2 Wakorintho 9 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 9:1-15

Wasaidieni Wakristo Wenzenu

19:1 1The 4:9; Mdo 24; 17; 9:13Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu. 29:2 2Kor 8:11-19; 7:4, 14; 8:10, 24; Mdo 18:12Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa. 39:3 2Kor 8:23; 1Kor 16:2Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari. 49:4 Rum 15:26Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo. 59:5 Flp 4:17; 2Kor 12:17-18Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.

Kupanda Kwa Ukarimu

69:6 Mit 11:24-25; 22:9; Gal 6:7-9Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. 79:7 Kut 25:2; 2Kor 8:12; Kum 15:10; Rum 12:8Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu. 89:8 Efe 3:20; Flp 4:19Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema. 99:9 Mal 3:10; Za 112:9Kama ilivyoandikwa:

“Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu

akawapa maskini;

haki yake hudumu milele.”

109:10 Isa 55:10; Hos 10:12Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu. 119:11 1Kor 1:5; 2Kor 1:11; 4:15Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.

129:12 2Kor 8:12; 1:11Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu. 13Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote. 149:14 2Kor 8:1Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu. 159:15 2Kor 2:14; Rum 5:15-16Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.

Knijga O Kristu

2 Korinćanima 9:1-15

Prikupljanje milodara za jeruzalemske kršćane

1Nije, razumije se, ni potrebno da vam više pišem o tome milodaru za svete u Jeruzalemu. 2Znam kako ste gorljivi u pomaganju i time sam vas hvalio pred Makedoncima, ističući da su u Ahaji bili pripravni davati još od lani. Svojom ste gorljivošću potaknuli i mnoge druge da počnu pomagati. 3Šaljem vam ovu braću kako bih bio siguran da ste zaista spremni kao što sam se hvalio da ćete biti. 4Bio bih posramljen, a i vi također, kad bi sa mnom došli neki Makedonci, a vi bili nepripremljeni. 5Zato sam poslao braću da odu k vama prije nas i da se pobrinu da vaš već obećani dar bude spreman. Ali htio bih da on bude iskaz velikodušnosti, a ne škrtarenja.

6Poslušajte me: tko škrto posije, škrto će i žeti; tko sije obilno, i žet će obilno. 7Neka svatko odluči koliko će dati, ali od srca, a ne teška srca ili na silu, jer Bog voli darovatelje dragovoljna srca. 8Bog po svojoj milosti može na vas izliti svakovrsno obilje tako da imate svega dovoljno i da vam još pretekne, da činite dobra djela. 9U Svetome pismu piše:

Pravedan čovjek “daje siromahu obilno.

Njegova dobra djela nikada neće biti zaboravljena.”9:9 Psalam 112:9.

10Jer Bog koji daje sjeme za sjetvu, daje i kruh za jelo. On će jednako tako umnožiti vaše sjeme i dati da u vama uzrastu plodovi vaše pravednosti.

11Bog će vam dati obilje da biste ga mogli darežljivo dijeliti s drugim ljudima, pa će oni za vaš dar zahvaljivati Bogu. 12Tako ćete ispunjavanjem te svete zadaće ne samo namiriti potrebe svetih u Jeruzalemu koji su u oskudici već ćete i mnogima dati povoda da zahvaljuju Bogu. 13Oni će zahvaljivati Bogu za vašu prokušanost u toj službi milosrđa i hvaliti ga zbog vašega pokoravanja Kristovoj Radosnoj vijesti, što ste pokazali dijeleći dobra s njima i s drugima. 14S velikom će ljubavi moliti za vas zbog divne Božje milosti koju je Bog na vas izlio.

15Hvala Bogu za njegova Sina—za njegov neizrecivo dragocjeni dar!