Elifazi Anaongea: Ayubu Anadhoofisha Imani
115:1 Ay 4:1Kisha Elifazi Mtemani akajibu:
215:2 Mwa 41:6; Ay 6:26“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu,
au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?
315:3 Neh 4:2-3; Ay 6:26Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa,
kwa hotuba zisizo na maana?
415:4 Ay 25:6Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu
na kuzuia ibada mbele za Mungu.
515:5 Ay 11:6; 22:5; 5:13; Mt 16:23Dhambi yako inasukuma kinywa chako,
nawe umechagua ulimi wa hila.
615:6 Za 10:2; Mt 12:37; Lk 19:22; Ay 7:15; 18:7Kinywa chako mwenyewe kinakuhukumu, wala si changu;
midomo yako mwenyewe inashuhudia dhidi yako.
715:7 Ay 38:21; 1Sam 2:8; Mit 8:25; Za 90:2“Je, wewe ni mtu wa kwanza kuzaliwa?
Ulizaliwa kabla ya vilima?
815:8 Yer 23:18; 1Kor 2:11Je, wewe husikiliza mashauri ya siri ya Mungu?
Je, wewe unaizuia hekima iwe yako mwenyewe?
915:9 Ay 12:3Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi?
Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?
1015:10 Ay 12:12; 32:6-7; 8:8-10Wale wenye mvi na wazee wako upande wetu,
watu ambao ni wazee hata kuliko baba yako.
1115:11 Mwa 37:35; 2Kor 1:3-4; Kum 8:3; Yer 15:16Je, faraja za Mungu hazikutoshi,
au maneno yaliyosemwa kwako kwa upole si kitu?
1215:12 Ay 11:13; 36:13Kwa nini moyo wako unakudanganya,
na kwa nini macho yako yanangʼaa,
1315:13 Mit 29:11; Dan 11:30; Za 94:4; Ay 11:8; 22:5; 30:2ili kwamba upate kutoa hasira yako dhidi ya Mungu,
na kumwaga maneno kama hayo kutoka kinywani mwako?
1415:14 Ay 14:1; 4:17; 2Nya 6:36; Mhu 7:18, 20“Mwanadamu ni kitu gani, hata aweze kuwa safi,
au yeye aliyezaliwa na mwanamke, hata aweze kuwa mwadilifu?
1515:15 Ay 5:1; 4:18Kama Mungu hawaamini watakatifu wake,
kama hata mbingu zenyewe si safi machoni pake,
1615:16 Law 5:2; Ay 12:4; 20:12; Mit 19:28; Za 14:1sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu,
ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
1715:17 Ay 4:8“Nisikilize mimi nami nitakueleza,
acha nikuambie yale niliyoyaona,
1815:18 Kum 32:7; Ay 8:8; Mwa 18:19ambayo watu wenye hekima wameyanena,
bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao
1915:19 Mwa 12:1; Ay 22:8(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi,
hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao):
2015:20 Oba 1:15; Sef 1:17Mtu mwovu siku zake zote hupata mateso,
miaka yote aliwekewa mkorofi.
2115:21 1Sam 3:11; Yer 6:25; Isa 13:3; 1The 5:3Sauti za kutisha hujaa masikioni mwake;
katika kufanikiwa kwake, wanyangʼanyi humshambulia.
2215:22 Hos 9:13; Amo 5:19Hukata tamaa kuokoka gizani;
amewekwa kwa ajili ya upanga.
2315:23 Za 59:15; 109:10; Ay 18:12Hutangatanga, akitafuta chakula;
anajua kwamba siku ya giza iko karibu.
2415:24 Isa 8:22; 9:1; Ay 15:20; 18:14Taabu na maumivu makuu vinamtia hofu;
humshinda kama mfalme aliye tayari kwa vita,
2515:25 Za 2:2-3; Mit 21:30kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake
na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,
2615:26 Yer 44:16kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu
akiwa na ngao nene, iliyo imara.
2715:27 Amu 3:17; Za 17:10“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene
na kiuno chake kimevimba kwa kunenepa,
2815:28 Isa 5:9; Ay 3:14ataishi katika miji ya magofu,
na katika nyumba ambazo haziishi mwanadamu yeyote,
nyumba zinazokuwa vifusi.
2915:29 Ay 3:15; 7:8; Isa 5:8Hatatajirika tena, nao utajiri wake hautadumu,
wala mali zake hazitakuwa nyingi juu ya nchi.
3015:30 Ay 4:9, 15; 16:7; 20:26; Kut 15:10Hatatoka gizani;
mwali wa moto utanyausha machipukizi yake,
nayo pumzi ya kinywa cha Mungu itamwondolea mbali.
3115:31 Yer 7:4-8; Mt 6:19; Za 62:1015:31 Ay 31:5; Mit 1:16; 6:18; Isa 44:20; 59:7; Mik 2:11; Mk 13:5Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili,
kwa kuwa hatapata malipo yoyote.
3215:32 Mhu 7:17; Za 109:8; Mit 10:27; Ay 18:16Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati wake,
nayo matawi yake hayatastawi.
3315:33 Hab 3:17Atafanana na mzabibu uliopukutishwa matunda yake kabla hayajaiva,
kama mzeituni unaodondosha maua yake.
3415:34 Kut 23:8; Ay 8:22; Isa 33:14Kwa kuwa jamii ya wasiomcha Mungu watakuwa tasa,
nao moto utateketeza hema za wale wanaopenda rushwa.
3515:35 Hos 10:13; Gal 6:7; Za 7:14Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu;
matumbo yao huumba udanganyifu.”
以利法再次发言
1提幔人以利法回答说:
2“智者岂会用空谈作答,
满腹东风?
3申辩时岂会讲无用的话,
说无益之言?
4你摒弃对上帝的敬畏,
拒绝向祂祷告。
5你的罪指示你开口,
使你说出诡诈之言。
6并非我定你的罪,
定你罪的是你的口,
指控你的是你的嘴唇。
7你岂是第一个出生的人?
你岂在群山之前被造?
8你岂听过上帝的密旨?
你岂独揽智慧?
9有何事你知而我们不知,
你懂而我们不懂?
10我们这里有白发老人,
比你父亲还年长。
11上帝用温柔的话安慰你,
难道你还嫌不够吗?
12你为何失去理智,
为何双眼冒火,
13以致你向上帝发怒,
口出恶言?
14人算什么,怎能纯洁?
妇人所生的算什么,怎能公义?
15连上帝的圣者都无法令祂信任,
连诸天在祂的眼中都不洁净,
16更何况可憎败坏、
嗜恶如喝水的世人?
17“让我告诉你,你好好听着。
我要把所见的陈明——
18那是智者的教导,
是他们未曾隐瞒的祖训。
19这片土地只赐给了他们,
没有外人在他们中间出入。
20恶人一生受折磨,
残暴之徒终身受苦。
21他耳边响着恐怖的声音,
他安逸时遭强盗袭击。
22他不指望能逃脱黑暗,
他注定要丧身刀下。
23他到处流浪,寻找食物,
他知道黑暗之日快要来临。
24患难和痛苦使他害怕,
像君王上阵一样震慑他。
25因为他挥拳对抗上帝,
藐视全能者,
26拿着坚盾傲慢地挑战祂。
27他满脸肥肉,
腰间堆满脂肪。
28他住的城邑必倾覆,
他的房屋必成为一堆瓦砾,
无人居住。
29他不再富足,
家财不能久留,
地产无法加增。
30他无法逃脱黑暗,
火焰要烧焦他的嫩枝,
上帝口中的气要毁灭他。
31他不可自欺,信靠虚空,
因为虚空必成为他的回报。
32在他离世以前,虚空必临到他,
他的枝子再不会青绿。
33他必像一颗葡萄树,
葡萄未熟已掉落;
又像一颗橄榄树,
花刚开便凋零。
34不信上帝之辈必不生育,
受贿者的帐篷必被火烧。
35他们心怀不轨,生出罪恶,
他们满腹诡诈。”