2 Samweli 7 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 7:1-29

Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

(1 Nyakati 17:1-15)

17:1 1Nya 22:18; 17:1; 2Sam 6:3; Dan 4:29-30Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye Bwana akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake, 27:2 2Sam 12:1; 1Fal 1:8, 22; 1Nya 29:29; 2Nya 9:29; 2Sam 5:11; 1Fal 3:1; 7:1-7; 9:1; 2Nya 8:1; Yer 22:14; Hag 1:4; Kut 26:1; Za 132:3; Mdo 7:45-46; Kut 40:21akamwambia nabii Nathani, “Mimi hapa, ninaishi katika jumba la kifalme la mierezi, wakati Sanduku la Mungu limebaki katika hema.”

37:3 1Sam 10:7; Za 132:1-5; 1Fal 8:17; 1Nya 22:7; 28:2Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana Bwana yu pamoja nawe.”

4Usiku ule neno la Bwana likamjia Nathani, kusema:

57:5 1Fal 8:19; 1Nya 22:8; 1Fal 5:3-5; 1Nya 28:3“Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ewe ndiwe wa kunijengea mimi nyumba ili nikae ndani yake? 67:6 Mdo 7:45; Kut 40:18, 34; Yos 18:1; 1Fal 8:16Sijakaa ndani ya nyumba tangu siku niliyowaleta Waisraeli kutoka Misri hadi leo. Nimekuwa nikitembea kutoka mahali pamoja hadi mahali pengine ndani ya hema kama makao yangu. 77:7 Kum 23:14; 2Sam 5:2; 1Fal 8:27; Isa 66:1; Law 26:11; Za 78:72; Eze 34:2, 15, 23; Mt 2:6; Mdo 20:28; 1Pet 5:2Popote nilipotembea pamoja na Waisraeli wote, je, nimewahi kumwambia kiongozi wao yeyote niliyemwamuru kuwachunga watu wangu Israeli, “Kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?” ’

87:8 1Sam 16:11; 1Nya 21:17; Za 74:1; Amo 7:15; Isa 9:16; 16:1; 2Sam 6:21; Za 78:70-72; 2Kor 6:18“Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Nilikutoa wewe kutoka machungani na kutoka kuandama kundi la kondoo na mbuzi ili kuwaongoza watu wangu Israeli. 97:9 1Sam 18:14; 2Sam 5:10; Za 18:37-42; Kut 11:3; Mwa 12:2; 1Nya 17:8; Lk 1:52Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani. 107:10 Kut 15:17; Isa 5:1-7; 2Fal 21:8; 2Nya 33:8; Za 89:22-23; 147:14; Isa 54:14; 60:18; Za 44:2; 80:8; Yer 24:6; Amo 9:15Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali niwapande humo ili kwamba wawe na nyumbani kwao wenyewe wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni, 117:11 Amu 2:16; 1Sam 12:9-11; 1Fal 2:24; 1Sam 25:28; Za 89:35-37; Lk 1:32-33; Mdo 13:22-23; 2Tim 2:8; Kut 1:21; Isa 7:2na kama walivyofanya tangu mwanzo wakati nilipowaweka viongozi juu ya watu wangu Israeli. Pia nitawapa raha mbele ya adui zenu wote.

“ ‘Bwana akuambia kwamba Bwana mwenyewe atakujengea nyumba. 127:12 Mwa 15:15; 1Fal 2:1; Mdo 13:36; 1Fal 8:20; Za 132:11-12; Yer 30:21; 33:15; 2Nya 23:3Siku zako zitakapokwisha nawe ulale pamoja na baba zako, nitainua mzao wako aingie mahali pako, ambaye atatoka viunoni mwako, nami nitauimarisha ufalme wake. 137:13 Kum 12:5; 1Fal 5:5; 6:12; 8:19, 29; Kum 16:11; 2Fal 21:4, 7; Mit 25:5; Dan 7:27; Mwa 9; 16; 2Sam 22:51; 1Fal 2:4, 45; 1Nya 22; 10; 28:6; 2Nya 6:16; 7:18; 13:5; 21:7; Za 89:3-4; Isa 9:7; 16:5; Yer 17:25; 33:17-21Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, nami nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake milele. 147:14 Za 2:7; 89:26; Yer 3:19; Mt 3:17; Yn 1:49; 2Kor 6:18; Ebr 1:5; Ufu 21:7; Kum 8:5; 1Fal 11:34; 1Nya 22:10; Ebr 12:7; Za 89:30-33; Mit 13:24Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Atakapokosea nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu, kwa adhabu ya kupigwa na wanadamu. 157:15 1Fal 2:4; 6:12; 8:25; 9:5; 11:13; 2Fal 19:34; 2Nya 6:16; 7:18; 21:7; Za 89:34; Yer 33; 17; 1Sam 13:13; 15:28; 16:14; 7:16; Za 89:36-37; Lk 1:33; Za 9:7; 93:2; 103:19Lakini upendo wangu kamwe hautaondolewa kwake, kama nilivyouondoa kwa Sauli, niliyemwondoa atoke mbele yako. 16Nyumba yako na ufalme wako utadumu milele mbele zangu, kiti chako cha enzi kitafanywa imara milele.’ ”

17Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Maombi Ya Daudi

(1 Nyakati 17:16-27)

187:18 Kut 3:11; 1Sam 18:18Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana, akasema:

“Ee Bwana Mwenyezi, mimi ni nani, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo? 197:19 Isa 55:8-9Naam, kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Bwana Mwenyezi, wewe umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Je, hii ndiyo njia yako ya kawaida ya kushughulika na mwanadamu, Ee Bwana Mwenyezi?

207:20 Isa 38:15; Yn 21:17; 1Sam 16:7; Mwa 18:19; Za 139:1“Je, Daudi aweza kukuambia nini zaidi? Kwa maana unamjua mtumishi wako, Ee Bwana Mwenyezi. 217:21 Efe 4:32Kwa ajili ya neno lako na kwa mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa na kulifanya lijulikane na lifahamike kwa mtumishi wako.

227:22 Za 48:1; 77; 13; 86:10; Yer 10:6; Kum 3:24; Kut 9:14; 8:10; 20:4; 10:2; Amu 6:13; 1Nya 16:25; 2Nya 2:5; Kum 4:35; Isa 45:5“Tazama jinsi ulivyo mkuu, Ee Bwana Mwenyezi! Hakuna mwingine kama wewe, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe, 237:23 Kum 4:32-38; 33:29; 1Sam 12:22; Hes 6:27; Kum 10:21; 7:7-8; 9:29; 15:15; Za 147:20; Neh 1:10Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli, taifa pekee duniani ambalo Mungu alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe, na kujifanyia jina mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa na miungu yao mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri? 247:24 Kum 26:18; Kut 6:6-7; Za 48:14Umeimarisha watu wako Israeli hasa kama watu wako mwenyewe milele, nawe, Ee Bwana, umekuwa Mungu wao.

257:25 Hes 23:19; 2Nya 1:9“Basi sasa, Bwana, ukaitimize ahadi uliyosema kuhusu mtumishi wako na nyumba yake milele. Fanya kama ulivyoahidi, 267:26 Kut 6:3; Neh 9:5; Za 72:19; 96:8; Mt 6:9; 1Sam 25:28ili kwamba jina lako litukuke milele. Ndipo watu watasema, ‘Bwana Mwenye Nguvu Zote ni Mungu juu ya Israeli!’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itakuwa imara mbele zako.

27“Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, umelifunua hili kwa mtumishi wako, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’ Hivyo mtumishi wako amepata ujasiri kukuletea dua hii. 287:28 Kut 34:6; Yn 17:17Ee Bwana Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri. 297:29 Hes 6:23-27Sasa naomba uwe radhi kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu mbele zako milele, kwa maana wewe, Ee Bwana Mwenyezi, umesema, na kwa baraka zako nyumba ya mtumishi wako itaendelea kubarikiwa milele.”

New Russian Translation

2 Царств 7:1-29

Божье обещание Давиду

1После того как царь поселился в своем дворце и Господь дал ему покой от всех окружающих его врагов, 2он сказал пророку Нафану:

– Смотри, я живу во дворце из кедра, а Божий ковчег остается в шатре.

3Нафан ответил царю:

– Иди и делай все, что у тебя на сердце, потому что Господь с тобой.

4В ту ночь к Нафану было слово Господа:

5– Пойди и скажи Моему слуге Давиду: «Так говорит Господь: Разве ты – тот, кто построит Мне дом для Моего обитания? 6Я не жил в доме с того дня, как вывел израильтян из Египта и до сегодняшнего дня, но странствовал в шатре и в скинии. 7Где бы Я ни ходил со всеми израильтянами, разве Я говорил с каким-либо из их родов7:7 Или: «кому-нибудь из их правителей»., которым Я повелел пасти Мой народ Израиля: „Почему вы не построили Мне дом из кедра?“»

8Итак, скажи Моему слуге Давиду: «Так говорит Господь Сил: Я взял тебя, когда ты смотрел и ухаживал на пастбище за овцами, чтобы ты стал правителем Моего народа Израиля. 9Я был с тобой, куда бы ты ни ходил, и сокрушил перед тобой всех твоих врагов. Я уподоблю твое имя именам великих людей земли. 10Я устрою место для Своего народа, Израиля, и укореню его, чтобы ему иметь свой дом, и никто его больше не тревожил. Нечестивые больше не будут притеснять его, как прежде, 11с того времени, как Я поставил судей над Своим народом, Израилем. Я также дам тебе покой от всех твоих врагов.

Господь объявляет тебе, что Сам утвердит твой дом. 12Когда твои дни завершатся и ты упокоишься со своими предками, Я возведу на престол твоего потомка, того, кто произойдет от тебя и упрочу его царство. 13Он построит дом для Моего имени, и Я упрочу престол его царства навеки. 14Я буду ему Отцом, и он будет Мне сыном7:12-14 Эти слова также являются пророчеством об Иисусе Христе (см. Лк. 1:32; Рим. 1:3; Евр. 1:5).. Когда он согрешит, Я накажу его розгой людской, ударами, наносимыми людьми. 15Но Я не отниму от него Своей милости, как отнял ее от Саула, которого Я отверг ради тебя. 16Твой дом и твое царство будут непоколебимы предо Мной7:16 Так в одном из древних переводов; в нормативном еврейском тексте: «перед тобой»; ср. ст. 26 и 29. вовеки; твой престол будет упрочен навеки».

17Нафан пересказал Давиду все слова этого откровения.

Молитва Давида

(1 Пар. 17:16-27)

18Тогда царь Давид вошел, сел перед Господом и сказал:

– Кто я, о Владыка Господи, и что такое моя семья, что Ты так возвеличил меня? 19И словно этого не было достаточно в Твоих глазах, о Владыка Господи, Ты еще рассказал о будущем дома Твоего слуги. И это будет Закон для людей7:19 Смысл этой фразы в еврейском тексте неясен., о Владыка Господи.

20Что еще может сказать Тебе Давид? Ведь Ты знаешь Твоего слугу, Владыка Господи! 21Ради Твоего слова и по воле Своей Ты совершил это великое дело и открыл его Своему слуге.

22Как Ты велик, Владыка Господи! Нет подобного Тебе и нет Бога, кроме Тебя, как слышали мы своими ушами. 23И кто подобен народу Твоему, Израилю, единственному народу на земле, к которому приходил Бог, чтобы выкупить его и сделать Своим народом? Чтобы все узнали имя Твое, Ты совершил великие и ужасные дела, выкупив Свой народ из Египта и изгнав перед ним другие народы и их богов. 24Ты сделал Израиль Своим собственным народом навеки, и Ты, Господи, стал его Богом.

25И теперь, Господи Боже, пусть обещание, которое Ты дал о Своем слуге и его доме, утвердится навеки, и сделай, как Ты обещал. 26Пусть возвеличится Твое имя вовеки, чтобы люди говорили: «Господь Сил – Бог над Израилем!» И дом Твоего слуги Давида утвердится пред Тобой.

27О Господь Сил, Бог Израиля, Ты открыл это Своему слуге, говоря: «Я устрою тебе дом». Поэтому Твой слуга набрался смелости принести Тебе эту молитву. 28О Владыка Господи, Ты – Бог! Твои слова истинны, и Ты обещал Своему слуге это благо. 29Пусть же станет Тебе угодно благословлять дом Твоего слуги, чтобы он был перед Тобой вечно. Ведь Ты, Владыка Господи, сказал это, и дом Твоего слуги будет благословен навеки от Твоего благословения!