Amosi 3 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version

Amosi 3:1-15

Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli

13:1 Amo 2:10; Sef 2:5Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:

23:2 Kut 19:6; 1Pet 4:17; Lk 12:47; Mik 2:3; Eze 9:6; Dan 9:12; Mt 11:22; Rum 2:9; Kum 7:6; Yer 14:10“Ni ninyi tu niliowachagua

kati ya jamaa zote za dunia;

kwa hiyo nitawaadhibu

kwa ajili ya dhambi zenu zote.”

3Je, watu wawili hutembea pamoja

wasipokubaliana kufanya hivyo?

43:4 Za 104:21; Hos 5:14; Isa 42:13Je, simba hunguruma katika kichaka

wakati hana mawindo?

Aweza kuvuma katika pango

wakati ambao hajakamata chochote?

5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini

ambapo hajategewa chambo?

Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini

wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?

63:6 Isa 14:24-27; 31:2; 45:7; Hes 10:2; Eze 33:3; Ay 39:24; Yer 4:21Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,

watu hawatetemeki?

Mji upatwapo na maafa,

je, si Bwana amesababisha?

73:7 1Sam 3:7; Mwa 6:13; 18:17; Mit 3:32; Yn 15:15; Yer 23:22; Mit 3:32; Dan 9:22-27; Ufu 1:1, 19Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote

bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.

83:8 1Kor 9:16; Yn 3:1-3; Mdo 4:20; Isa 31:4; 42:13; Yer 20:9Simba amenguruma:

je, ni nani ambaye hataogopa?

Bwana Mwenyezi ametamka:

je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?

93:9 Yos 13:3; 2Nya 26:6Tangazeni katika ngome za Ashdodi

na katika ngome za Misri:

“Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;

angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,

na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”

103:10 Yer 4:22; Amo 6:12; 5:7; Mik 6:10; Hab 2:8Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,

wale ambao hujilundikia nyara

na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”

113:11 Amo 2:5; 6:14; 2Fal 17:6Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

“Adui ataizingira nchi;

ataangusha chini ngome zenu

na kuteka nyara maboma yenu.”

123:12 1Sam 17:34; Es 1:6; Amo 6:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba

vipande viwili tu vya mfupa wa mguu

au kipande cha sikio,

hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,

wale wakaao Samaria

kwenye kingo za vitanda vyao,

na katika Dameski

kwenye viti vyao vya fahari.”

13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.

143:14 Mwa 12:8; Amo 5:5-6; Kut 27:2; Law 26:18“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,

nitaharibu madhabahu za Betheli;

pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali

na kuanguka chini.

153:15 Yer 36:22; Amu 3:20; 1Fal 22:39; Hos 10:5-8; Isa 34:5; Amo 5:11; 6:11Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,

pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;

nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu

na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”

asema Bwana.

Nueva Versión Internacional

Amós 3:1-15

Vocación del profeta Amós

1Escuchen, israelitas, esta palabra que el Señor pronuncia contra ustedes, contra toda la familia que saqué de Egipto:

2«Solo a ustedes los he escogido

entre todas las familias de la tierra.

Por tanto, les haré pagar

todas sus perversidades».

3¿Pueden dos caminar juntos

sin antes ponerse de acuerdo?

4¿Ruge el león en la espesura

sin tener presa alguna?

¿Gruñe el cachorro de león en su guarida

sin haber atrapado nada?

5¿Cae el pájaro en la trampa

si no fue armada?

¿Salta del suelo la trampa

sin haber atrapado nada?

6¿Se toca la trompeta en la ciudad

sin que el pueblo se alarme?

¿Ocurrirá en la ciudad alguna desgracia

que el Señor no haya enviado?

7En verdad, nada hace el Señor y Dios

sin antes revelar sus planes

a sus siervos los profetas.

8Ruge el león;

¿quién no temblará de miedo?

Habla el Señor y Dios;

¿quién no profetizará?

El castigo a Israel

9Proclamen en las fortalezas de Asdod

y en las fortalezas de Egipto:

«Reúnanse sobre los montes de Samaria

y vean cuánto desorden hay en ella,

¡cuánta opresión hay en su medio!».

10«Los que acumulan en sus fortalezas

el fruto de la violencia y el saqueo

no saben actuar con rectitud»,

afirma el Señor.

11Por lo tanto, así dice el Señor y Dios:

«Un enemigo invadirá tu tierra;

echará abajo tu poderío

y saqueará tus fortalezas».

12Así dice el Señor:

«Como un pastor rescata de la boca del león

solo dos huesos de las patas o un pedazo de oreja,

así serán rescatados los israelitas que viven en Samaria

con un pedazo de una cama

y la pata de un diván.3:12 con un pedazo … diván. Alt. en el borde de la cama y en divanes de Damasco.

13»Oigan esto y testifiquen contra el pueblo de Jacob», afirma el Señor y Dios, el Dios de los Ejércitos.

14«El día en que haga pagar a Israel sus delitos,

destruiré los altares de Betel;

los cuernos del altar serán cortados

y caerán por tierra.

15Derribaré tanto la casa de invierno

como la de verano;

serán destruidas las casas adornadas de marfil

y serán demolidas muchas mansiones»,

afirma el Señor.