2 Wakorintho 9 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version

2 Wakorintho 9:1-15

Wasaidieni Wakristo Wenzenu

19:1 1The 4:9; Mdo 24; 17; 9:13Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu. 29:2 2Kor 8:11-19; 7:4, 14; 8:10, 24; Mdo 18:12Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa. 39:3 2Kor 8:23; 1Kor 16:2Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari. 49:4 Rum 15:26Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo. 59:5 Flp 4:17; 2Kor 12:17-18Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.

Kupanda Kwa Ukarimu

69:6 Mit 11:24-25; 22:9; Gal 6:7-9Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. 79:7 Kut 25:2; 2Kor 8:12; Kum 15:10; Rum 12:8Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu. 89:8 Efe 3:20; Flp 4:19Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema. 99:9 Mal 3:10; Za 112:9Kama ilivyoandikwa:

“Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu

akawapa maskini;

haki yake hudumu milele.”

109:10 Isa 55:10; Hos 10:12Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu. 119:11 1Kor 1:5; 2Kor 1:11; 4:15Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.

129:12 2Kor 8:12; 1:11Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu. 13Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote. 149:14 2Kor 8:1Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu. 159:15 2Kor 2:14; Rum 5:15-16Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.

Chinese Contemporary Bible 2023 (Traditional)

哥林多後書 9:1-15

1關於捐助聖徒的事,其實我不必再寫信提醒你們, 2因我知道你們的熱心。我向馬其頓教會的人誇耀你們,說亞該亞人的捐款在一年前就預備好了,你們的熱心激勵了許多人。 3現在我先派這幾位弟兄到你們那裡,以便你們把捐款預備好,正如我所說的那樣,免得我們在這件事上誇耀你們的話成了虛言。 4因為萬一有馬其頓的人與我同去,發現你們並沒有準備好,別說我們會因如此信任你們而羞愧,你們更會無地自容。 5因此,我認為有必要請那幾位弟兄先去你們那裡,將你們從前認捐的款項收集妥當,這樣就表明你們的捐贈是出於甘心樂意,而不是出於勉強。

甘心樂意地捐助

6要記住:「少種的少收,多種的多收。」 7各人心裡想捐多少就捐多少,不要勉強,不要為難。因為捐得甘心樂意的人才是上帝所喜愛的。 8上帝能夠把各樣恩典多多賜給你們,使你們在各方面常常富足有餘,可以多行各種善事。 9正如聖經上說:

「他慷慨施捨、賙濟窮人,

他的公義永遠長存。」9·9 詩篇112·9

10賜農夫種子又賜人糧食的上帝,必加倍賜給你們種子,使你們收穫更多仁義的果實, 11叫你們事事豐裕,可以多多施捨。這樣,從我們這裡得到你們幫助的人便會向上帝獻上感恩。 12因為這件善事不單可以幫助經濟困難的聖徒,也使許多人對上帝充滿感恩。 13通過這件善事,他們會把榮耀歸給上帝,因為看見你們信服基督的福音,慷慨地幫助他們及眾人。 14他們也會因上帝賜給你們的豐盛恩典而熱切地為你們禱告。 15感謝上帝,祂的恩賜真是無以言表!