Sehemu Ya Kwanza: Habari Za Awali
(Ayubu 1–2)
Ayubu Na Jamaa Yake
11:1 Mwa 22:21; Yak 5:11; Eze 14:14, 20; Mit 8:13; Mwa 10:23; 6:9; 22:12; Ay 23:7, 10; 2:3; Za 11:7; 107:42; Mit 21:29; Mik 7:2; Kum 4:6; 1The 5:22Katika nchi ya Usi paliishi mtu ambaye aliitwa Ayubu. Mtu huyu alikuwa hana hatia, naye alikuwa mkamilifu; alimcha Mungu na kuepukana na uovu. 21:2 Za 127:3; Rut 4:15; Ay 1:13, 18; 42:13; Za 144:12Alikuwa na wana saba na binti watatu, 31:3 Ay 29:25; Mwa 13:2; 12:16; Ay 1:8; Mwa 25:6; Ay 42:10; Za 103:10naye alikuwa na kondoo elfu saba, ngamia elfu tatu, jozi mia tano za maksai, na punda mia tano, tena alikuwa na idadi kubwa ya watumishi. Alikuwa mtu mkuu sana miongoni mwa watu wa Mashariki.
41:4 Ay 1:13, 18Wanawe walikuwa na desturi ya kufanya karamu katika nyumba zao kwa zamu, nao wangewaalika umbu zao watatu ili kula na kunywa pamoja nao. 51:5 Mwa 8:20; Ay 42:8; 1Fal 21:10-13; Za 74:10; Neh 12:30; Ay 8:4; Za 10:3Wakati kipindi cha karamu kilimalizika, Ayubu angetuma waitwe na kuwafanyia utakaso. Angetoa dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya kila mmoja wao asubuhi na mapema, akifikiri, “Pengine wanangu wametenda dhambi na kumlaani Mungu mioyoni mwao.” Hii ilikuwa ndiyo desturi ya kawaida ya Ayubu.
Jaribu La Kwanza La Ayubu
61:6 1Fal 22:19; Ay 38:7; 2:1; Dan 7:10; Mwa 6:2; 2Sam 24:1; 2Nya 18:21; Za 109:6; Lk 22:31Siku moja wana wa Mungu1:6 Wana wa Mungu hapa ina maana malaika au viumbe vya mbinguni. walikwenda kujionyesha mbele za Bwana. Shetani1:6 Shetani hapa ina maana ya mshtaki wa watakatifu. naye akaja pamoja nao. 71:7 Mwa 3:1; 1Pet 5:8; Mt 12:43Bwana akamwambia Shetani, “Umetoka wapi?”
Shetani akamjibu Bwana, “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”
81:8 Ay 42:7-8; Kut 20:20; Yos 1:7; Za 25:16; 26:12; 112:1; 128:4Ndipo Bwana akamwambia Shetani, “Je, umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Hakuna mtu mwingine duniani aliye kama yeye, asiye na hatia, ni mnyofu, mwenye kumcha Mungu, na kuepukana na uovu.”
91:9 1Tim 6:5Shetani akamjibu Bwana, “Je, Ayubu anamcha Mungu bure? 101:10 Za 34:7; 128:1-2; Ay 8:7; 1Sam 25:16; Ay 2:4; 29:6; 42:12, 17Je, wewe hukumjengea boma pande zote yeye na wa nyumbani mwake pamoja na kila kitu alicho nacho? Kazi za mikono yake umezibariki na hivyo makundi yake ya kondoo na mbuzi pamoja na ya wanyama yameenea katika nchi nzima. 111:11 Ay 19:21; Law 24:11; Ufu 12:9-10; Lk 22:31; Isa 3:8; 65:3; Ay 2:5Lakini nyoosha mkono wako na kupiga kila kitu alicho nacho, naye kwa hakika atakulaani mbele za uso wako.”
121:12 Ay 2:6; 1Kor 10:13Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, kila kitu alicho nacho kiko mikononi mwako, lakini juu ya huyo mtu mwenyewe usimguse hata kwa kidole.”
Ndipo Shetani akatoka mbele za Bwana.
131:13 Ay 1:2, 4; Mhu 9:12; Lk 12:19, 20Siku moja watoto wa Ayubu walipokuwa wakifanya karamu wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa, 141:14 Mwa 36:24akaja mjumbe kwa Ayubu na kusema, “Maksai walikuwa wakilima na punda walikuwa wakilisha karibu nao, 151:15 Mwa 10:7; Ay 6:19; 9:26Waseba wakawashambulia na kuchukua mifugo. Kisha wakawaua watumishi kwa upanga, nami ndimi peke yangu niliyenusurika kukuletea habari!”
161:16 1Fal 18:38; 2Fal 1:12; Ay 20:26; Mwa 18:17; Law 10:2; Hes 11:1-3Alipokuwa bado ananena, mjumbe mwingine akaja na kusema, “Moto wa Mungu ulishuka kutoka mbinguni na kuteketeza kondoo na watumishi, nami ndimi peke yangu niliyenusurika kukuletea habari!”
171:17 Mwa 11:28-31; Ay 9:24Alipokuwa bado ananena, mjumbe mwingine akaja na kusema, “Wakaldayo waliunda vikosi vitatu vya uvamizi na kuwaangukia ngamia wako na kuwachukua wakaondoka nao. Wakawaua watumishi kwa upanga, nami ndimi peke yangu niliyenusurika kukuletea habari.”
181:18 Ay 1:2, 4Alipokuwa bado ananena, mjumbe mwingine akaja na kusema, “Wana wako na binti zako walipokuwa wakifanya karamu, wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa, 191:19 Isa 21:1; Mk 7:25; Za 11:6; Isa 5:28; Yer 4:11; 13:24; 18:17; Eze 17:10; Hos 13:15ghafula upepo wenye nguvu ukavuma kutoka jangwani, nao ukaipiga nyumba hiyo pembe zake nne. Ikawaangukia hao watoto nao wamekufa, nami ndimi peke yangu niliyenusurika kukuletea habari!”
201:20 Mwa 37:29; Mk 14:63; Isa 3:24; 15:2; 22:12; Yer 7:29; 16:6; Eze 27:31; 29:18; Mik 1:16; 1Pet 5:6Ndipo Ayubu akasimama, akararua joho lake na kunyoa nywele zake. Kisha akaanguka chini katika kuabudu 211:21 Mhu 5:15; Rut 1:21; Amu 10:15; Efe 5:20; Mwa 45:5; 1Tim 6:7; 1Sam 2:7; Mhu 7:14; Yak 5:11; Amo 3:6; Efe 5:20; Mwa 45:5na kusema:
“Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi,
nami nitaondoka uchi,1:21 Au: nitarudi huko uchi.
Bwana alinipa, naye Bwana ameviondoa,
jina la Bwana litukuzwe.”
221:22 Mit 10:19; Rum 9:20; Ay 2:10; Za 39:1; Isa 53:7Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa kumlaumu Mungu kwa kufanya ubaya.
Job prövas
(1:1—2:13)
En god och framgångsrik person
1I landet Us levde en man som hette Job1:1 Berättelsen om Job, dvs. Jobs bok i sin helhet, är kanske den mest svårtydda texten i hela Gamla testamentet. När det är möjligt ges alternativa tolkningar. Job var från landet Edom, vars dialekt markant skiljde sig från den hebreiska dialekten i Kanaan. Septuaginta antog att Us var en del av Edom. Det skulle också kunna ha legat nära Hauran i Syrien. . Han var en god och rättsinnig man som fruktade Gud och höll sig borta från allt ont. 2Job hade sju söner och tre döttrar. 3Han ägde 7 000 får, 3 000 kameler, 500 par oxar och 500 åsneston, och han hade en mängd tjänare. Han var den mäktigaste i hela Östlandet.
4Jobs söner brukade turas om att hålla fester i sina hem, och de inbjöd sina tre systrar och åt och drack tillsammans med dem. 5När en fest, som kunde vara flera dagar, var över samlade Job sina barn och renade dem. Tidigt på morgonen bar han fram ett brännoffer för var och en av dem. Job tänkte: ”Kanske mina barn har syndat och förbannat Gud i sina hjärtan.” Så gjorde Job varje gång.
Anklagaren gör Job fattig
6En dag när Guds söner kom fram inför Herren, var Anklagaren, Satan, tillsammans med dem.
7”Varifrån kommer du?” frågade Herren Anklagaren. ”Från en färd runt hela jorden”, svarade denne.
8”Har du lagt märke till min tjänare Job?” frågade Herren Anklagaren. ”Det finns ingen annan som han på hela jorden, en god och rättsinnig man som fruktar Gud och inte vill ha något med det onda att göra.”
9”Job fruktar väl inte Gud för ingenting?” svarade Anklagaren. 10”Du har alltid skyddat både honom, hans hus och hans tillhörigheter. Du har välsignat allt han gör, och hans boskapshjordar breder ut sig över landet. 11Men räck ut din hand och rör vid all hans egendom, så ska du få se att han kommer att förbanna dig rakt i ansiktet!”
12Herren svarade Anklagaren: ”Du får göra vad du vill med hans egendom, men Job själv får du inte röra.”
Anklagaren lämnade sedan Herren.
13En dag, när Jobs söner och döttrar festade i den äldste broderns hus, 14kom en budbärare till Job och sa: ”Man plöjde med dina oxar och åsnorna betade i närheten, 15när sabéerna gick till anfall, drog i väg med dem och dödade allt ditt tjänstefolk utom mig. Jag är den ende som kom undan för att berätta detta för dig.”
16Medan denne budbärare fortfarande talade, kom en annan och sa: ”Guds eld föll ner från himlen och brände upp fåren och folket. Jag är den ende som kom undan för att berätta detta för dig.”
17Innan mannen hade slutat tala kom ytterligare en och sa: ”Kaldéerna delade upp sig i tre grupper och rövade bort kamelerna. De har även dödat tjänarna. Jag är den ende som kom undan för att berätta detta för dig.”
18Medan denne fortfarande talade kom ytterligare en annan och sa: ”Dina söner och döttrar hade fest i din äldste sons hem, 19när plötsligt en väldig storm kom svepande från öknen och tog tag i husets fyra hörn, så att taket störtade in och dödade allesammans. Jag är den ende som kom undan för att berätta detta för dig.”
20Då reste sig Job och rev sönder sin mantel. Han rakade av allt hår, föll ner på marken inför Gud och tillbad. 21Han sa:
”Jag kom naken ur min mors liv,
och naken vänder jag åter.
Herren gav och Herren tog.
Välsignat vare Herrens namn.”
22Under allt detta syndade inte Job och klandrade inte Gud.