;

Mwenyezi hayazingatii.

1435:14 Ay 9:11; Yer 11:11Si zaidi sana kwamba hatakusikiliza

wewe usemapo humwoni,

tena ya kwamba shauri lako liko mbele zake

na wewe lazima umngojee,

15pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu

wala haangalii uovu hata kidogo?

1635:16 Ay 34:35-37; 1Kor 4:20Hivyo Ayubu hufumbua kinywa chake kwa maneno yasiyo na maana;

anaongea maneno mengi bila maarifa.”

Hoffnung für Alle

Hiob 35:1-16

Dir selbst schadet deine Bosheit!

1Elihu fuhr fort:

2»Du behauptest:

›Gott wird mich für unschuldig erklären!‹

Meinst du im Ernst, das sei richtig?

3Denn du fragst:

›Was nützt es mir, wenn ich nicht sündige,

was habe ich davon?‹

4Darauf kann ich dir die Antwort geben,

dir und deinen Freunden hier:

5Schau zum Himmel empor,

sieh dir die Wolken an –

sie sind unerreichbar für dich!

6Genauso wenig kann deine Sünde Gott erreichen;

selbst wenn du dich offen gegen ihn stellst:

ihn triffst du damit nicht!

7Und umgekehrt:

Bringt ihm dein tadelloses Leben irgendeinen Nutzen?

Empfängt er damit eine Gabe aus deiner Hand?

8Nein, deine Bosheit trifft nur deine Mitmenschen,

und wenn du Gutes tust, hilft es nur ihnen!

9Laut stöhnen die Menschen unter der Last der Gewaltherrschaft,

sie schreien nach Befreiung vom Joch der Tyrannei.

10Doch keiner fragt nach Gott,

nach seinem Schöpfer,

der in der dunkelsten Stunde uns noch Hoffnung gibt35,10 Wörtlich: der Loblieder gibt in der Nacht..

11Keiner wendet sich an Gott, der uns belehrt

und der uns weiser macht als alle Tiere draußen,

klüger als die Vögel in der Luft.

12Wenn Menschen um Hilfe schreien,

weil die Bosheit siegt,

wird Gott sie doch nicht hören.

13Ja, sie rufen vergeblich;

Gott erhört sie nicht, er beachtet sie nicht einmal.

14Und wie viel weniger wird er dich hören,

wenn du sagst, dass du ihn gar nicht siehst!

Warte geduldig, Hiob, dein Fall ist Gott bekannt!

15Du meinst, dass er niemals zornig wird,

dass er Verbrechen nicht bestraft,

weil er von ihnen gar nichts weiß.

16Und deshalb nimmst du den Mund hier so voll!

Aber du machst bloß leere Worte,

du redest viel und zeigst doch nur,

wie unwissend du bist!«