Ayubu: Nayachukia Maisha Yangu
110:1 Hes 11:15; 1Sam 1:10; Ay 7:11; 9:18, 21; 1Fal 19:4“Nayachukia sana haya maisha yangu;
kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia,
nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
210:2 Ay 13:3; 40:1; Isa 3:13; Hos 4:1; 5:1; Mik 6:2; Rum 8:33Nitamwambia Mungu: Usinihukumu,
bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
310:3 Ay 9:24; 22:18; 31:23; Mwa 1:26; Za 138:8; Isa 60:21; 64:8; Za 8:6; 95:6; 100:3Je, inakupendeza wewe kunionea,
kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako,
huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
410:4 Mit 5:21; Yer 16:17; 1Sam 16:7; Ay 11:11; 14:16; Za 11:4; 33:15; Mit 15:3; Yer 11:20-23Je, wewe una macho ya kimwili?
Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
510:5 Za 102:24; 2Pet 3:8; Ay 36:26; Za 39:5; 90:2, 4Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu,
au miaka yako ni kama ile ya mtu,
610:6 Ay 14:16ili kwamba utafute makosa yangu
na kuichunguza dhambi yangu;
710:7 Ay 10:15; 6:29; 11:4; 16:17; Kum 32:39ingawa wajua kuwa mimi sina hatia,
na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
810:8 Za 119:73; Isa 43:7; Mwa 2:7; 2Sam 14:14; Ay 30:15“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya.
Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
910:9 Isa 29:16; 64:8; Mwa 2:7; Ay 7:21; 4:19Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi.
Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa,
na kunigandisha kama jibini,
1110:11 Za 139:13, 15ukanivika ngozi na nyama,
na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
1210:12 Mwa 2:7; 24:12; 45:5; 1Pet 2:25Umenipa uhai na kunitendea wema,
katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
1310:13 Ay 23:13; Za 115:3“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako,
nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
1410:14 Kut 34:7; Ay 7:21; 13:27Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona,
wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
1510:15 Ay 9:13; 10:7; Isa 3:11; Za 25:18; 25:16Kama nina hatia, ole wangu!
Hata kama ningekuwa sina hatia,
siwezi kukiinua kichwa changu,
kwa kuwa nimejawa na aibu,
na kuzama katika mateso yangu.
1610:16 Yer 5:6; Hos 5:14; 1Sam 28:21; Isa 38:16; Za 7:2; 1Sam 17:38; Mao 3:10Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba,
na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
1710:17 1Fal 21:10; Ay 16:8; Rut 1:21Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu
na kuzidisha hasira yako juu yangu;
nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
1810:18 Ay 3:8; 3:26; Za 22:9; Mhu 4:2; 7:1“Kwa nini basi ulinitoa tumboni?
Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
1910:19 Ay 3:3; Yer 15:10Laiti nisingekuwako kamwe,
au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja
kutoka tumboni kwenda kaburini!
2010:20 Mhu 6:12; Ay 7:16-19; 5:7; Za 39:13; Ay 9:25Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha?
Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
2110:21 2Sam 12:23; Za 88:12; 23:4; Ay 3:13; Mhu 2:9kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena,
katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
2210:22 Ay 3:5; 1Sam 2:9nchi ya giza kuu sana,
yenye uvuli wa giza na machafuko,
mahali ambapo hata nuru ni giza.”
1“我厌恶自己的生命,
我要倾诉我的哀怨,
吐露心中的苦水。
2我对上帝说,‘不要定我的罪。
请告诉我,你为何指控我?
3难道你喜悦压迫、鄙视你造的人,
却青睐恶人的计谋?
4难道你的眼是肉眼,
目光如凡人一般?
5难道你的年日像人一样有限,
岁月如世人般短暂?
6以致你探查我的过犯,
追究我的罪愆?
7其实你知道我没有犯罪,
无人能从你手中解救我。
8“‘你亲手造我塑我,
现在却要毁灭我。
9别忘了你用泥土造我10:9 “用泥土造我”或译“把我造的像泥土”。,
难道要使我复归尘土?
10你不是将我像奶一样倒出,
使我像奶酪一样凝固吗?10:10 此句描述胚胎在母腹中如何成形。
11你给我穿上皮肉,
用筋骨把我编织。
12你赐我生命给我慈爱,
你的眷顾使我保全性命。
13“‘但你心中藏着计划,
我知道你早有此意,
14我若犯罪,你就鉴察,
不肯赦免我的罪。
15我若有罪,便遭祸患;
即使清白,也不敢抬头,
因为我饱尝羞辱,吃尽苦头。
16我若昂首挺立,
你会像狮子般追捕我,
再次施展大能攻击我。
17你重新派证人指控我,
你对我越来越愤怒,
使军队轮流攻击我。
18你为何让我出母腹?
我不如当时就死去,
不被世人看见,
19好像我从未出生,
一出母腹就被送进坟墓。
20我的年日不是所剩无几吗?
求你放过我,
让我欢乐片刻。
21我很快就一去不返,
进入幽冥黑暗之地。
22那里一片漆黑,幽暗混乱;
那里的光犹如黑暗。’”