1 Yohana 5 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version

1 Yohana 5:1-21

Imani Katika Mwana Wa Mungu Huushinda Ulimwengu

15:1 Yn 3:15; 1Yn 2:22; 2:23; Yn 8:42Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye. 25:2 1Yn 2:3; 3:14Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake. 35:3 Yn 14:15; Mt 11:30; 23:4Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito. 45:4 Yn 1:13; 16:33Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu. 55:5 1Yn 2:23Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

Ushuhuda Kuhusu Mwana Wa Mungu

65:6 Yn 19:34; 14:17Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli. 75:7 Mt 18:16Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja. 8Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja. 95:9 Yn 5:34; Mt 3:16, 17; Yn 5:32, 37; 8:15, 18Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe. 105:10 Rum 8:16; Gal 4:6; Yn 3:33; 1Yn 1:10Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe. 115:11 Mt 25:46; Yn 1:4Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe. 125:12 Yn 3:15, 16, 36Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.

Maneno Ya Mwisho

135:13 Yn 3:23; 1Yn 5:11; Mt 25:46Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele. 145:14 Efe 3:12; 1Yn 3:21; Mt 7:7Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. 155:15 1Yn 5:18, 20; 1Fal 3:12Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.

165:16 Yak 5:15; Kut 23:21; Ebr 6:4-6; 10:26; Yer 7:16; 14:11Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo. 175:17 1Yn 3:4; 5:16; 2:1Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

185:18 Yn 1:13; Mt 5:37; 14:30Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru. 195:19 1Yn 4:6; Yn 12:31; 14:30; 17:15Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu. 205:20 1Yn 5:5; Lk 24:45; Yn 17:3; 1Yn 5:11; Mt 25:46Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.

215:21 1Yn 2:1; 1Kor 10:14; 1The 1:9Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

New International Version

1 John 5:1-21

Faith in the Incarnate Son of God

1Everyone who believes that Jesus is the Christ is born of God, and everyone who loves the father loves his child as well. 2This is how we know that we love the children of God: by loving God and carrying out his commands. 3In fact, this is love for God: to keep his commands. And his commands are not burdensome, 4for everyone born of God overcomes the world. This is the victory that has overcome the world, even our faith. 5Who is it that overcomes the world? Only the one who believes that Jesus is the Son of God.

6This is the one who came by water and blood—Jesus Christ. He did not come by water only, but by water and blood. And it is the Spirit who testifies, because the Spirit is the truth. 7For there are three that testify: 8the5:7,8 Late manuscripts of the Vulgate testify in heaven: the Father, the Word and the Holy Spirit, and these three are one. 8 And there are three that testify on earth: the (not found in any Greek manuscript before the fourteenth century) Spirit, the water and the blood; and the three are in agreement. 9We accept human testimony, but God’s testimony is greater because it is the testimony of God, which he has given about his Son. 10Whoever believes in the Son of God accepts this testimony. Whoever does not believe God has made him out to be a liar, because they have not believed the testimony God has given about his Son. 11And this is the testimony: God has given us eternal life, and this life is in his Son. 12Whoever has the Son has life; whoever does not have the Son of God does not have life.

Concluding Affirmations

13I write these things to you who believe in the name of the Son of God so that you may know that you have eternal life. 14This is the confidence we have in approaching God: that if we ask anything according to his will, he hears us. 15And if we know that he hears us—whatever we ask—we know that we have what we asked of him.

16If you see any brother or sister commit a sin that does not lead to death, you should pray and God will give them life. I refer to those whose sin does not lead to death. There is a sin that leads to death. I am not saying that you should pray about that. 17All wrongdoing is sin, and there is sin that does not lead to death.

18We know that anyone born of God does not continue to sin; the One who was born of God keeps them safe, and the evil one cannot harm them. 19We know that we are children of God, and that the whole world is under the control of the evil one. 20We know also that the Son of God has come and has given us understanding, so that we may know him who is true. And we are in him who is true by being in his Son Jesus Christ. He is the true God and eternal life.

21Dear children, keep yourselves from idols.