Ayubu 14 – NEN & NSP

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 14:1-22

114:1 Mhu 2:23; Mwa 3:17; Ay 15:14; 10:20; Mt 11:11; Za 51:5“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke

siku zake ni chache nazo zimejaa taabu.

214:2 Za 103:15; Yak 1:10; 1Pet 1:24; Isa 40:6-8; Mhu 6:12Huchanua kama ua kisha hunyauka;

huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.

314:3 Za 144:3; 8:4; 143:2; Ay 7:18Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo?

Je, utamleta mbele yako katika hukumu?

414:4 Mwa 5:3; Ay 4:17; Za 51:10; Rum 5:12; Efe 2:1-3; Yn 3:6Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi?

Hakuna awezaye!

514:5 Ay 24:1; 21:21; Za 31:15; 139:16; 39:4; 90:12; Mdo 17:26Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka;

umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake

na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.

614:6 Ay 7:19; 7:1, 2; Za 39:13; Isa 16:14; 21:16Hivyo angalia mbali umwache,

hadi awe amekamilisha muda wake

kama mtu aliyeajiriwa.

714:7 Ay 19:10; 24:20; Za 52:5; Isa 11:1; 53:2; 60:21; 6:13“Kwa maana lipo tumaini kwa mti;

kama ukikatwa utachipuka tena,

nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

814:8 Isa 6:13; 11:1; 53:2Mizizi yake yaweza kuchakaa ardhini

na kisiki chake kufa udongoni,

914:9 Ay 29:9; Zek 10:1; Za 1:3; Yer 17:8; Eze 31:7; Law 26:4; Eze 34:27lakini kwa kupata dalili ya maji utachipua

na kutoa machipukizi kama mche.

1014:10 Ay 14:12; 10:21; 13:19Lakini mwanadamu hufa, na huo ndio mwisho wake;

hutoa pumzi ya mwisho, naye hayuko tena!

1114:11 2Sam 14:14; Isa 19:5Kama vile maji yatowekavyo katika bahari,

au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,

1214:12 Za 102:26; Ufu 21:1; Mdo 3:21; Ay 14:10; Ufu 20:11ndivyo mwanadamu alalavyo chini asiamke;

hadi mbingu zitakapokuwa hazipo tena,

wanadamu hawataamka au kuamshwa

kutoka kwenye usingizi wao.

1314:13 Za 30:5; Isa 54:7; Ay 6:8; 7:9; Isa 26:20; 54:7; Mwa 8:1“Laiti kama ungenificha kaburini,14:13 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

na kunisitiri hadi hasira yako ipite!

Laiti ungeniwekea wakati,

na kisha ukanikumbuka!

1414:14 Ay 7:1; 2Fal 6:33; Za 16:10; 1Kor 15:42-58; Flp 3:21Je, kama mtu akifa, aweza kuishi tena?

Siku zote za kazi zangu ngumu

nitangojea kufanywa upya kwangu.

1514:15 Ay 13:22; Yn 5:28; 1The 4:16; Za 50:4Utaniita nami nitakuitika;

utakionea shauku kiumbe ambacho mikono yako ilikiumba.

1614:16 Mit 5:21; Yer 16:17; 32:19; Hos 13:12; 1Kor 13:5Hakika ndipo utakapozihesabu hatua zangu,

lakini hutazifuatia dhambi zangu.

1714:17 Kum 32:34; Ay 13:23; 9:30; Yer 32:10Makosa yangu yatafungiwa kwa lakiri kwenye mfuko,

nawe utazifunika dhambi zangu.

1814:18 Eze 38:20; Ay 18:4“Lakini kama mlima umomonyokavyo na kufikichika

na kama vile mwamba uondolewavyo mahali pake,

1914:19 Eze 13:13; Mwa 7:23; Ay 7:8kama maji yamalizavyo mawe,

na mafuriko yachukuavyo udongo,

ndivyo unavyoharibu tegemeo la mwanadamu.

2014:20 Ay 4:20; 7:10; 8:18; 12:19; 27:19; Yak 1:10Humshinda mara moja kwa daima, naye hutoweka;

waibadilisha sura yake na kumwondoa.

2114:21 Mhu 9:5; Isa 63:16; 1Sam 4:20Kama wanawe wakipewa heshima, yeye hafahamu;

kama wakidharauliwa, yeye haoni.

2214:22 Za 38:7; Isa 21:3; Yer 4:19; Ay 21:21Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe,

naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”

New Serbian Translation

Књига о Јову 14:1-22

1Човек рођен од жене кратко живи

и пун је невоља.

2Изникне као цвет, па свене;

бежи попут сене и не траје.

3Зар на таквог поглед свој обраћаш

и мене пред себе на суд доводиш!

4Ко ће чистим нечисто да учини?

Нико!

5Његови су дани одређени,

ти познајеш број његових месеци;

међе си му поставио да их не прелази.

6Скрени поглед с њега, па нека одахне,

док као најамник свој дан не одради.

7Јер постоји нада и за дрво посечено;

поново ће да изникне

и неће остати без младица својих.

8Нек му се и корен у земљи спаруши

и пањ му се у земљи сасуши;

9пропупеће чим осети воду,

пустиће изданке као да је засад!

10А човек скончава онемоћао;

издахне смртник, и где је он?

11Из мора исхлапи вода,

а поток пресахне, пресуши;

12тако и човек легне да више не устане;

док небеса не буде било не буде се,

не дижу се људи из сна њиховога.

13О, када би ме у Свет мртвих сакрио,

склонио ме док гнев твој не мине;

када би ми поставио рок

и тад ме се сетио!

14Ал’ кад човек умре, да ли више живи?

Кроз све дане свог кулучења,

ја чекаћу да ми стигне смена.

15Ти ћеш ме позвати и ја ћу се одазвати,

зажелећеш дело руку својих.

16Тада ћеш ми кораке бројати,

на мој грех се нећеш освртати.

17Преступ си мој свезао у врећу,

кривицу си моју избелио.

18Али као што се гора руши, одрања се,

као што се камен са свог места сваља;

19ко што воде раздробе камење

и бујице тло исперу,

и ти тако уништаваш човекову наду.

20Једном засвагда ти га надвладаваш и он одлази,

лице му мењаш и отпушташ га.

21И он не зна да ли су му синови у части,

и не види ако су незнатни.

22Само му је тело у болу своме,

само му душа за собом пати.“