Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
1Kisha Ayubu akajibu:
226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!
Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?
Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?
Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,
wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;
Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.
726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;
naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,
hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,
akitandaza mawingu juu yake.
1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,
ameweka mpaka wa nuru na giza.
1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,
zinatishika anapozikemea.
1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;
kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.
1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;
kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;
tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!
Ni nani basi awezaye kuelewa
ngurumo za nguvu zake?”
約伯的回答
1約伯回答說:
2「你真是幫了軟弱者的大忙!
救了臂膀無力的人!
3無智慧的人真多虧你的指教!
承蒙你的真知灼見!
4誰幫你說出這些話?
誰的靈在藉著你發言?
5「陰魂和水族在水底顫抖,
6陰間裸露在祂面前,
滅亡之地毫無遮掩。
7祂將北極鋪在空中,
將地懸在虛無中;
8祂將水捲在密雲中,
雲負重卻不裂開。
9祂遮蓋自己的寶座26·9 「寶座」或譯「滿月」。,
把雲彩鋪在上面。
10祂在海面上畫出地平線,
作為光明與黑暗的交界。
11祂的斥責使天柱震動驚駭,
12祂的能力使大海平靜,
祂運用智慧擊碎海怪。
13祂吹的氣使天空晴朗,
祂揮手刺穿逃跑的蛇。
14看啊,這不過是祂作為的一斑,
是我們聽到的點滴微音!
誰能領悟祂的雷霆萬鈞?」