2 Wathesalonike 2 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

2 Wathesalonike 2:1-17

Yule Mtu Wa Kuasi

12:1 Mk 13:27; 1The 4:15-17Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi, 22:2 2The 3:17; 1Kor 1:8msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako. 32:3 Mk 13:5; Dan 8:25; Ufu 13:5, 6Mtu yeyote na asiwadanganye kwa namna yoyote kwa maana siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza, na yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye amehukumiwa kuangamizwa kabisa. 42:4 1Kor 8:5; Isa 14:13, 14; Eze 28:2Yeye atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili kujiweka juu katika Hekalu la Mungu, akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.

52:5 1The 3:4Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya? 62:6 2The 2:7Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia. 72:7 2The 2:6Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa. 82:8 Isa 11:4; Ufu 2:16Hapo ndipo yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa utukufu wa kuja kwake. 92:9 Mt 24:24; Ufu 13:13Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo, 102:10 1Kor 1:18na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa. 112:11 Rum 1:28Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo, 122:12 Rum 1:32na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.

Simameni Imara

132:13 Efe 1:4; 1The 5:9; 1Pet 1:2Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na Roho kwa kuiamini kweli. 142:14 Rum 8:28; 11:29; 1The 1:5Kwa kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri kwetu Injili, ili mpate kushiriki katika utukufu wa Bwana Yesu Kristo. 152:15 1Kor 16:13; 11:2Hivyo basi, ndugu wapendwa, simameni imara na myashike sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa maneno ya kinywa au kwa barua.

162:16 Yn 3:16Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema, 172:17 1The 3:2; 2The 3:3awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

帖撒羅尼迦後書 2:1-17

主再來的先兆

1弟兄姊妹,關於主耶穌基督再來和我們到祂那裡相聚的事情, 2我們現在奉勸你們:無論是什麼靈,或是傳聞,或是冒充我們寫的信,說主的日子已經到了,你們都不要輕易動搖,也不要驚慌。 3不管別人用什麼詭計,你們都不要上當。因為那日子來臨之前,必有離經叛道的事發生,而那不法之徒,就是那註定滅亡的人也要出現。 4他會抵擋主,高抬自己超過一切所謂的神明和人們崇拜的對象,甚至坐在上帝的殿中以上帝自居!

5我還在你們那裡的時候,曾告訴過你們這些事,你們忘記了嗎? 6現在,你們知道是什麼攔阻他,使他到了所定的時間才出現。 7其實那不法之徒的陰謀已經在醞釀中,然而現在有一位在攔阻他。等到攔阻他的那位一離開, 8他就會出現,但主耶穌會用自己口中的氣毀滅他,用從天降臨的榮光廢掉他。

9他來要按照撒旦的伎倆行各種虛假的異能、神蹟和奇事, 10用盡各種詭計欺騙那些將要滅亡的人,因為他們不喜歡接受那能拯救他們的真理。 11上帝就讓他們是非不辨,去相信那些虛假的謊言, 12使一切不相信真理、反喜愛不義的人都被定罪。

要堅定不移

13主所愛的弟兄姊妹,我們應當常常為你們感謝上帝,因為上帝一開始就揀選了你們2·13 「一開始就揀選了你們」有古卷作「揀選你們作初熟的果子」。,使你們藉著聖靈得以聖潔,並且相信真理,從而得救。 14為此,上帝藉著我們所傳的福音呼召了你們,使你們可以得到我們主耶穌基督的榮耀。 15所以,各位弟兄姊妹,務要堅定不移,無論是我們信上的教導還是口頭的教導,你們都要堅守。

16願主耶穌基督和愛我們、開恩將永遠的安慰和美好的盼望賜給我們的父上帝, 17安慰你們的心,使你們在一切善行善言上剛強。