Ayubu Anamaliza Utetezi Wake
129:1 Za 18:28; Ay 13:12Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
229:2 Yer 1:12; 44:27“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita,
zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,
329:3 Ay 11:17; 12:25wakati taa yake iliniangazia kichwani changu,
na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!
429:4 Za 25:14; Mit 3:32Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu,
wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,
529:5 Za 127:3-5; 128:3; Rum 4:1wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami,
nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,
629:6 Ay 20:17; Za 81:16; Mwa 49:20; Kum 32:13wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi,
nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.
729:7 Ay 5:4; 31:21; Yer 20:2; 38:7“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji
na kuketi katika kiwanja,
829:8 1Tim 5:1; Law 19:32vijana waliniona wakakaa kando,
nao wazee walioketi wakasimama;
929:9 Amu 16:19; Mit 30:32wakuu wakaacha kuzungumza
na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;
1029:10 Za 137:6wenye vyeo wakanyamazishwa,
nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.
1129:11 Ay 4:4; Ebr 11:4Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu,
nao walioniona walinisifu,
1229:12 Kum 24:17; Ay 31:17-21; Za 72:12; Mit 21:13kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada,
naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
1329:13 Ay 31:20; 22:9; Kum 10:18Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki,
nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.
1429:14 2Sam 8:15; Rum 13:14; Efe 6:14Niliivaa haki kama vazi langu;
uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.
1529:15 Hes 10:31Nilikuwa macho ya kipofu
na miguu kwa kiwete.
1629:16 Ay 24:4; Mit 29:7Nilikuwa baba kwa mhitaji;
nilimtetea mgeni.
1729:17 Ay 24:9; 4:10, 11; Za 3:7Niliyavunja meno makali ya waovu,
na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.
1829:18 Za 62:2; Mit 3:1-2“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe,
nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.
1929:19 Hes 24:6; Yer 17:8Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji,
nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
2029:20 Za 18:34; Isa 38:12; Mwa 49:24Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu,
upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’
2129:21 Ay 29:21“Watu walinisikiliza kwa tumaini,
wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.
2229:22 Kum 32:2Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi;
maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
23Waliningojea kama manyunyu ya mvua
na kuyapokea maneno yangu
kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.
24Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha;
nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.
2529:25 Ay 31:31; 4:4Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao;
niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake;
nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Dernier discours de Job
Job évoque sa condition passée
1Job prononça un autre discours et dit :
2Qui me fera revivre ╵les saisons d’autrefois,
comme en ces jours passés ╵où Dieu veillait sur moi,
3où il faisait briller ╵sa lampe sur ma tête
et qu’avec sa lumière ╵j’affrontais les ténèbres ?
4Ah ! si j’étais encore ╵aux jours de ma vigueur,
quand ma demeure jouissait ╵de l’intimité avec Dieu,
5et quand le Tout-Puissant ╵était encore à mes côtés,
et mes enfants ╵autour de moi,
6quand je baignais mes pieds ╵dans le lait fermenté
et quand le roc versait ╵pour moi des torrents d’huile29.6 Images classiques de la prospérité : le roc désigne le pressoir d’olives dont la base d’où s’écoulait l’huile était faite en pierre..
7Lorsque je me rendais ╵aux portes de la ville,
quand je dressais mon siège ╵sur la place publique29.7 Le conseil des notables siégeait sur la place publique près des portes de la ville. Ce conseil fonctionnait aussi comme tribunal. Les v. 7-10 illustrent les habitudes de politesse orientale.,
8les jeunes me voyaient ╵et ils se retiraient,
les vieillards se levaient ╵et ils restaient debout29.8 Jusqu’à ce que Job se soit assis.,
9les notables arrêtaient ╵leurs propos
et se mettaient ╵une main sur la bouche.
10Les grands baissaient la voix
et ils tenaient leur langue ╵collée à leur palais.
11Celui qui m’écoutait ╵me déclarait heureux,
celui qui me voyait ╵parlait de moi en bien.
12Car je sauvais le pauvre ╵qui appelait à l’aide
ainsi que l’orphelin ╵privé de tout secours.
13Ceux qui allaient mourir ╵me bénissaient,
et je mettais la joie ╵dans le cœur de la veuve.
14J’endossais la justice : ╵c’était mon vêtement.
Ma robe et mon turban, ╵c’était ma probité.
15J’étais l’œil de l’aveugle
et les pieds du boiteux,
16et j’étais comme un père ╵pour ceux qui étaient pauvres.
J’examinais à fond ╵le cas des inconnus29.16 Autre traduction : les cas que je ne savais pas trancher..
17Je brisais les mâchoires ╵de l’homme inique
et je lui arrachais ╵la proie d’entre les dents.
18Je me disais alors : ╵« Je mourrai dans mon nid,
j’aurai des jours nombreux ╵comme les grains de sable29.18 D’autres comprennent : comme le phœnix, oiseau légendaire qui vivait 500 ans puis brûlait avec son nid pour renaître aussitôt de ses cendres. L’ancienne version grecque a : comme le palmier..
19La source de l’eau vive ╵baignera mes racines,
la rosée passera ╵la nuit sur ma ramure.
20Ma gloire auprès de moi ╵se renouvellera
et, dans ma main, ╵mon arc rajeunira. »
21Alors on m’écoutait29.21 Suite des v. 7-10. ╵attendant mon avis
et l’on faisait silence ╵pour avoir mon conseil.
22Lorsque j’avais parlé, ╵on ne discutait pas.
Ma parole, sur eux, ╵se répandait avec douceur.
23Et ils comptaient sur moi ╵comme on attend la pluie.
Ils ouvraient grand la bouche, ╵comme pour recueillir ╵les ondées du printemps.
24Quand je leur souriais ╵ils n’osaient pas y croire,
on ne pouvait éteindre ╵l’éclat de mon visage29.24 Autre traduction : ils ne négligeaient aucun signe favorable sur mon visage..
25C’est moi qui choisissais ╵la voie qu’ils devaient suivre. ╵Je siégeais à leur tête,
je trônais comme un roi ╵au milieu de ses troupes,
comme un consolateur ╵pour les gens affligés.