Ayubu 2 – NEN & CARST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 2:1-13

Jaribu La Pili La Ayubu

12:1 Ay 1:6; Mwa 6:2Siku nyingine wana wa Mungu walikuja kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao kujionyesha mbele zake. 22:2 Mwa 3:1Bwana akamuuliza Shetani, “Umetoka wapi?”

Shetani akamjibu Bwana “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”

32:3 Kut 20:20; Ay 6:29; 9:17; 13:18; Yak 1:12; Za 44:17; Ay 13:18; 27:5, 6; 1Pet 1:7; Mt 7:11; Yn 9:2Bwana akamwambia Shetani, “Je, umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Hakuna mtu mwingine duniani aliye kama yeye, mtu asiye na hatia, ni mnyofu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu. Naye bado anadumisha uadilifu wake, ingawa ulinichochea dhidi yake, ili nimwangamize pasipo sababu.”

42:4 Ay 1:10Shetani akamjibu Bwana, “Ngozi kwa ngozi! Mwanadamu atatoa vyote alivyo navyo kwa ajili ya uhai wake. 52:5 Za 102:5; Ay 19:20; Mao 4:8; Za 32:3, 4; Ay 16:8; 1:11Lakini nyoosha mkono wako na kuipiga nyama yake na mifupa yake, naye kwa hakika atakulaani mbele za uso wako.”

62:6 Ay 1:12; 2Kor 12:7Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, yeye yumo mikononi mwako, lakini lazima umwachie uhai wake.”

72:7 Kum 28:35; Ay 7:5; 16:16Basi Shetani akatoka mbele za Bwana naye akampiga Ayubu kwa majipu mabaya tangu nyayo za miguu yake hadi utosi wa kichwa. 82:8 2Sam 13:19; Za 7:5; Mt 11:21; Mwa 18:27; Es 4:3; Ay 16:15; 19:9; 42:6; Isa 5:8; 6:13; Yer 6:26; Mao 3:29; Eze 26:16; Yon 3:5-8Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.

92:9 Ay 1:21; 13:15; 27:5; 33:9; 35:2; 1The 5:8; Kut 20:7; 2Fal 6:33Mke wake akamwambia, “Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!”

102:10 Mhu 2:24; Mao 3:38-41; Yak 5:11; Za 39:1Akamjibu, “Unazungumza kama vile ambavyo mwanamke mpumbavu2:10 Mpumbavu hapa ina maana ya kupungukiwa maadili. yeyote angenena. Je, tupokee mema mikononi mwa Mungu, nasi tusipokee na udhia?”

Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.

Marafiki Watatu Wa Ayubu

112:11 Mwa 25:2; 36:11; 37:35; Yer 49:7; Rum 12:15; Ay 11:1; 20:1; Yn 11:19Basi marafiki watatu wa Ayubu, ndio Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi na Sofari Mnaamathi, waliposikia juu ya taabu yote iliyompata Ayubu, wakajipanga toka manyumbani mwao, nao wakakutana pamoja kwa makubaliano kwenda kumtuliza katika taabu hiyo na kumfariji. 122:12 2Sam 1:2; Neh 9:1; Eze 27:30; Ay 17:7; Isa 52:14; Mwa 37:29; Mk 14:63; Yos 7:6Walipomwona kwa mbali, ilikuwa vigumu kumtambua. Wakaanza kulia kwa sauti kubwa, wakayararua majoho yao na kujirushia mavumbi juu ya vichwa vyao. 132:13 Mwa 50:10-12; Eze 3:15; Isa 3:26; 47:1; Eze 26:16; Yn 3:6; Hag 2:22; Mit 17:28; Isa 23:2; 47:5Kisha wakaketi chini kwenye udongo pamoja na Ayubu kwa siku saba usiku na mchana. Hakuna yeyote aliyesema naye neno, kwa sababu waliona jinsi mateso yake yalivyokuwa makubwa.

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Аюб 2:1-13

Второе испытание Аюба

1Снова ангелы пришли, чтобы предстать перед Вечным, и сатана пришёл с ними, чтобы предстать перед Ним. 2И Вечный сказал сатане:

– Откуда ты пришёл?

Сатана ответил Вечному:

– Я скитался по земле и обошёл её всю.

3Вечный сказал сатане:

– Приметил ли ты Моего раба Аюба? Нет на земле такого человека, как он: непорочного и праведного, кто живёт в страхе перед Всевышним и сторонится зла. Он по-прежнему твёрд в своей непорочности, а ты настраивал Меня против него, чтобы погубить его без вины.

4– Кожа за кожу!2:4 Вероятно, это выражение было поговоркой из области меновой торговли. По сути, сатана здесь говорит о том, что потери Аюба ещё приемлемы, пока с ним самим всё в порядке. – отвечал сатана. – За свою жизнь человек отдаст всё, что имеет. 5Но протяни руку и порази его кости и плоть, и он проклянёт Тебя прямо в лицо.

6Вечный сказал сатане:

– Хорошо. Он в твоих руках, только сохрани ему жизнь.

7Сатана ушёл от Вечного и поразил Аюба болезненными язвами с головы до пят. 8Тогда Аюб взял глиняный черепок, чтобы скоблить свою кожу, и сел среди пепла.

9Жена сказала ему:

– Ты всё ещё держишься за свою непорочность? Прокляни Всевышнего и умри!

10Он ответил ей:

– Ты говоришь как безумная. Разве мы должны принимать от Всевышнего только хорошее и не принимать плохого?

И на этот раз Аюб не согрешил ни словом.

Трое друзей Аюба

11Когда трое друзей Аюба, Елифаз из Темана, Билдад из Шуаха и Цофар из Наамы, услышали о бедах, которые его постигли, они отправились в путь, покинув свои дома, и встретились, чтобы идти плакать с ним и утешать его. 12Увидев издали, они его едва узнали. Они начали рыдать, разорвали на себе одежду и посыпали головы пеплом. 13Они сидели рядом с ним на земле семь дней и семь ночей. Никто из них не сказал ему ни слова, потому что они видели, как сильно он страдает.