Ayubu 29 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 29:1-25

Ayubu Anamaliza Utetezi Wake

129:1 Za 18:28; Ay 13:12Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:

229:2 Yer 1:12; 44:27“Tazama jinsi ninavyoitamani miezi iliyopita,

zile siku ambazo Mungu alikuwa akinilinda,

329:3 Ay 11:17; 12:25wakati taa yake iliniangazia kichwani changu,

na kwa mwanga wake Mungu nikapita katikati ya giza!

429:4 Za 25:14; Mit 3:32Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu,

wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu,

529:5 Za 127:3-5; 128:3; Rum 4:1wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami,

nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,

629:6 Ay 20:17; Za 81:16; Mwa 49:20; Kum 32:13wakati njia yangu ilikuwa imenyweshewa siagi,

nao mwamba ukanimiminia vijito vya mafuta ya zeituni.

729:7 Ay 5:4; 31:21; Yer 20:2; 38:7“Wakati nilipokwenda kwenye lango la mji

na kuketi katika kiwanja,

829:8 1Tim 5:1; Law 19:32vijana waliniona wakakaa kando,

nao wazee walioketi wakasimama;

929:9 Amu 16:19; Mit 30:32wakuu wakaacha kuzungumza

na kuziba vinywa vyao kwa mikono yao;

1029:10 Za 137:6wenye vyeo wakanyamazishwa,

nazo ndimi zao zikagandamana na makaakaa ya vinywa vyao.

1129:11 Ay 4:4; Ebr 11:4Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu,

nao walioniona walinisifu,

1229:12 Kum 24:17; Ay 31:17-21; Za 72:12; Mit 21:13kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada,

naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.

1329:13 Ay 31:20; 22:9; Kum 10:18Mtu aliyekuwa karibu kufa alinibariki,

nami niliufanya moyo wa mjane kuimba.

1429:14 2Sam 8:15; Rum 13:14; Efe 6:14Niliivaa haki kama vazi langu;

uadilifu ulikuwa joho langu na kilemba changu.

1529:15 Hes 10:31Nilikuwa macho ya kipofu

na miguu kwa kiwete.

1629:16 Ay 24:4; Mit 29:7Nilikuwa baba kwa mhitaji;

nilimtetea mgeni.

1729:17 Ay 24:9; 4:10, 11; Za 3:7Niliyavunja meno makali ya waovu,

na kuwapokonya wahanga kwenye meno yao.

1829:18 Za 62:2; Mit 3:1-2“Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe,

nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.

1929:19 Hes 24:6; Yer 17:8Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji,

nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.

2029:20 Za 18:34; Isa 38:12; Mwa 49:24Utukufu wangu utabakia kuwa mpya ndani yangu,

upinde wangu daima utaendelea kuwa mpya mkononi mwangu.’

2129:21 Ay 29:21“Watu walinisikiliza kwa tumaini,

wakingojea ushauri wangu kwa utulivu.

2229:22 Kum 32:2Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi;

maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.

23Waliningojea kama manyunyu ya mvua

na kuyapokea maneno yangu

kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.

24Walipokata tamaa niliwaonyesha uso wa furaha;

nuru ya uso wangu ilikuwa ya thamani kwao.

2529:25 Ay 31:31; 4:4Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao;

niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake;

nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.

La Bible du Semeur

Job 29:1-25

Dernier discours de Job

Job évoque sa condition passée

1Job prononça un autre discours et dit :

2Qui me fera revivre ╵les saisons d’autrefois,

comme en ces jours passés ╵où Dieu veillait sur moi,

3où il faisait briller ╵sa lampe sur ma tête

et qu’avec sa lumière ╵j’affrontais les ténèbres ?

4Ah ! si j’étais encore ╵aux jours de ma vigueur,

quand ma demeure jouissait ╵de l’intimité avec Dieu,

5et quand le Tout-Puissant ╵était encore à mes côtés,

et mes enfants ╵autour de moi,

6quand je baignais mes pieds ╵dans le lait fermenté

et quand le roc versait ╵pour moi des torrents d’huile29.6 Images classiques de la prospérité : le roc désigne le pressoir d’olives dont la base d’où s’écoulait l’huile était faite en pierre..

7Lorsque je me rendais ╵aux portes de la ville,

quand je dressais mon siège ╵sur la place publique29.7 Le conseil des notables siégeait sur la place publique près des portes de la ville. Ce conseil fonctionnait aussi comme tribunal. Les v. 7-10 illustrent les habitudes de politesse orientale.,

8les jeunes me voyaient ╵et ils se retiraient,

les vieillards se levaient ╵et ils restaient debout29.8 Jusqu’à ce que Job se soit assis.,

9les notables arrêtaient ╵leurs propos

et se mettaient ╵une main sur la bouche.

10Les grands baissaient la voix

et ils tenaient leur langue ╵collée à leur palais.

11Celui qui m’écoutait ╵me déclarait heureux,

celui qui me voyait ╵parlait de moi en bien.

12Car je sauvais le pauvre ╵qui appelait à l’aide

ainsi que l’orphelin ╵privé de tout secours.

13Ceux qui allaient mourir ╵me bénissaient,

et je mettais la joie ╵dans le cœur de la veuve.

14J’endossais la justice : ╵c’était mon vêtement.

Ma robe et mon turban, ╵c’était ma probité.

15J’étais l’œil de l’aveugle

et les pieds du boiteux,

16et j’étais comme un père ╵pour ceux qui étaient pauvres.

J’examinais à fond ╵le cas des inconnus29.16 Autre traduction : les cas que je ne savais pas trancher..

17Je brisais les mâchoires ╵de l’homme inique

et je lui arrachais ╵la proie d’entre les dents.

18Je me disais alors : ╵« Je mourrai dans mon nid,

j’aurai des jours nombreux ╵comme les grains de sable29.18 D’autres comprennent : comme le phœnix, oiseau légendaire qui vivait 500 ans puis brûlait avec son nid pour renaître aussitôt de ses cendres. L’ancienne version grecque a : comme le palmier..

19La source de l’eau vive ╵baignera mes racines,

la rosée passera ╵la nuit sur ma ramure.

20Ma gloire auprès de moi ╵se renouvellera

et, dans ma main, ╵mon arc rajeunira. »

21Alors on m’écoutait29.21 Suite des v. 7-10. ╵attendant mon avis

et l’on faisait silence ╵pour avoir mon conseil.

22Lorsque j’avais parlé, ╵on ne discutait pas.

Ma parole, sur eux, ╵se répandait avec douceur.

23Et ils comptaient sur moi ╵comme on attend la pluie.

Ils ouvraient grand la bouche, ╵comme pour recueillir ╵les ondées du printemps.

24Quand je leur souriais ╵ils n’osaient pas y croire,

on ne pouvait éteindre ╵l’éclat de mon visage29.24 Autre traduction : ils ne négligeaient aucun signe favorable sur mon visage..

25C’est moi qui choisissais ╵la voie qu’ils devaient suivre. ╵Je siégeais à leur tête,

je trônais comme un roi ╵au milieu de ses troupes,

comme un consolateur ╵pour les gens affligés.