114:1 Mhu 2:23; Mwa 3:17; Ay 15:14; 10:20; Mt 11:11; Za 51:5“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke
siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.
214:2 Za 103:15; Yak 1:10; 1Pet 1:24; Isa 40:6-8; Mhu 6:12Huchanua kama ua kisha hunyauka;
huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.
314:3 Za 144:3; 8:4; 143:2; Ay 7:18Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo?
Je, utamleta mbele yako katika hukumu?
414:4 Mwa 5:3; Ay 4:17; Za 51:10; Rum 5:12; Efe 2:1-3; Yn 3:6Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi?
Hakuna awezaye!
514:5 Ay 24:1; 21:21; Za 31:15; 139:16; 39:4; 90:12; Mdo 17:26Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka;
umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake
na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.
614:6 Ay 7:19; 7:1, 2; Za 39:13; Isa 16:14; 21:16Hivyo angalia mbali umwache,
hadi awe amekamilisha muda wake
kama mtu aliyeajiriwa.
714:7 Ay 19:10; 24:20; Za 52:5; Isa 11:1; 53:2; 60:21; 6:13“Kwa maana lipo tumaini kwa mti;
kama ukikatwa utachipuka tena,
nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
814:8 Isa 6:13; 11:1; 53:2Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini
na kisiki chake kufa udongoni,
914:9 Ay 29:9; Zek 10:1; Za 1:3; Yer 17:8; Eze 31:7; Law 26:4; Eze 34:27lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua
na kutoa machipukizi kama mche.
1014:10 Ay 14:12; 10:21; 13:19Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake;
hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!
1114:11 2Sam 14:14; Isa 19:5Kama vile maji yatowekavyo katika bahari,
au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
1214:12 Za 102:26; Ufu 21:1; Mdo 3:21; Ay 14:10; Ufu 20:11ndivyo mwanadamu alalavyo chini asiamke;
hadi mbingu zitakapokuwa hazipo tena,
wanadamu hawataamka au kuamshwa
kutoka kwenye usingizi wao.
1314:13 Za 30:5; Isa 54:7; Ay 6:8; 7:9; Isa 26:20; 54:7; Mwa 8:1“Laiti kama ungenificha kaburini,14:13 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
na kunisitiri hadi hasira yako ipite!
Laiti ungeniwekea wakati,
na kisha ukanikumbuka!
1414:14 Ay 7:1; 2Fal 6:33; Za 16:10; 1Kor 15:42-58; Flp 3:21Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena?
Siku zote za kazi zangu ngumu
nitangojea kufanywa upya kwangu.
1514:15 Ay 13:22; Yn 5:28; 1The 4:16; Za 50:4Utaniita nami nitakuitika;
utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.
1614:16 Mit 5:21; Yer 16:17; 32:19; Hos 13:12; 1Kor 13:5Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu,
lakini hutazifuatia dhambi zangu.
1714:17 Kum 32:34; Ay 13:23; 9:30; Yer 32:10Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko,
nawe utazifunika dhambi zangu.
1814:18 Eze 38:20; Ay 18:4“Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika
na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,
1914:19 Eze 13:13; Mwa 7:23; Ay 7:8kama maji yamalizavyo mawe,
na mafuriko yachukuavyo udongo,
ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.
2014:20 Ay 4:20; 7:10; 8:18; 12:19; 27:19; Yak 1:10Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka;
waibadilisha sura yake na kumwondoa.
2114:21 Mhu 9:5; Isa 63:16; 1Sam 4:20Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu;
kama wakidharauliwa, yeye haoni.
2214:22 Za 38:7; Isa 21:3; Yer 4:19; Ay 21:21Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe,
naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
1Човек рођен од жене кратко живи
и пун је невоља.
2Изникне као цвет, па свене;
бежи попут сене и не траје.
3Зар на таквог поглед свој обраћаш
и мене пред себе на суд доводиш!
4Ко ће чистим нечисто да учини?
Нико!
5Његови су дани одређени,
ти познајеш број његових месеци;
међе си му поставио да их не прелази.
6Скрени поглед с њега, па нека одахне,
док као најамник свој дан не одради.
7Јер постоји нада и за дрво посечено;
поново ће да изникне
и неће остати без младица својих.
8Нек му се и корен у земљи спаруши
и пањ му се у земљи сасуши;
9пропупеће чим осети воду,
пустиће изданке као да је засад!
10А човек скончава онемоћао;
издахне смртник, и где је он?
11Из мора исхлапи вода,
а поток пресахне, пресуши;
12тако и човек легне да више не устане;
док небеса не буде било не буде се,
не дижу се људи из сна њиховога.
13О, када би ме у Свет мртвих сакрио,
склонио ме док гнев твој не мине;
када би ми поставио рок
и тад ме се сетио!
14Ал’ кад човек умре, да ли више живи?
Кроз све дане свог кулучења,
ја чекаћу да ми стигне смена.
15Ти ћеш ме позвати и ја ћу се одазвати,
зажелећеш дело руку својих.
16Тада ћеш ми кораке бројати,
на мој грех се нећеш освртати.
17Преступ си мој свезао у врећу,
кривицу си моју избелио.
18Али као што се гора руши, одрања се,
као што се камен са свог места сваља;
19ко што воде раздробе камење
и бујице тло исперу,
и ти тако уништаваш човекову наду.
20Једном засвагда ти га надвладаваш и он одлази,
лице му мењаш и отпушташ га.
21И он не зна да ли су му синови у части,
и не види ако су незнатни.
22Само му је тело у болу своме,
само му душа за собом пати.“