Amosi 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

Amosi 2:1-16

12:1 Eze 25:8; Sef 2:8; 2Fal 3:27; Isa 16:6; 33:2Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Moabu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

ikawa kama chokaa.

22:2 Yer 48:7, 24; Ay 39:25; Yos 6:20Nitatuma moto juu ya Moabu

ambao utateketeza ngome za Keriothi.

Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

32:3 Hes 24:17; Za 2:10; Isa 40:23; Eze 25:8-11; Sef 2:8-9Nitamwangamiza mtawala wake

na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

asema Bwana.

42:4 Law 26:14; 2Sam 12:9, 10; 2Nya 36:14-17; Neh 1:7; Hos 12:2; Eze 9:11; Dan 9:11; 2Fal 17:19; Yer 6:19; 16:12; Isa 5:24; 9:16; 28:15; Kut 34:15Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Yuda,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu wameikataa sheria ya Bwana

na hawakuzishika amri zake,

kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

miungu ambayo babu zao waliifuata.

52:5 Yer 17:27; Hos 8:14; 2Fal 25:9; Amo 3:11; 2Nya 36:19Nitatuma moto juu ya Yuda

ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

Hukumu Juu Ya Israeli

62:6 Isa 29:21; Yoe 3:3; Amo 5:11, 12; 8:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Wanawauza wenye haki kwa fedha,

na maskini kwa jozi ya viatu.

72:7 Eze 36:20; 22:11; Law 18:21; 20:3; Amo 8:4; 5:11-12; Rum 2:24; Isa 10:2Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

na kukataa haki kwa walioonewa.

Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

82:8 Kut 22:26; Hos 7:14; 1Kor 10:21; Hab 2:6; Amo 6:6; Kum 24:12-14Watu hulala kando ya kila madhabahu

juu ya nguo zilizowekwa rehani.

Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

92:9 Hes 13:32; 21:23-26; Yos 10:12; Ay 18:16; Mal 4:1; Isa 10:33; Za 29:9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

na mwenye nguvu kama mialoni.

Niliyaangamiza matunda yake juu

na mizizi yake chini.

102:10 Kut 6:6; 20:2; Hes 21:23; Yos 13:4; Amo 9:7; Kum 8:2; 2:7“Niliwapandisha toka Misri,

na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

niwape nchi ya Waamori.

112:11 Kut 18:18; Yer 7:25; Hes 6:2-3; Amu 13:5Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

asema Bwana.

122:12 Mdo 4:18; Isa 30:10; Yer 11:21; Amo 7:12-13; Mik 2:6“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

13“Sasa basi, nitawaponda

kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

142:14 1Fal 20:11; Yer 9:23; Za 33:16; Ay 11:20; Isa 30:16-17Mkimbiaji hodari hatanusurika,

wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

152:15 Eze 39:3; Kut 15:21; Zek 10:5; Mhu 9:11Mpiga upinde atakimbia,

askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

162:16 Yer 48:41Hata askari walio mashujaa sana

siku hiyo watakimbia uchi,”

asema Bwana.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

阿摩司書 2:1-16

對摩押的審判

1耶和華說:

摩押人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們把以東王的骸骨焚燒成灰。

2所以,我要降火在摩押

燒毀加略的城堡。

摩押要在戰爭的喧囂、吶喊和號角聲中滅亡。

3我要剷除摩押的首領,

殺死那裡所有的官長。

這是耶和華說的。」

對猶大的審判

4耶和華說:

猶大人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們厭棄耶和華的訓誨,

不遵守我的律例。

他們祖先祭拜的偶像使他們走入歧途。

5所以,我要降火在猶大

燒毀耶路撒冷的城堡。」

對以色列的審判

6耶和華說:

以色列人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們為了銀子賣掉義人,

為了一雙鞋賣掉窮人。

7他們踐踏窮人如同踐踏地上的塵土,

使卑微的人無處伸冤;

父子同淫一女,褻瀆我的聖名。

8在每座祭壇旁邊,

他們把窮人抵押的衣服鋪開,躺在上面,

又在上帝的殿裡喝剝削來的酒。

9以色列人啊,

我在你們面前消滅了亞摩利人。

雖然他們像香柏樹那樣高大,

如橡樹那樣強壯,

但我滅盡了他們上面的果子,

砍斷了他們下面的根。

10我曾帶你們出埃及

在曠野引導你們四十年,

使你們得到亞摩利人的土地。

11我從你們的子孫中興起先知,

從你們的青年中興起拿細耳人2·11 拿細耳人的詳情參見民數記6·1‑8

以色列人啊,難道不是這樣嗎?

這是耶和華說的。

12可是,你們迫使拿細耳人喝酒,

禁止先知說預言。

13看啊,我要壓碎你們,

如滿載穀物的車軋過一樣。

14快捷的無法逃遁,

強壯的無力可使,

勇猛的救不了自己,

15拉弓的站立不住,

腿快的無法逃脫,

騎馬的不能自救。

16到那日,最勇猛的戰士也要赤身逃命。

這是耶和華說的。