Ayubu 10 – NEN & CCB

Kiswahili Contemporary Version

Ayubu 10:1-22

Ayubu: Nayachukia Maisha Yangu

110:1 Hes 11:15; 1Sam 1:10; Ay 7:11; 9:18, 21; 1Fal 19:4“Nayachukia sana haya maisha yangu;

kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia,

nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.

210:2 Ay 13:3; 40:1; Isa 3:13; Hos 4:1; 5:1; Mik 6:2; Rum 8:33Nitamwambia Mungu: Usinihukumu,

bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.

310:3 Ay 9:24; 22:18; 31:23; Mwa 1:26; Za 138:8; Isa 60:21; 64:8; Za 8:6; 95:6; 100:3Je, inakupendeza wewe kunionea,

kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako,

huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?

410:4 Mit 5:21; Yer 16:17; 1Sam 16:7; Ay 11:11; 14:16; Za 11:4; 33:15; Mit 15:3; Yer 11:20-23Je, wewe una macho ya kimwili?

Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?

510:5 Za 102:24; 2Pet 3:8; Ay 36:26; Za 39:5; 90:2, 4Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu,

au miaka yako ni kama ile ya mtu,

610:6 Ay 14:16ili kwamba utafute makosa yangu

na kuichunguza dhambi yangu;

710:7 Ay 10:15; 6:29; 11:4; 16:17; Kum 32:39ingawa wajua kuwa mimi sina hatia,

na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?

810:8 Za 119:73; Isa 43:7; Mwa 2:7; 2Sam 14:14; Ay 30:15“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya.

Je, sasa utageuka na kuniangamiza?

910:9 Isa 29:16; 64:8; Mwa 2:7; Ay 7:21; 4:19Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi.

Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?

10Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa,

na kunigandisha kama jibini,

1110:11 Za 139:13, 15ukanivika ngozi na nyama,

na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?

1210:12 Mwa 2:7; 24:12; 45:5; 1Pet 2:25Umenipa uhai na kunitendea wema,

katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.

1310:13 Ay 23:13; Za 115:3“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako,

nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:

1410:14 Kut 34:7; Ay 7:21; 13:27Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona,

wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.

1510:15 Ay 9:13; 10:7; Isa 3:11; Za 25:18; 25:16Kama nina hatia, ole wangu!

Hata kama ningekuwa sina hatia,

siwezi kukiinua kichwa changu,

kwa kuwa nimejawa na aibu,

na kuzama katika mateso yangu.

1610:16 Yer 5:6; Hos 5:14; 1Sam 28:21; Isa 38:16; Za 7:2; 1Sam 17:38; Mao 3:10Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba,

na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.

1710:17 1Fal 21:10; Ay 16:8; Rut 1:21Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu

na kuzidisha hasira yako juu yangu;

nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.

1810:18 Ay 3:8; 3:26; Za 22:9; Mhu 4:2; 7:1“Kwa nini basi ulinitoa tumboni?

Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.

1910:19 Ay 3:3; Yer 15:10Laiti nisingekuwako kamwe,

au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja

kutoka tumboni kwenda kaburini!

2010:20 Mhu 6:12; Ay 7:16-19; 5:7; Za 39:13; Ay 9:25Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha?

Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi

2110:21 2Sam 12:23; Za 88:12; 23:4; Ay 3:13; Mhu 2:9kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena,

katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,

2210:22 Ay 3:5; 1Sam 2:9nchi ya giza kuu sana,

yenye uvuli wa giza na machafuko,

mahali ambapo hata nuru ni giza.”

Chinese Contemporary Bible 2022 (Simplified)

约伯记 10:1-22

1“我厌恶自己的生命,

我要倾诉我的哀怨,

吐露心中的苦水。

2我对上帝说,‘不要定我的罪。

请告诉我,你为何指控我?

3难道你喜悦压迫、鄙视你造的人,

却青睐恶人的计谋?

4难道你的眼是肉眼,

目光如凡人一般?

5难道你的年日像人一样有限,

岁月如世人般短暂?

6以致你探查我的过犯,

追究我的罪愆?

7其实你知道我没有犯罪,

无人能从你手中解救我。

8“‘你亲手造我塑我,

现在却要毁灭我。

9别忘了你用泥土造我10:9 “用泥土造我”或译“把我造的像泥土”。

难道要使我复归尘土?

10你不是将我像奶一样倒出,

使我像奶酪一样凝固吗?10:10 此句描述胚胎在母腹中如何成形。

11你给我穿上皮肉,

用筋骨把我编织。

12你赐我生命给我慈爱,

你的眷顾使我保全性命。

13“‘但你心中藏着计划,

我知道你早有此意,

14我若犯罪,你就鉴察,

不肯赦免我的罪。

15我若有罪,便遭祸患;

即使清白,也不敢抬头,

因为我饱尝羞辱,吃尽苦头。

16我若昂首挺立,

你会像狮子般追捕我,

再次施展大能攻击我。

17你重新派证人指控我,

你对我越来越愤怒,

使军队轮流攻击我。

18你为何让我出母腹?

我不如当时就死去,

不被世人看见,

19好像我从未出生,

一出母腹就被送进坟墓。

20我的年日不是所剩无几吗?

求你放过我,

让我欢乐片刻。

21我很快就一去不返,

进入幽冥黑暗之地。

22那里一片漆黑,幽暗混乱;

那里的光犹如黑暗。’”