Hotuba Ya Nne Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Mimi Ni Mtu Wa Kuchekwa
1Ndipo Ayubu akajibu:
212:2 Ay 15:8; 17:10“Bila shaka ninyi ndio watu,
nayo hekima itakoma mtakapokufa!
312:3 Ay 13:2; 15:9Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi;
mimi si duni kwenu.
Ni nani asiyejua mambo haya yote?
412:4 Mwa 6:9; 38:23; Ay 21:3; 15:16; Za 91:15“Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu,
ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu:
mimi ni mtu wa kuchekwa tu,
ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
512:5 Za 123:4; 17:5; 37:31; 38:16; 66:9; 73:2; 94:18; Mit 14:2Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba
kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
612:6 Ay 5:24; 22:18; 9:24Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi,
wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama:
wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
712:7 Ay 35:11; 18:3; Mt 6:26; Rum 1:20“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha,
au ndege wa angani, nao watawaambia;
8au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha,
au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
912:9 Isa 41:20; 1:3; Ay 9:24Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua
kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
1012:10 Hes 16:22; Mdo 17:28; Dan 5:23Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe,
na pumzi ya wanadamu wote.
1112:11 Ay 34:3Je, sikio haliyajaribu maneno
kama vile ulimi uonjavyo chakula?
1212:12 1Fal 4:2; Ay 15:10; 17:4; 32:7, 9; 34:4, 10Je, hekima haipatikani katikati ya wazee?
Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
1312:13 Mit 21:30; Isa 45:9; Yer 32:19; 1Kor 1:24; Dan 1:17“Hekima na nguvu ni vya Mungu;
shauri na ufahamu ni vyake yeye.
1412:14 Ay 16:9; 9:3; Kum 13:16; Eze 26:14; Ufu 3:7; Za 127:1; Isa 24:20; 25:2Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena;
mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
1512:15 1Fal 8:35; Isa 40:12; Kum 28:22; Mwa 7:11, 14Akizuia maji, huwa pana ukame;
akiyaachia maji, huharibu nchi.
1612:16 2Nya 18:22; Rum 2:11; Ay 9:4; 13:7, 9; 27:4Kwake kuna nguvu na ushindi;
adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
1712:17 Ay 12:19; 19:9; Isa 20:4; Ay 3:14; 1Kor 1:20Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara,
naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
1812:18 Za 107:14; 116:16; Nah 1:13; Ay 12:21; 34:18Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme,
na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
1912:19 Dan 2:21, 34; Kum 24:15; Ay 9:24; 14:20; 22:8; 24:12, 22; 12:17; Isa 2:22Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara,
na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
2012:20 Yer 32:9; Kum 4:33-34; Ay 12:12, 24; Dan 4:33-34Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika,
na kuondoa busara ya wazee.
2112:21 Ay 12:18; 3:15; Isa 34:12Huwamwagia dharau wanaoheshimika,
na kuwavua silaha wenye nguvu.
2212:22 1Kor 4:5; Ay 3:5; Za 139:12; Dan 2:22Hufunua mambo ya ndani ya gizani,
na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
2312:23 Isa 13:4; 54:3; Kut 34:24; Mt 10:26Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza;
hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
24Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao;
huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
2512:25 Kum 28:29; Ay 5:14; Za 107:27; Isa 24:20Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga;
huwafanya wapepesuke kama walevi.
Ответ Аюба
1Тогда Аюб ответил:
2– Ну, конечно же, только вы люди,
и мудрость умрёт вместе с вами!
3И у меня есть ум, как у вас;
я ничем не хуже вас,
да и кто же всего этого не знает?
4Я стал для друзей посмешищем,
а ведь я к Аллаху взывал, и Он мне отвечал!
Я, праведный и безупречный,
стал посмешищем!
5Кто, находясь в благополучии, презирает несчастного,
тот вскоре и сам поскользнётся.
6Шатры грабителей в безопасности,
и те, кто гневит Аллаха, спокойны,
словно Аллах у них в руках.
7Но спроси у животных, они научат тебя,
у небесных птиц, они тебе скажут.
8Побеседуй с землёй, она наставит тебя,
и рыбы морские тебе возвестят.
9Кто среди них не знает,
что всё это сделала рука Вечного?
10Жизнь всякой твари в Его руке,
как и дыхание всякого человека.
11Разве не ухо различает слова
и не язык распознаёт вкус пищи!
12Разве не у старейших мудрость?
Разве долгая жизнь не приносит разум?
13Да! Но у Аллаха и мудрость, и сила,
у Него и совет, и разум.
14Что Он разрушил, не восстановится,
кого Он заключил, не выйдут на волю.
15Он удержит воды, и будет засуха,
отпустит – они затопят землю.
16У Него всесилие и премудрость,
в Его власти и обманутый, и обманщик.
17Советчиков Он гонит босыми
и глупцами делает судей.
18У царей Он развязывает пояса мантии
и обвязывает им бёдра повязкой раба.
19Священнослужителей Он гонит босыми
и низвергает сильных.
20Он лишает речи искусных советников
и отбирает разум у старцев.
21Он покрывает позором знатных
и лишает оружия могучих.
22Он открывает глубины тьмы
и выводит на свет сокрытое во мраке.
23Он возвышает и губит народы,
умножает их и рассеивает.
24Он лишает рассудка земных владык
и шлёт их в пустыню, где нет пути.
25Бредут они на ощупь в темноте, без света,
и шатаются, словно пьяные.