2 Nyakati 1 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 1:1-17

Solomoni Aomba Hekima

(1 Wafalme 3:1-15)

11:1 1Fal 2:26; 2Nya 12:1; Mwa 39:2; Hes 14:43; 1Nya 29:25; Mwa 21:22; 1Nya 17:8; Mt 28:20Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.

21:2 1Nya 28:1; 2Nya 29:20; 30:2Ndipo Solomoni akasema na Israeli wote, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, waamuzi na viongozi wote katika Israeli, pamoja na wakuu wa jamaa. 31:3 Law 17:4; Kut 36:8; 40:18; 1Fal 3:4Naye Solomoni na kusanyiko lote wakakwea mpaka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kwa kuwa huko ndiko Hema la Kukutania la Mungu lilipokuwa, ambalo Mose mtumishi wa Bwana alikuwa amelitengeneza huko jangwani. 41:4 2Sam 6:2, 17; 1Nya 15:25Basi Daudi alikuwa amelipandisha Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu mpaka mahali alipokuwa amepatengeneza kwa ajili yake, kwa sababu alikuwa amesimamisha hema kwa ajili ya hilo Sanduku huko Yerusalemu. 51:5 Kut 38:2; 31:2; 1Nya 13:3Lakini yale madhabahu ya shaba ambayo Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, alikuwa ametengeneza yalikuwa huko Gibeoni mbele ya Maskani ya Bwana Mungu, hivyo Solomoni na kusanyiko lote walimtafuta Mungu huko. 61:6 1Fal 3:4Solomoni akapanda huko yalikokuwa madhabahu ya shaba mbele za Bwana katika Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu 1,000 za sadaka za kuteketezwa juu yake.

71:7 2Nya 7:12; Isa 58:9; 1Fal 3:5; Mit 3:5Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”

81:8 1Nya 23:1; 28:5Solomoni akamjibu Mungu, “Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake. 91:9 2Sam 7:25; 1Fal 8:25; Mwa 12:2Sasa, Bwana Mungu, ahadi yako kwa baba yangu Daudi na ithibitike, kwa kuwa umenifanya mimi mfalme juu ya watu ambao ni wengi kama mavumbi ya nchi. 101:10 Hes 27:17; Mit 8:15-16; Kum 31:2; 1Fal 3:9; Za 119:34; Mit 3:13; Yak 1:5Nakuomba unipe mimi hekima na maarifa, ili niweze kuongoza watu hawa, kwa kuwa ni nani awezaye kutawala hawa watu wako walio wengi hivi?”

111:11 Kum 17:17; 1Sam 16:7; 1Fal 3:11; 8:18Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa jambo hili ndilo shauku ya moyo wako na hukuomba mali, utajiri au heshima, wala kifo kwa ajili ya adui zako, nawe kwa kuwa hukuomba maisha marefu, bali umeomba hekima na maarifa ili kuongoza watu wangu ambao nimekufanya uwe mfalme juu yao, 121:12 1Nya 29:12-25; Neh 13:26; Efe 3:20; 2Nya 9:22; Za 34:9-10; Mt 6:33; Mhu 2:9kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”

Fahari Ya Solomoni

(1 Wafalme 10:26-29)

13Ndipo Solomoni akaenda mpaka Yerusalemu kutoka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kutoka mbele ya Hema la Kukutania. Naye akatawala Israeli.

141:14 1Sam 8:11; 1Fal 9:19; 4:26Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu. 151:15 1Fal 9:28; Isa 60:5; Ay 22:24; 1Fal 10:27Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani. 16Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.1:16 Yaani Kilikia. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue. 171:17 Wim 1:9Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 6001:17 Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7. za fedha, na farasi kwa shekeli 150.1:17 Shekeli 150 ni sawa na kilo 1.7. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.

La Bible du Semeur

2 Chroniques 1:1-18

Le règne de Salomon

Le roi Salomon au haut lieu de Gabaon

1Salomon, fils de David, affermit son autorité sur son royaume, et l’Eternel, son Dieu, était avec lui et il lui donna un très grand prestige.

(1 R 3.4-15)

2Le roi convoqua tout Israël : les chefs de « milliers » et de « centaines », les juges, et les notables de tout Israël, les chefs de groupe familial. 3Salomon se rendit avec toute l’assemblée au haut lieu de Gabaon, car c’est là que se trouvait la tente de la Rencontre de Dieu que Moïse, le serviteur de l’Eternel, avait fabriquée dans le désert1.3 Voir Ex 36.8-38.. 4Mais le coffre de Dieu avait été transporté par David de Qiryath-Yearim à l’endroit que le roi lui avait préparé ; il avait, en effet, dressé pour lui une tente à Jérusalem1.4 Voir 1 Ch 13 ; 15.. 5Devant le tabernacle se trouvait l’autel de bronze qu’avait fabriqué Betsaléel, fils d’Ouri et petit-fils de Hour, et c’est cet autel que Salomon et l’assemblée recherchaient1.5 Voir Ex 35.30 à 36.1 ; 38.1-2..

6Le roi se rendit à l’autel de bronze devant l’Eternel, à la tente de la Rencontre, et il y offrit mille holocaustes.

Salomon reçoit de Dieu la sagesse, et la promesse de richesse et de gloire

7Cette nuit-là, Dieu apparut à Salomon et lui dit : Demande ce que tu désires que je t’accorde.

8Salomon répondit à Dieu : Tu as témoigné une grande bienveillance à mon père David et tu m’as fait régner à sa place. 9Maintenant, Eternel Dieu, veuille tenir la promesse que tu as faite à mon père David puisque tu m’as fait régner sur un peuple nombreux comme les grains de poussière de la terre1.9 Voir Gn 13.16 ; 28.14.. 10Accorde-moi donc maintenant la sagesse et la connaissance nécessaires pour que je sache comment me conduire à la tête de ce peuple. Car, qui pourrait gouverner ton peuple qui est si grand ?

11Alors Dieu dit à Salomon : Puisque c’est là le désir de ton cœur, et que tu ne demandes ni richesses, ni trésors, ni gloire, ni la mort de tes ennemis, que tu ne demandes même pas une longue vie, mais que tu demandes la sagesse et la connaissance nécessaires pour gouverner mon peuple sur lequel je t’ai fait régner, 12eh bien, je t’accorde la sagesse et la connaissance, et, de surcroît, des richesses, des trésors et la gloire comme n’en a jamais eus aucun roi avant toi et comme n’en aura aucun après toi.

13Après cela, Salomon quitta le haut lieu de Gabaon où il était allé devant la tente de la Rencontre, et il revint à Jérusalem. Il régna alors sur Israël.

La richesse et la gloire de Salomon

(1 R 10.26-29 ; 2 Ch 9.25-28)

14Salomon se procura des chars et des hommes d’équipage pour ses chars : 1 400 chars et 12 000 hommes d’équipage. Il les cantonna dans les villes de garnison ainsi qu’auprès de lui à Jérusalem. 15Le roi rendit l’argent et l’or aussi communs que les pierres à Jérusalem, et les cèdres aussi nombreux que les sycomores qui croissent dans la plaine côtière le long de la Méditerranée. 16Les chevaux de Salomon étaient importés d’Egypte par convois ; une caravane de marchands du roi allait les acheter par convois1.16 Autre traduction : à Qevé., contre leur prix. 17Chaque char qu’ils importaient d’Egypte coûtait 600 pièces d’argent et chaque cheval 150 pièces. Ces marchands en importaient dans les mêmes conditions pour tous les rois des Hittites et pour les rois de Syrie.

Salomon décide de bâtir le Temple

(1 R 5.15-30 ; 7.13-14)

18Salomon décida de bâtir un temple en l’honneur de l’Eternel et un palais royal pour lui-même.