117:1 Za 88:3-4; Mhu 12:1-7Moyo wangu umevunjika,
siku zangu zimefupishwa,
kaburi linaningojea.
217:2 1Sam 1:6-7; Ay 11:3Hakika wenye mizaha wamenizunguka;
macho yangu yamebaki kutazama uadui wao.
Ayubu Anaomba Msaada
317:3 Za 35:27; 40:17; Mit 6:1; Isa 38:14“Ee Mungu, nipe dhamana unayodai.
Ni nani mwingine atakayeweka dhamana kwa ajili yangu?
417:4 Ay 12:12Umezifunga akili zao zisipate ufahamu,
kwa hiyo hutawaacha wapate ushindi.
517:5 Kut 22:15; Ay 11:20Kama mtu akiwashutumu rafiki zake ili apate ujira,
macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
617:6 1Fal 9:7; Yer 15:4“Mungu amenifanya kitu cha dhihaka kwa kila mtu,
mtu ambaye watu humtemea mate usoni.
717:7 Ay 16:8; 2:12; 16:16Macho yangu yamefifia kwa ajili ya majonzi;
umbile langu lote ni kama kivuli.
817:8 Kut 4:14; Ay 22:19Watu wanyofu wanatishwa na hili;
watu wasio na hatia wanasimama dhidi ya wasiomcha Mungu.
917:9 Mit 4:18; 2Sam 22:21; Ay 22:30Hata hivyo, waadilifu watazishika njia zao,
nao wale wenye mikono safi wataendelea kupata nguvu.
1017:10 Ay 12:3“Lakini ninyi njooni, ninyi nyote, jaribuni tena!
Sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu.
1117:11 Ay 17:15; Isa 38:10; Ay 7:6Siku zangu zimepita, mipango yangu imevunjika,
vivyo hivyo shauku za moyo wangu.
1217:12 Isa 50:11; Ay 5:17-26; 11:17Watu hawa hufanya usiku kuwa mchana,
kwenye giza wao husema, ‘Mwanga u karibu.’
1317:13 2Sam 14:14; Ay 3:13; Za 139:8; 88:18Kama nyumba pekee ninayoitarajia ni kaburi,17:13 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
kama nikikitandika kitanda changu gizani,
1417:14 Ay 13:28; 30:28, 30; 4:19; 7:5; Za 16:10; 49:9; 17:15; Ay 7:6; Za 31:23; Mao 3:18; Eze 37:11kama nikiuambia uharibifu, ‘Wewe u baba yangu,’
na kuliambia buu, ‘Wewe u mama yangu’ au ‘Dada yangu,’
15liko wapi basi tarajio langu?
Ni nani awezaye kuona tarajio lolote kwa ajili yangu?
1617:16 Mwa 2:7; Yon 2:6; Ay 3:17Je, litashuka chini hadi kwenye malango ya mauti?17:16 Malango ya mauti hapa ina maana ya Kuzimu.
Je, tutashuka pamoja mavumbini?”
1“我的心灵破碎,我的年日将尽,
坟墓等候着我。
2无疑,嘲笑的人围着我,
我眼睁睁地看着他们挑衅。
3上帝啊,求你为我作保。
除你以外,谁肯做我的保人?
4你蒙蔽了他们的心智,
因此你必不让他们得胜。
5人为了分产业而控告朋友,
其子孙的眼睛要失明。
6上帝使我成了人们的笑柄,
他们在我脸上吐唾沫。
7哀伤使我眼目昏花,
我整个人骨瘦如柴。
8这使正直的人震惊,
使无辜的人起来讨伐不敬虔的人。
9义人坚守自己的道,
手洁的人更有力量。
10来吧,你们众人再来,
我在你们中间不会找到一个智者。
11我的年日已尽,
我的计划破灭,
我的心愿落空。
12他们以黑夜为白昼,
说光明与黑暗相似。
13我若期望阴间作我的家园,
在黑暗之地铺设我的床榻,
14称坟墓为父亲,
称蛆虫为母亲、姊妹,
15那么,我的希望在哪里?
谁能看到我的希望?
16我的希望会跟我下到阴间,
与我同归尘土吗?”