2 Samweli 20 – NEN & NRT

Kiswahili Contemporary Version

2 Samweli 20:1-26

Sheba Aasi Dhidi Ya Daudi

120:1 Mwa 31:14; 29:14; 1Fal 12:16; 1Sam 22:7-8; 2Nya 10:16; 2Sam 12:10; Kum 13:13; Amu 19:22; 1Sam 2:12; 10:27; 1Fal 21:10-13; 2Nya 13:7; 2Sam 19:43Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti,

“Hatuna fungu katika Daudi,

wala hatuna sehemu

katika mwana wa Yese!

Kila mtu aende hemani mwake,

enyi Israeli!”

220:2 Mit 17:14Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.

320:3 2Sam 15:16; 16:21-22Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.

420:4 2Sam 17:25; 19:13Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.” 5Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.

620:6 2Sam 21:17; 1Sam 26:6; 2Sam 18:2; 11:11; 1Fal 1:33Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.” 720:7 1Sam 30:14; 2Sam 15:18; 1Fal 1:38; 2Sam 8:18Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.

820:8 Yos 9:3; 2Sam 2:18Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.

920:9 Mt 26:49; Lk 22:47; Mwa 4:8; 2Sam 2:23; 3:27; 1Fal 2:5Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu. 1020:10 Amu 3:21; 2Sam 3:27; 1Fal 2:5Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.

11Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!” 1220:12 2Sam 2:23Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake. 13Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.

1420:14 Hes 21:16; 1Fal 15:20; 2Fal 15:29; 2Nya 16:4Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata. 1520:15 1Fal 15:20; 2Fal 15:29; Isa 37:33; Yer 6:6; 32:24; Lk 19:43Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini, 1620:16 2Sam 14:2mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.” 17Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?”

Akamjibu, “Ndiye mimi.”

Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”

18Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri. 1920:19 Kum 2:26; 1Sam 26:19; 2Sam 21:3Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa Bwana?”

20Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu. 2120:21 2Sam 4:8Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.”

Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”

2220:22 Mhu 9:13-14; 7:19Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.

2320:23 2Sam 2:28; 8:16-18; 24:2Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi; 2420:24 1Fal 4:6; 5:14; 12:18; 2Nya 10:18; 2Sam 8:16; 1Fal 4:3Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu; 2520:25 1Sam 2:35; 2Sam 8:17Sheva20:25 Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (1Nya 18:16; 1Fal 4:3). alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani; 2620:26 2Sam 23:38na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.

New Russian Translation

2-я книга Царств 20:1-26

Мятеж Шевы

1Случайно там оказался один смутьян, по имени Шева, сын Бихри, вениамитянин. Он затрубил в рог и воскликнул:

«Нет у нас доли в Давиде,

нет части в сыне Иессея!

По шатрам своим, Израиль!»

2И все израильтяне оставили Давида, чтобы последовать за Шевой, сыном Бихри. Но иудеи остались верны своему царю и последовали за ним от Иордана в Иерусалим.

3Вернувшись в свой дворец в Иерусалиме, Давид взял десять наложниц, которых он оставил, чтобы присматривать за дворцом, и поместил их в доме под стражей. Он обеспечивал их всем необходимым, но уже не ложился с ними. Они содержались взаперти до самой смерти, живя как вдовы.

4Царь сказал Амасе:

— В течение трех дней собери ко мне иудеев и сам будь здесь.

5Но когда Амаса пошел призвать Иудею, он промешкал больше того времени, что определил ему царь.

6Давид сказал Авишаю:

— Теперь Шева, сын Бихри, причинит нам больше вреда, чем Авессалом. Возьми людей своего господина и преследуй его, иначе он отыщет укрепленные города и скроется от нас.

7И люди Иоава вместе с керетитами и пелетитами и всеми могучими воинами, выступили под началом Авишая. Они выступили из Иерусалима, чтобы преследовать Шеву, сына Бихри.

8Они находились у большой скалы в Гаваоне, когда Амаса вышел им навстречу. На Иоаве была воинская одежда, и он был опоясан ремнем, на котором висел меч в ножнах. Когда он вышел вперед, меч выскользнул из ножен.

9Иоав сказал Амасе:

— Здоров ли ты, мой брат?

Иоав взял Амасу за бороду правой рукой, чтобы поцеловать его. 10Амаса не остерегся меча в руке Иоава, а Иоав вонзил его ему в живот так, что его внутренности вывалились на землю, и он умер. Ему не понадобилось бить дважды. Иоав же и его брат Авишай пустились в погоню за Шевой, сыном Бихри.

11Один из людей Иоава встал над Амасой и сказал:

— Пусть всякий, кто предан Иоаву и кто за Давида, идет за Иоавом!

12Амаса лежал в луже крови посреди дороги, и тот человек видел, что все воины останавливаются. Поняв, что все, кто проходит мимо Амасы, останавливаются, он оттащил его с дороги в поле и набросил на него одежду. 13После того как Амаса был убран с дороги, весь народ пошел за Иоавом преследовать Шеву, сына Бихри.

14Шева же прошел через все роды Израиля до Авел-Бет-Маахи20:14 Букв.: и Бет-Маахи., и все бериты собрались к нему и последовали за ним в город. 15А войска Иоава подошли и осадили его в Авел-Бет-Маахе. Они насыпали осадный вал у внешних укреплений города и старались разрушить стену. 16Одна мудрая женщина крикнула со стены города:

— Послушайте! Послушайте! Скажите Иоаву, чтобы он пришел сюда, и я поговорю с ним.

17Он подошел к ней, и она спросила:

— Ты Иоав?

— Я, — ответил он.

Она сказала:

— Послушай слов рабы твоей.

И сказал он:

— Слушаю.

18Она сказала:

— Издавна привыкли говорить: «Поищи ответа в Авеле», и так решали дело. 19Я из тех, кто хранит в Израиле мир и верность, ты же пытаешься уничтожить город, который зовется в Израиле матерью20:19 Букв.: город и (притом) мать в Израиле; по-видимому, так назывался крупный город, окруженный зависящими от него деревнями — дочерьми (ср., напр., деревни, букв.: дочери в Чис. 21:32).. Зачем ты хочешь разорить Господне наследие?

20— Никогда! — ответил Иоав. — Я никогда не разорю и не погублю! 21Это не так. Один человек, по имени Шева, сын Бихри, из нагорий Ефрема, поднял руку на царя, на Давида. Выдайте его одного, и я отступлю от города.

Женщина сказала Иоаву:

— Его голова будет брошена тебе со стены.

22Женщина пошла ко всему народу со своим мудрым советом, и Шеве, сыну Бихри, отрубили голову и бросили ее Иоаву. Тогда он затрубил в рог, и его люди разошлись от города, и все пошли по домам. А Иоав возвратился к царю в Иерусалим.

Приближенные Давида

(2 Цар. 8:15–18; 1 Пар. 18:14–17)

23Иоав стоял во главе всего израильского войска;

Беная, сын Иодая, стоял во главе керетитов и пелетитов;

24Адонираму20:24 В евр. тексте: Адораму. Но см. 3 Цар. 4:6; 5:14. был вверен надзор за подневольными рабочими;

Иосафат, сын Ахилуда, был летописцем;

25Шава был писарем;

Цадок и Авиатар были священниками;

26и иаритянин Ира также был священником у Давида.